Gelange Vidunda
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 314
- 31
Waste of time!
Ukipata hayo 20 and then what???
Ukipata hayo 20 and then what???
Ok mkuu nashukuru na wewe umechangia kwenye hii threadNaona hatuna cha kujadili ?/
Kwani hivi dingi yake GT ni (anaitwa) nani? Isije ikawa kuna post anazoweka humu zikawa na uhusiano na mgongano wa kimaslahi! Hata hivyo Mkuu Omega inabidi uwe makini, kwani hata kama unamjua, humu JF kuna sheria za privacy za members !GT na wewe dingi yako fisadi
Kwani hivi dingi yake GT ni (anaitwa) nani? Isije ikawa kuna post anazoweka humu zikawa na uhusiano na mgongano wa kimaslahi! Hata hivyo Mkuu Omega inabidi uwe makini, kwani hata kama unamjua, humu JF kuna sheria za privacy za members !
Mnamsahau vipi Aloyce Kimaro ambaye shamba lake lilivamiwa na wanakijiji wa sing'isi? mbona hamumsemi cigwiyemisi aka tingatinga?
Yeah, mimi nimeuliza, lakini wewe hujauliza ila umesema. Hapo kusema nina maanisha umetaja sifa yake, ie FISADI, which means unamfahamu, though hujatutajia jina lake, lakini umetufahamisha moja ya sifa zake (tena mbaya). Mimi mwenyewe ningependa nijue uhusiano wa some members wa humu na vigogo serikalini ili niwe makini na matundiko yao, na ndo maana sijakupinga, ila nimekutahadharisha.Kwani nimemtaja jina? Huoni hata wewe mwenyewe umeuliza jina lake....sasa hapo privacy wapi na wapi?
Off-topic- Ivi bunge la tanzania nalo linatoa individual expenses report? Kuna uwezekano wa kupata hii kitu?
Hivi mnajua Ndesamburo ana nyumba zaidi ya 13 pale MayFair na South Kensington, London?
Hiyo ikipatikana mbona itakuwa sherehe ?
1. mo dewji - mkwepa kodi ($25m tax fraud ya edible oil). akitoa $3m kwenye kampeni ya ccm anabakiwa na $22m na kuhakikishiwa ulinzi na kuendelea kukwepa kodi...
hayo ndiyo mambo ya banananananan republic......
Naaminsha wote wa Chama Tawala na Upinzani.
WHATS YOUR TOP 20?
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20