Listening Audio Booth:John Malecela: Alichoongea

Unapokuwa kwenye mahojiano, facts kama za miaka na mahali zinaweza kukutoka. Na hicho ni kitu kinachokubalika iwapo tu miaka na mahali sio agenda za mahojiano yenyewe bali ni kichapizo tu.

Mnategemea Mzee Malecela akiwa kwenye mahojiano, akumbuke mahali na mwaka kwa usahii kabisa kama vile anakwenda kwenye mtihani wa historia wa darasa la nne.

Nyie watu wazima mnashindwa kujadili theme ya kile alichosema na mnabaki kubishana kwenye miaka. Angesema mwaka 1990, mantiki ingebaki hilehile.

Mkuu hapa JF watu wanauliza kila kitu,every little thing,si kwamba nasapoti hilo,lakini kwani viongozi nao hawajianadai? Ama wanafanya mazoea wakidhani Tanzania hii ni ile ile ya zamani? Mkuu kiongozi kama Dk Malecela ni lazima ajiandae na facts kutokana na heshma yake,watu wanafuatilia kwa makini maneno yao na si siasa kama za zamani...Historia inaandikwa kutokana na maneno yao,sasa wasipotukumbusha wao waliokuwa karibu na matukio muhimu nani mwingine atafanya hivyo...Ni Mh Mzee mwenye wasaidizi na ni vyema akacheck facts,inawezekana pia kuna mifano ya hapa na pale nk,ambayo anaitumia kama mifano rahisi,lakini ni muhimu kuwa makini...Amezungukwa na watu wenye uwezo wa kumsaidia,binafsi naona amnsaidie Mama Kilango maana yeye huja na facts za nguvu na huwa ana uhakika na anachosema,at least mara nyingi nimeshuhudia hilo.
 
wandugu,

..hiyo picha ya viongozi wa CCM, inayoonyesha pia maneno ya Mwalimu, tarehe na mahali alipotamka maneno hayo, ilipasa kumaliza mabishano yenu.

NB:

..kwa kuzisoma hoja zenu, kwa kweli najisikia UVIVU kusikiliza mahojiano ya Mzee Cygwiyemwisi Malecela.

..somebody please convince me as to why I should listen to it.
 
JMushi,

Tusiwabughudhi wengine.

Twende kwenye jamvi la sayansi tukaeleweshane.

Mkuu mimi wala siko kwenye science ila nashukuru kwa kugusia mfano wa mzee Malecela alioutumia,ni hapo tu kwenye kuhusu mfano uliotumika na mimi nimekuelewa ila nimeongezea tu kiduchu kuhusiana na color blindness deficiency na implications zake kuhusiana na black kama ulivyomnukuu Dk Malecela previously.
Nikipata nafasi nitakuja huko mkuu....Nashukuru kwa mawaliko.
 
Bw. John Malecela ame come off largely as a senile demagouge descending into Makambaism, repeating himself over and over like some old testament zealot prophet, anacheka cheka saana wakati watu masikini wana uchungu na maisha, hakutoa kipya zaidi ya ku-lord it over people, anasisitiza kuongeza ukiritimba wa kutumia bunge, chama na serikali (kwa nini hajataja mahakama?) kama vile hajawahi kusikia vitu vinaitwa Perestroika na Glasnost.

Kama anaongea na watoto vile, wasiojua kitu at that.
 
jmushi1 said:
Mkuu hapa JF watu wanauliza kila kitu,every little thing,si kwamba nasapoti hilo,lakini kwani viongozi nao hawajianadai? Ama wanafanya mazoea wakidhani Tanzania hii ni ile ile ya zamani? Mkuu kiongozi kama Dk Malecela ni lazima ajiandae na facts kutokana na heshma yake,watu wanafuatilia kwa makini maneno yao na si siasa kama za zamani...Historia inaandikwa kutokana na maneno yao,sasa wasipotukumbusha wao waliokuwa karibu na matukio muhimu nani mwingine atafanya hivyo...Ni Mh Mzee mwenye wasaidizi na ni vyema akacheck facts,inawezekana pia kuna mifano ya hapa na pale nk,ambayo anaitumia kama mifano rahisi,lakini ni muhimu kuwa makini...Amezungukwa na watu wenye uwezo wa kumsaidia,binafsi naona amnsaidie Mama Kilango maana yeye huja na facts za nguvu na huwa ana uhakika na anachosema,at least mara nyingi nimeshuhudia hilo

jmushi1,

..wanalipwa milioni 7 kwa mwezi halafu wanafanya kazi kwa kulipua-lipua.

..mwingine yule alifanya kupitia tu ukumbi wa maelezo kwenye Press Conf' akielekea msibani.
 
wandugu,

..hiyo picha ya viongozi wa CCM, inayoonyesha pia maneno ya Mwalimu, tarehe na mahali alipotamka maneno hayo, ilipasa kumaliza mabishano yenu.

NB:

..kwa kuzisoma hoja zenu, kwa kweli najisikia UVIVU kusikiliza mahojiano ya Mzee Cygwiyemwisi Malecela.

..somebody please convince me as to why I should listen to it.

Mkuu hakuna ubishi,maneno hayo aliyasema zaidi ya mara moja hilo liko wazi,(assuming data zilizoletwa ni sahihi),kwamba ipo kwenye bango haina maana kwamba it was the only time alisema maneno hayo..Mambo ya bango mkuu umesahahu "Mission Accomplished?" Sio kwamba nabisha kuwa hakusema maneno hayo mwaka uliowekwa kwenye bango,bali namaanisha kuwa walioyaweka hayo ni watu wenye kumbukumbu hizo mwaka huo,nasisitiza tena kuwa mwalimu aliyasema maneno hayo mwaka 1985,narudia,based on kumbukumbu zangu...Mwalimu alisema anang'atuka mwaka 1985.
 
Last edited:
jmushi1,

..wanalipwa milioni 7 kwa mwezi halafu wanafanya kazi kwa kulipua-lipua.

..mwingine yule alifanya kupitia tu ukumbi wa maelezo kwenye Press Conf' akielekea msibani.

Joka uliona eeh?

Complete with that "Trick Daddy" look of "I'm going golfing" potrayed by tha T-Shirt.

Kaanza kwa kusema "hatukai sana" kama vile anaogopa akikaa sana watu watajua siri fulani.
 
i300_NANGATUKA.JPG

Maneno hayo hapo juu yana makosa ya mwaka ambao Mwalimu Nyerere alitamka maneno hayo. Mwaka 1990 Mwalimu hakuwa kiongozi wa CCM wala Taifa. Mwenyekiti wa CCM alikuwa Mzee Mwinyi. Mwaka 1990 kama ulivyoandikwa hapo ni sahihi tu kama unamaanisha siku ambayo tangazo hilo liliwekwa hapo juu.

Haiwezekani kuwa Mwalimu alisema anang'atuka kutoka kwenye uongozi ambao hakuwa nao.
 
Maneno hayo hapo juu yana makosa ya mwaka ambao Mwalimu Nyerere alitamka maneno hayo. Mwaka 1990 Mwalimu hakuwa kiongozi wa CCM wala Taifa. Mwenyekiti wa CCM alikuwa Mzee Mwinyi. Mwaka 1990 kama ulivyoandikwa hapo ni sahihi tu kama unamaanisha siku ambayo tangazo hilo liliwekwa hapo juu.

Haiwezekani kuwa Mwalimu alisema anang'atuka kutoka kwenye uongozi ambao hakuwa nao.

Mkuu hayo maandishi ya chini ambayo yamezibwa na nadhani projector iliyoko nyuma ya Mh Rais mstahafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi yanaoenekana kama vile walimaanisha kuwa ni maneno ya mwalimu hapo diamond jubilee mwaka 1990,labda kama kuna waliokuwepo hapo,ama kama kuna picha yenye kuonyesha sentensi nzima.
 
Mkuu hayo maandishi ya chini ambayo yamezibwa na nadhani projector iliyoko nyuma ya Mh Rais mstahafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi yanaoenekana kama vile walimaanisha kuwa ni maneno ya mwalimu hapo diamond jubilee mwaka 1990,labda kama kuna waliokuwepo hapo,ama kama kuna picha yenye kuonyesha sentensi nzima.

Mkuu nadhani hivyo pia. Ila hiyo ndio sababu nikasema maneno hayo si sahihi kabisa. Inawezekana wakati huo alikuwa busy na kuandaa kauli ya kupambana na G55
 
Mkuu nadhani hivyo pia. Ila hiyo ndio sababu nikasema maneno hayo si sahihi kabisa

Mkuu si unaona walivyokaa tu hapo juu ni kama zecomedy,honestly,na ni viongozi wakuu wa nchi tunaowaheshimu,halafu tunategemea mabadiliko....Poor wadanganyika.
 
Unapokuwa kwenye mahojiano, facts kama za miaka na mahali zinaweza kukutoka. Na hicho ni kitu kinachokubalika iwapo tu miaka na mahali sio agenda za mahojiano yenyewe bali ni kichapizo tu.

Mnategemea Mzee Malecela akiwa kwenye mahojiano, akumbuke mahali na mwaka kwa usahii kabisa kama vile anakwenda kwenye mtihani wa historia wa darasa la nne.

Nyie watu wazima mnashindwa kujadili theme ya kile alichosema na mnabaki kubishana kwenye miaka. Angesema mwaka 1990, mantiki ingebaki hilehile.

Mkuu unajuwa sijaweza kumsikia dokta,na hivyo sijui kama alilizumgumzia hilo la mwaka mwalimu aliposema nang'atuka mara baada ya kuhojiwa ama ni wakati akitoa maelezo yake...Kama ni wakati akitoa maelezo yake,then ni lazima awe na uhakika na facts,however hata kama aliulizwa/kuhojiwa,basi angetumia neno kama vile "kama sikosei ni mwaka 1992" nk.Hapo tunaweza kusema hakuwa na uhakika moja kwa moja na we can let it pass, ila kama aliongea kwa confirmation,the he is liable to scrutiny....Tofauti na hapo tutaendelea kupiga porojo na kuziita siasa,pure zecomedy...Inasikitisha.
 
Mkuu hapa JF watu wanauliza kila kitu,every little thing,si kwamba nasapoti hilo,lakini kwani viongozi nao hawajianadai? Ama wanafanya mazoea wakidhani Tanzania hii ni ile ile ya zamani? Mkuu kiongozi kama Dk Malecela ni lazima ajiandae na facts kutokana na heshma yake,watu wanafuatilia kwa makini maneno yao na si siasa kama za zamani...Historia inaandikwa kutokana na maneno yao,sasa wasipotukumbusha wao waliokuwa karibu na matukio muhimu nani mwingine atafanya hivyo...Ni Mh Mzee mwenye wasaidizi na ni vyema akacheck facts,inawezekana pia kuna mifano ya hapa na pale nk,ambayo anaitumia kama mifano rahisi,lakini ni muhimu kuwa makini...Amezungukwa na watu wenye uwezo wa kumsaidia,binafsi naona amnsaidie Mama Kilango maana yeye huja na facts za nguvu na huwa ana uhakika na anachosema,at least mara nyingi nimeshuhudia hilo.

Jmushi1:

Hakuna mtu anayejiandaa kama Baraka Obama. Kuna kipindi katika kampeni alisema mjomba wa mama yake akiwa mwanajeshi alishiriki kukomboa concentration camp ya Auschwitz iliyopo Poland. Lakini ukweli ni kuwa mjomba wake alikomboa Buchenwald.

Hayo yalikuwa ni makosa ya kuchanganya mahali. Lakini ukweli wa kuwa mjomba wake alishiriki katika vita unabaki palepale.

Tukirudi kwenye mada. Katika thread hii nimesoma posti nyingi zilizokuwa zinajadili lini Nyerere alisema anang'atuka. Nyingi zilikuwa za kuonyesha nani anakumbuka zaidi na sio kile alichosema Malecela.
 
Unapokuwa kwenye mahojiano, facts kama za miaka na mahali zinaweza kukutoka. Na hicho ni kitu kinachokubalika iwapo tu miaka na mahali sio agenda za mahojiano yenyewe bali ni kichapizo tu.

Mnategemea Mzee Malecela akiwa kwenye mahojiano, akumbuke mahali na mwaka kwa usahii kabisa kama vile anakwenda kwenye mtihani wa historia wa darasa la nne.

Nyie watu wazima mnashindwa kujadili theme ya kile alichosema na mnabaki kubishana kwenye miaka. Angesema mwaka 1990, mantiki ingebaki hilehile.

Na hii kitu imejirudia mara nyingi hapa mpaka inachosha na kuwa kero kwa members wengi wengine. Kibaya inakuwa inatumika kama mechanism ya ku-derail kitu cha msingi kinachotaka kujadiliwa. Wale wasiovumilia na wepesi wa kufyatuka kuikosoa tabia hiyo, ndiyo wanaoishia kuwa banned. Kuwa sophisticated na kutumia hiyo sophistication kutukana wengine kichinichini kuwakwepa mods ni almost sawa tu na yule anayeamua kutumia matusi massfullnondo na kuwa banned.

Mtu kama unafahamu mtu fulani kakosea pahala ila wengine wanaonekana ku-overlook hizo fact zake, waelimishe wengine. Mambo ya kutaka kusoa kosoa tu pasipo haja wala nia ya kuelimisha wengine ni uzandiki ambao naamini wengi wetu nia yetu ni kuondokana nao. Mtu unafahamu kitu, be the patriotic you kuelimisha wengine katika yale wasiyoelewa.

Mkuu hapa JF watu wanauliza kila kitu,every little thing,si kwamba nasapoti hilo,lakini kwani viongozi nao hawajianadai? Ama wanafanya mazoea wakidhani Tanzania hii ni ile ile ya zamani? Mkuu kiongozi kama Dk Malecela ni lazima ajiandae na facts kutokana na heshma yake,watu wanafuatilia kwa makini maneno yao na si siasa kama za zamani...Historia inaandikwa kutokana na maneno yao,sasa wasipotukumbusha wao waliokuwa karibu na matukio muhimu nani mwingine atafanya hivyo...Ni Mh Mzee mwenye wasaidizi na ni vyema akacheck facts,inawezekana pia kuna mifano ya hapa na pale nk,ambayo anaitumia kama mifano rahisi,lakini ni muhimu kuwa makini...Amezungukwa na watu wenye uwezo wa kumsaidia,binafsi naona amnsaidie Mama Kilango maana yeye huja na facts za nguvu na huwa ana uhakika na anachosema,at least mara nyingi nimeshuhudia hilo.

Jmushi, watu wana haki ya kuuliza kila kitu na kufanya hivyo ni jambo la maana kama unavyosema katika kuondoa mazoea yetu ya kukubali kila kitu alimuradi tu kiongozi au mtu fulani hivi ametamka, hivyo kuacha mengine ambayo yanaweza kuwa muhimu ila kwa sababu siyo central theme ya mjadala, yanakuwa overlooked, hali yangeweza kuleta changamoto na kuweka sawa baadhi ya mambo na kunakishisha zaidi mjadala huo.

Sina shida na mtu akifanya hivyo kwa nia ya kuelimisha wasomaji. Uzuri wa mambo ni kwamba tuko wengi hapa na uwezo wetu kung'amua lengo haswa katika huu ukosoaji unatofautiana. Unapofanyika kwa nia ya njema unafahamika na pale unapofanyika kwa dhamira ya kukatisha wengine tamaa, unaeleweka pia. Hivyo tufanye hivyo si kwa nia ya kutetelesha mijadala iliyo mbele yetu bali kwa niya ya kuhimiza utiliaji mikazo wa facts zinazokuwa presented mbele yetu na wahusika katika hii mijadala, again, kwa lengo la kuelimisha umma.

SteveD.
 
Jmushi1:

Hakuna mtu anayejiandaa kama Baraka Obama. Kuna kipindi katika kampeni alisema mjomba wa mama yake akiwa mwanajeshi alishiriki kukomboa concentration camp ya Auschwitz iliyopo Poland. Lakini ukweli ni kuwa mjomba wake alikomboa Buchenwald.

Hayo yalikuwa ni makosa ya kuchanganya mahali. Lakini ukweli wa kuwa mjomba wake alishiriki katika vita unabaki palepale.

Tukirudi kwenye mada. Katika thread hii nimesoma posti nyingi zilizokuwa zinajadili lini Nyerere alisema anang'atuka. Nyingi zilikuwa za kuonyesha nani anakumbuka zaidi na sio kile alichosema Malecela.

Mkuu gaffe nyingine zaweza kuwa passed tegemea na implcations zake kwenye theme yenyewe...Eventually inawezekana mwalimu aliyasema maneno hao zaidi ya mara moja,sina uhakika...Inawezekana,nina uhakika na 1985.
Mfano ulioutoa hauendani moja kwa moja na mjadala huu,Yes theme kwenye issue ya Obama ilikuwa ni ushiriki wa vita kwa mjomba wake,sasa hapa tunazungumzia tukio zaidi ya moja,kofia mbili za urais na uenyekiti na kwamba alitumia neno hilo wakati wa kujivua kofia ipi,either alitumia nyakati zote ama alitumia wakati mmoja,inategemea na alichotaka kutueleza dokta..Implications za mfano huo towards the main theme...Nasisitiza kuwa maneno aliyoyasema dokta sijayasikia na ninayapata kutoka kwenu. Nashukuru kwa mfano wako lakini hakuna kilichoharibika kabisa.

Mkuu Steve D,nakubaliana kuwa tubaki upande positive,ila usisahahu kuwa analyticals are extremely analytic and detailed oriented,kwasababu kuna watu wenye busara humu jamvini, cha msingibasi ni kuona tunarudishana kwenye msitari pindi inapotokea kuwa tunaenda nje ya mada bila kujali ushabiki bali facts...Narudia tena mkuu,ni muhimu sana viongozi wenye calibre ya dokta kuwa makini wanapozungumza na public especially inapokuja kwenye facts zinazohusiana na matukio ya kihistoria ambayo yanamgusa kila mwananchi...Saisa za mwalimu na mjomba wa Obama ni tofauti sana either way.
 
Malecela: Ni Kikwete tu 2010

2009-03-26 12:38:03
Na Joseph Mwendapole


Makamu Mwenyekiti Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, John Malecela, amesema kuwa mwanachama yeyote wa CCM atakayejitokeza kuchukua fomu kupambana na Rais Jakaya Kikwete katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010, atakuwa anapoteza muda wake.

Yeye binafsi ameweka msimamo wake wazi kuwa hatajitokeza kuchukua fomu kugombea kiti cha urais mwakani tofauti na alivyofanya mwaka 1995 na mwaka 2005 na jina lake kuondolewa na vikao vya Kamati Kuu (CC) ya chama hicho.

Alisema mwanachama wa CCM mwenye fikra hizo ni vyema akazifuta mapema na atumie fedha ambazo angetumia kwenye kampeni za urais kuendeleza familia yake.

Aliyasema hayo jana nyumbani kwake Sea View, jijini Dar es Salaam, wakati akizungumza na waandishi wa habari kutoka vyombo vya habari vya IPP.

Alitoa jibu hilo baada ya kuulizwa iwapo atawania urais mwaka 2010 baada ya jina lake kuchujwa katika kinyang`anyiro cha Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005.

``Rais Kikwete ameifikisha nchi sehemu nzuri sana, hakuna wa kumpiku, ametuendesha vizuri tangu tumpe usukani mwaka 2005 na lazima wananchi na wanachana wa CCM wajue kuwa mwaka 2010 ni kituo tu Kikwete hajafika mwisho....mwisho wake wa urais ni 2015,``alisema na kuongeza kuwa yeye hatagombea urais badala yake ataendelea kuwania ubunge katika jimbo lake la Mtera, mkoani Dodoma.

Source: Nipashe
 
Naona fikra za mzee ni CCM tu hakuna cha wananchi.
Mkuu Invisible hiyo audio naona kama haijafika kwisho kwa sababu imekatikia wakati anaelezea safari za Raisi Marekani na Mkutano wa IMF Dar.... Unaweza kuweka part 2 tukasikiliza na maswali aliyoulizwa na wanahabari? Thank You!
 
Hivi kuna tatizo gani kuamini kuwa Kuhani wakati alipohoji tamko la Malecela alikuwa hana hakika na tarehe bali alijua kuwa sio mwaka uliotajwa na Malecela? Kwa nini isiwe kuwa ni pale tu alipodaiwa ushahidi ndipo alipofanya ambacho wengi wetu tuliona uvivu, aka-google na kupata picha iliyomaliza ubishi? Kwa nini hamtaki kumpa benefit ya doubt? Badala ya kumsimanga kwa nini hamumshukuru kwa kutuletea picha? Hapo ndipo mnaponiboa.

Amandla.........
 
Back
Top Bottom