Kwani anao?
namba 5, 8 na 9 wameolewa sasa unataka kua mume wa pili? hao wengine sifahamu. Nakushauri umchukue Wema ukamtulize.
Katika sifa ya mke ninayemtaka awe MREMBO
..ndg. hao watu uliopanga majina yao kwa namba(1-10)ni akina nani hao?mimi siwafaham nifahamishe vizuri.:redface:1. Wema sepetu
2. Linah
3. Dj fetty
4. Kiki
5.mwamvita makamba
6. Salama jabir
7.dina marios
8.c.e.o wa 8020 blog
9 c.e.o wa bang magazine
10.mboni masimba
nahisi yupo single