Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Naaminsha wote wa Chama Tawala na Upinzani.
WHATS YOUR TOP 20?
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
WHATS YOUR TOP 20?
1
2
3
4
5
6
7
8
9
10
11
12
13
14
15
16
17
18
19
20
1. Lowasa
2. Chenge
3. Mramba
kaaanza long time ago huyo ndesa, kwanza kawa maskini alipoingia ubunge, the guy ni entrepreneur wa long, hata hela za bunge huwa ametoa msaada ikiwa ni pamoja na gari yake ya ubungeHivi mnajua Ndesamburo ana nyumba zaidi ya 13 pale MayFair na South Kensington, London?
Tunarudi palepale katika kujadili watu ,kwenye private zao.Huku ni kupindishwa kwa mawazo na badala ya kujadili nini kimefanywa na CCM na je inahitajika au haihitajiki tunaenda kuvamia watu ,hivi si watatuacha hapahapa tukibishana ?
SaluteNaona hatuna cha kujadili ?/