Elections 2015 Orodha ya waliogombana na Magufuli na hatma zao

Makufuli hawezi kuwa raisi wa nchi hii na haita tokea.

Bado siku chache upopo wa kisiasa utabadidilika na dira thabiti ya nani anaenda kuwa raisi wa hii nchi ya Kambarage atakuwa wazi

Mark my ward

Mkuu naona huzifahamu siasa za nchi hii! Watu wanaposema Chama kwanza umaarufu wa mtu baadaye wanakuwa na maana yao. Nakuambia ukiwa ndani ya chama ndio unapata nguvu ukitoka unabaki kuwa kama Samson.

Unaweza ukatoka ukadhani una watu wanakuunga mkono kumbe ghafla wakakutosa. Nina kumbukumbu za Mpendazoe!
 
Kwa hiyo kumkosoa Magufuli ni kutangaza vita!.. Duu!!!!!!! hii tena habari nyingine.

Magufuli ni makali na hataki mchezo wala kucheka yeye ni kazi tu. Hana visasi wala nini ila ukikosea haoni aibu wala hana ajizi atakutosa tu hata kama ni swaiba wake. kwa kifupi hana rafiki wa kujuana ila ana marafiki wa kazi.
 
Ndiyo Wapi Tena Huko kadoda11 Mimi Sipajui.
utapajuaje na wewe haupo tz,upo kwenu kigali-rwanda.
A%20S-rap.gif
 
Nilipigwa BAN kwa kupost bandiko hili la Ocampo Four ... Nauliza? JF imenunuliwa? maana tuliambiwa kuwa kuna Bilioni 150 zimetengwa kwaajili ya kuvuruga mageuzi mwaka huu ... Wadau nisaidieni kujua kuwa nilikosea wapi hadi waniandike eti nilikuwa na kosa la Spamming!!! Grrrrrrrrrrrrrrrrr
Mjibuni kwanza OCAMPO 4 ..... " 1. Nyumba za Serikali
Kwa hakika hili ni doa kubwa sana kwa Magufuli. Ni katika kipindi alichokuwa Waziri wa Ujenzi (awamu ya 3) alishawishi kwa nguvu na msukumo mkubwa sana mpaka kufanikiwa uuzaji wa nyumba za serikali.

Hii hatua ya Magufuli halina tofauti na kile alichokiita CAG Professor Assad “Political Entrepreneurship”. Professor Assad mara baada ya kuingia madarakani alisema wazi kwamba mradi wa Magufuli wa kuuza nyumba za serikali ni ufisadi mkubwa sana. Professor Assad alizidi kusema ya kwamba alichokifanya Magufuli yalikuwa kwa manufaa yake binafsi na ilikuwa ni “personal political entrepreneurship”.

Katika uamuzi huo, Magufuli alienda mbali zaidi mpaka kugawa bure baadhi ya nyumba kwa ndugu zake na mahawara zake. Kwa mfano Dada Kabula ambaye ni mmiliki hewa wa Kebby’s Hotel iliyopo Mwenge/Bamaga jijini Dar es Salaam. Dada Kabula ambaye hajawai kuwa mtumishi wa umma tokea awamu ya kwanza mpaka leo hii Ocampo ninaposhusha huu uzi alifanikiwa kuhongwa nyumba mbili zenye Plot No. MSM/201 na Plot No. MK/521 (Mikocheni na Msasani).

Kwa hatua hiyo Magufuli aliliingiza serikali hasara kubwa sana, na hayo machungu mpaka leo hayajaisha na serikali bado linaendelea kubeba mzigo. Katika kipindi hiki tumeshuhudia watumishi wengi (Majaji, na watendaji wakuu, makatibu wakuu) wamekuwa wakiishi hotelini, huku gharama za vyumba zikiwa za hali ya juu sana almost dola 1200-1500 kwa mwezi ambayo ni sawa na Millioni 27 kwa mwezi; kwa mwaka ni Millioni 324 kwa mtumishi moja.



2. Ujenzi wa Barabara
Eneo hili ni sehemu nyingine ambayo Magufuli amekuwa akijipatia fedha haramu. Baadhi ya wafuasi wake wamekuwa wakijaribu kusema kwamba ni TANROADS ndiyo wahusika wakuu katika barabara na siyo Magufuli. Ingawa hoja yao siyo ya kweli na haina mashiko.

Kiutaratibu na sheria barabara utakiwa kuwa na upana (width) wa 6.5m ila imegundulika barabara nyingi kipindi hichi cha Magufuli zimekuwa zikijengwa kwa 5.7m to 6m na siyo 6.5m, je fedha za hizo baki 0.5m to 0.8m zinakwenda wapi, ni wazi fedha hizo uingia mifukoni mwa Magufuli na washirika wake wa Tanroads. Vile vile ni kipindi kirefu sasa Highway Economic Assessment ya miradi ya barabara imekuwa hazifanyiki kitu ambacho kinapelekea barabara zetu nyingi kuwa chini ya viwango. Utafiti wa Ocampo unaonyesha kwamba barabara kuwa chini ya viwango ni swala la makusudi ambapo waziri na wasimamizi wa miradi husika wanakula na kugawana fedha za miradi….


3. Sakata La Bomoa Bomoa
Ni jambo la wazi ya kwamba sheria zimetumgwa ili zifuatwe, lakini kuwa na ubinadamu au utu ni zaidi ya sheria. Ni Magufuli huyu huyu alipigwa stop na Mh. Rais pale alipoona Magufuli anakiuka wazi haki za binadamu. Ubomoaji wa nyumba zilizopo pembezoni mwa barabara umekuwa hauzingatii “UTU”. Ni jambo la wazi wanaanchi wengi waliobomolewa nyumba zao mpaka sasa wako katika hali ngumu ya maisha na hawana uelekeo baada ya kufanyiwa unyama usiyothimilika na Magufuli.

Either wataalamu wengi pale wizarani katika mahojiano wanasema Magufuli hana tabia ya kufata sheria na utaratibu, wakitolea mfano swala la kuvunjwa kwa jengo la TANESCO (Ubungo) na jengo la Millenium Towers. Kwa hakika ni jambo jema sana kuwa na Rias kama JK aliyediriki kumpiga stop Magufuli, hivyo basi ni wazi anapaswa apate mtu wa juu yake katika kufanya maamuzi, ila yeye ndiyo akiwa mtoa maamuzi walai nchi tutaipoteza (Tafakari kwa kina).


4. Shelly Ya Mwanza
Tukizidi kukumbuka sakata la Shelly ya Mwanza ndipo tunazidi kujua jinsi gani Magufuli ni mtu wa kukurupuka na mtu mwenye chuki. Kwa chuki zake binafsi kipindi cha awamu ya 3 akiwa waziri wa ujenzi aliamuru kuvunjwa kwa Shelly ya bwana Mansoor (mbunge wa Kwimba) iliyopo maeneo ya madaraka misheni jijini Mwanza. Baada ya ukiukwaji huo wa sheria bwana Mansoor alienda mahakamani na kisha kushinda kesi na hukumu kutolewa kwamba serikali imlipe Mansoor mabillioni ya fedha, sababu kubwa zikiwa ni chuki na kisasi cha Magufuli……

5. Magufuli ni mtu mwenye kiburi, majivuno na hashauriki
Sifa zingine pekee za Magufuli ni mtu mwenye kiburi, majivuno na hashauriki kitu ambacho ni hatari sana kwa ustawi wa Taifa. Hayo mambo yamepelekea hata utendaji kazi wa watumishi wa chini kuwa mgumu sana. Watumishi chini ya wizara yake wanasema Magufuli ni mtu mwenye majivuno sana, ni mtu mwenye chuki na ni mtu asiyepokea ushauri wa mtu yeyote yule zaidi ya mke wake na Kabula…

6. Umiliki wa Kebby’s Hotel
Kebby’s Hotel ni hoteli iliyopo Mwenge/Bamaga upande wa kulia kama unaenda posta/mjini. Kwa muda mrefu mmiliki wa hoteli hiyo amekuwa akijificha katika mgongo wa mtu mwingine ila ukweli ni kwamba mmiliki halali wa hoteli hiyo ni John Pombe Magufuli na siyo Dada Kabula.

Umiliki wa Hoteli kubwa kama Kebby’s ambayo kulala ni zaidi ya dola 60-90 inaonyesha wazi kwamba Magufuli ni fisadi wa kimya kimya kama yule jamaa mwingine aliyepiga za Escrow na vibali vya sukari au yule aliyechimbia fedha za Ghadafi kwenye mahandaki.

7. Kuvunja Ndoa
Katika maandiko Matakatifu, Kumbukumbu la Torati 27: 14 imeandikwa alaaniwe yule amtamaniye mke wa nduguye au jirani yake. Ila kinyume na hayo maandiko Matakatifu Magufuli amediriki kumtamani mke wa jirani yake mpaka kupelekea kuvunja ndoa ya mtu.

Dada Kabula ambaye ni mmiliki hewa wa Kebby’s Hotel, awali alikuwa mke wa Januarius Maganga ambaye ni mtumishi mwandamizi katika makampuni ya IPP Media. Swali la kujiuliza kama Magufuli kadiriki kuvunja ndoa ya mtu angali ni waziri wa kawaida tu, je akiwa Rias itakuwaje? Jibu nafkiri unalo…. Na sitaki unipe jibu.

Nyerere katika moja ya hotuba zake aliwahi kutolea mfano sakata la waziri mdogo wa Uingereza aliye onekana na kimada barabarani. Kwa tamaduni za hao wenzetu huo ulikuwa ukosefu mkubwa wa maadili mpaka ikapelekea kufukuzwa kazi na waziri mkuu wa wakati huo.

8. Magufuli Hakifahamu Chama Vizuri
Ni jambo la wazi na ukweli usiopingika kwamba Taifa linatafuta Rais bora na kwa upande mwingine CCM kinatafuta mtu mwenye uwezo wa kushika kofia mbili kwa pamoja.

Magufuli ana utamaduni wa kutumia chama pale anapoitaji madaraka, ila pale tu anapoyapata hayo madaraka anakuwa ajiusishi na mkakati wowote wa kujenga chama. Historia inaonyesha Magufuli hajawahi kushika wadhifa au nafasi yoyote ile ndani ya chama, wanachama wa CCM wanauliza kwamba watamkabidhi vipi mtu asiye na background nzuri kwenye chama? Vile vile historia inaonyesha hajawahi kuchangia hata senti tano katika shughuli zozote zile zenye lengo la kujenga chama.

9. Sakata La Samaki
Katika muendelezo wa kukurupuka katika maamuzi, Waziri Magufuli mwaka jana tena aliliingiza Taifa na serikali kwa ujumla katika hasara nyingine. Ambapo serikali iliamuriwa na mahakama ilipe kiasi cha shilling Billioni 2.8 na kurudiha meli husika baada ya kukiuka sheria za kimataifa pale alipokamata Meli yenye vibali halali na iliyokuwa inafanya shughuli zake kihalali.

Sasa kama ni waziri wa kawaida anadiriki kuvunja sheria za kimataifa, Je akiwa Rais si ni wazi anaweza kulipelekea Nchi ikatengwa na jumuiya za kimataifa….. we need to think kwa umakini sana wakuu…..



10. Sakata La Kivuko
Dhana ya ubinadamu siyo kuvaa nguo au kulala kwenye nyumba bali ubinadamu ni pamoja na kuwa na hekima, busara na kauli nzuri kwa binadamu wenzako; cha kushangaza Magufuli alidiriki kutumia lugha iliyotafsiriwa kama tusi kubwa sana na wananchi wa Dar es Salaam, pale alipoowambia wapige mbizi wakitaka kwenda Kigamboni. Ni jambo jema kwa kiongozi kuwa na msimamo ila msimamo wake uendane na lugha nzuri, ya uungwana na ya ubinadamu. Ni wazi kauli hiyo iliwauzinisha sana na kukasirisha wananchi wengi Dar es Salaam. Ubinadamu na utu ni kitu cha bure na siyo cha ulazima, hivyo ilitegemewa Magufuli awe na kauli nzuri na yenye hekina na busara kwa wananchi husika.

11. Magufuli ni Mtu wa Visasi vya Hatari
Magufuli siyo mtu wa kawaida kabisa, ndani yake amejaa chuki na visasi. Ni mtu wa visasi vya ajabu, hii inanikumbusha alipogombea ubunge 1995 na bwana Ernest Nyororo. Baada ya kushindwa katika kura za maoni ila baadaye alipoteuliwa bila uwoga alianza kumshughulikia Nyororo mpaka ikampelekea Nyororo akapata shinikizo la moyo. Kumbuka Nyororo ni ndugu yake wa damu sasa sisi wengine itakuwaje, ni wazi hili jambo linaitaji tafakari ya kina. Kama ndugu yake anaweza kumshambulia kiasi hicho iweje watu wa kawaida….. Leo Ocampo nikiwa naandika huu uzi sisiti kusema ya kwamba hata hao viongozi wanaotaka Magufuli apitishwe naomba niwaambie kwa chuki na kisasi cha Magufuli kuna siku atawabadilikia tena sana sana. Huko mbeleni naomba msije mkasema Ocampo hakutuambia….. Nina hakika asilimia zaidi ya 100 Magufuli ana chuki na viongozi waandamizi wa sasa, chuki hiyo anasubiri kuilipiza muda ukifika….

NB: Je kuna Magufuli Mwingine au ni huyu huyu?...............

Asanteni
Ocampo four "....
 
Mkuu naona huzifahamu siasa za nchi hii! Watu wanaposema Chama kwanza umaarufu wa mtu baadaye wanakuwa na maana yao. Nakuambia ukiwa ndani ya chama ndio unapata nguvu ukitoka unabaki kuwa kama Samson.

Unaweza ukatoka ukadhani una watu wanakuunga mkono kumbe ghafla wakakutosa. Nina kumbukumbu za Mpendazoe!

Wewe unatuletea mambo ya mwaka 47 wakati huu ni mwaka 2015. Unadhani wanadamu ni mawe? Watu wanabadilika kutokana na mazingira na misukumo inayotokea katika maisha yao ya kila siku. Ni nani aliefikiri kwamba ngome tiifu ya ccm monduli ingechafuka kama MKONDO WA ATLANTIC??!
 
Magufuli ni makali na hataki mchezo wala kucheka yeye ni kazi tu. Hana visasi wala nini ila ukikosea haoni aibu wala hana ajizi atakutosa tu hata kama ni swaiba wake. kwa kifupi hana rafiki wa kujuana ila ana marafiki wa kazi.

Kimbunga, je maguguli aliyeelezwa hapa naye unamfahamu?

Magufuli ni mtu mwenye visasi sana na yu tayari kuumiza umma wa watu katika kulipa visasi. Kwa wasiomjua, mh. Magufuli alipata kugombea ubunge Jimbo la Biharamulo mara mbili bila kupita. Mara zote aliangushwa na kina marehemu Phares Kabuye kwa kura nyingi sana. Aliweza kupata ubunge pale tu wilaya ya Biharamulo ilipogawanywa na kuwa majimbo mawili yaani Biharamulo Magharibi na Biharamulo Mashariki. Hivyo akafanikiwa kuingia bungeni kwa rushwa kubwa sana na kuwa mbunge wa Biharamulo Mashariki wakati upande wa Biharamulo Magharibi akiwa Mh. Choya.

Baada ya kupata ubunge aliapa kiapo kama atahakikisha Biharamulo mashariki inakufa, kipindi hicho Magufuli alipata unaibu waziri hivyo alitumia nafasi hiyo kuivuruga Halmashauri ya Biharamulo na kwa influence miradi yote mikubwa ya wilaya ikawa inaenda jimboni kwake moja kwa moja bila hata kupitia Halmashauri. Watu wote walitishwa makao makuu ya wilaya na hakuna aliyeweza kusema lolote. Kama mnakumbuka vizuri alifikia kugombana na mbunge mwenzake wa Mashariki aliyefikia kusema kama Magufuli anatumia uwaziri wake kumhujumu jimboni mwake (kitendo kilichomuudhi sana Magufuli na kuhakikisha na kufanikisha Mh.Choya anadondoka ktk ubunge wa Biharamulo Magharibi. Alifikia kuwa analeta wageni wa kitaifa direct jimboni kwake hata bila kupitia makao makuu ya wilaya lakini nia ikiwa ni kiapo alichokiweka kuwa lazima ataiua Biharamulo Magharibi kwa kumnyima ubunge mara ya pili. Hapa nataka kuwaonyesha kuwa kiongozi huyu mcheshi na mchapa kazi ni mwenye visasi vyenye kuleta maafa kwa wazee, wanawake na watoto.

Je, mtu huyu anaweza kuwa kiongozi wa umma?

Mwaka uliofuatia mheshimwa Magufuli alipita bila kupingwa baada mgombea mwingine aliyekuwa tishio kwake (jina nalihifadhi) kufanyiwa mizengwe wakati wa kurudisha form. Mpokea form alijificha na alijitokeza wakati muda wa kurudisha form umekwisha, akaonekana mrudisha form amerudisha too late. Lakini Mh. Magufuli alikuwa ameisha watisha viongozi wa chama na serikali wilayani Biharamulo kuwa atakaepokea form za bwana huyo basi yeye ni naibu waziri atahakikisha hana kazi. Watu wakatii na wakafanya dhuluma ya kumpitisha Magufuli bila kupingwa. Je, mtu huyu anaweza kuwa kiongozi wa umma?

Mwaka 2005 kijana mdogo (nahifadhi jina lake) kupitia chama cha CUF ambaye alikuwa katibu wa wilaya wa CUF wilayani Biharamulo alichukua form kugombea jimbo la Biharamulo Mashariki kwa Magufuli huku akiwa na suport kubwa sana ya vijana na alikuwa anaenda kumwamgusha mh. Magufuli katika kinyanganyiro hicho. Alichofanya Mh. Magufuli alimteka kijana huyo na kumpakia kwenye gari hadi Mwanza kutoka mji mdogo wa Buseresere. Walimpelekea mke wa huyo bwana pesa wakampatia simu aongee na mume wake wakimshawishi waende hadi Mwanza wampatie pesa aondoe jina kwani pesa kidogo ya matumizi wameishamwachia mke wake yule bwana. Alipofika Mwanza akapandishiwa dau hadi milioni 60 akubali kutorudisha form za ubunge ikiwa hapo imebaki siku 4 kabla form kurudishwa. Kijana akakabidhi form zake kwa Magufuli wakaenda nae hadi bank kijana kabaki kwenye bench mh. waziri akaingia ndani akatoka akamwambia account yake pale haina pesa waongozane hadi Dar es salaam. Wakapanda ndege hadi Dar kijana akafikishiwa kwenye 3 star hotel kwa bili ya mheshimiwa siku tatu bila kuonanana Mh. Magufuli. Siku ya nne kijana anaona kwenye TV Magufuli amepita bila kupingwa akashtuka kaulizia hadi ofisini kwa waziri kafika akakaribishwa. Mh. kama hamjui akamuuliza shida yako nini akasema nipe pesa zangu mh. akamwambia unakuja kuniomba rushwa nikuachie ubunge wewe kijana huna adabu kabisa. Mkifuatilia CUF, hiki kisa wanakijua vizuri kwani walipelekewa taarifa kama kuna mgombea wao ameenda kuuza ubunge kwa Magufuli ikabidi Green GUARD ya CUF iende kum-arrest na kumpeleka Buguruni makao makuu na kurudi Biharamulo kwa aibu kubwa lakini baadae alimtafutia kazi kwenye mgodi huko Tulawaka anafanya kazi kumziba mdomo kwa sababu kijana alikuwa ameapa kumfanyizia.

Huyu ndiye Magufuli, je anaweza kuwa kiongozi wa nchi katika uhuni wa namna hii?

Sinema ya Magufuli haiishi hapo; kile kiapo chake cha kulipa kisasi Biharamulo Magharibi kiliendelea alipolazimisha kupindisha barabara ya lami kuingia Chato toka Mwanza kwenda Bukoba kupitia Biharamulo makao makuu ya wilaya akaipindishia Chato nyumbani kwake na kuua makao makuu ya wilaya ya Biharamulo. Huyu ndiye kiongozi anayeweza kuongoza watu?

Mh. Magufuli alipigana na kulobby kwa nguvu zote kuhakikisha Chato inakuwa wilaya ili Biharamulo Magharibi wasifaidi mapato ya ziwa ambalo yanapatikana upande wa Chato na Nyamirembe na ndiyo kilichokuwa chanzo kikuu cha mapato cha wilaya ya Biharamulo lengo ikiwa ni katika kuendelea kulipa visasi kwa nini upande wa Magharibi walikuwa hawampi kura kwa mihula takribani miwili, alifaulu na Chato ikawa wilaya mpya toka Biharamulo.

Alipojikuta amesahau kuwa mgodi wa Tulawaka upo Biharamulo na haupo Chato alianza kuharasi uongozi wa wilaya ya Biharamulo kuwa ule mrahaba wa mwisho wa mwaka unaotolewa na migodi kwenye halmashauri za wilaya migodi ilipo alitaka Biharamulo igawane nusu kwa nusu mrahaba wake na wilaya ya Chato. Huyu ndiye Mh. Magufuli, je rais anaweza kuwa na tabia hizi chafuchafu namna hii?

Iliposhindikana akiwa waziri wa ardhi Mh. Magufuli kwa makusudi kabisa alibadilisha mawe ya mpaka kwa amri kama waziri wa ardhi kuiingiza Tulawaka ndani ya wilaya ya Chato hivyo siku si nyingi Chato itadai Tulawaka ipo kwao na watapora haki ya wana Biharamulo. Swala hili lipo wazi kabisa halmashauri ya wilaya kupitia baraza la madiwani limelalamika sana kuhusu ushenzi huu wa Magufuli. Huyu ndiyo mtu anaweza kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania?

Mwaka jana katika mpaka mwingine wa Biharamulo na Chato kijiji cha Biharamulo kinachopakana na Chato huko kata ya Runazi wanakijiji waligundua kuna dhahabu na kuna wachimbaji wadowadogo. Mh. Magufuli yupo analazimisha kubadili mipaka ili hiki kijiji kihamie wilayani Chato na kumekuwa na mgogoro wa kiutawala unochochewa na yeye. Huyu ndiyo Mh. Magufuli anaepigiwa debe humu ndani kama anaweza kuwa rais. Rais huangaliwa pande zote mafanikio na madhaifu kwangu mimi madhaifu ya Magufuli ni mengi kuliko mafanikio. Mtakumbuka kilio cha nyumba za serikali lakini huyu jamaa mkumbuke ni bingwa wa kusimamia wakandarasi na kutaka viwango kktk ujenzi lakini yote tisa kumi mh. anajenga ghorofa pale kwake anapoishi Osterbay. Nendeni mkaone maajabu ya Mussa, wajenzi mafundi mchundo hata ramani hazijapitishwa sababu wachoraji ni watu wa mitaani na mafundi ni vibarua mchundo, huyu ndiyo Mh. Magufuli.

Lakini skendo kubwa ya huyu bwana ambayo waandishi wangefuatilia kumjua vizuri ni jinsi alivyochezea mipaka ya wilaya ya Biharamulo kubadilisha DN za vijiji na kusogezwa mawe yalioidhinishwa na serikali bila hata serikali kujua kuzipeleka Chato. Hii ni hujuma kubwa na anastahili kujiuzulu. Waandishi nendeni mkawahoji wananchi na viongozi wa wilaya ya Biharamulo mjue huyu mtu kitu alichofanya mtu namna hii hawezi kuwa kiongozi kabisa

Huko jimboni kwake wafanyakazi wa serikali wote walio against naye amewaumiza sana wengine hata kufunga vibiashara vyao vidogovidogo ili tu wakubaliane naye. Kwa ufupi hajawahi kupita bila kupingwa ila amekuwa akipita kwa hila kubwa.

Naomba kuwasilisha ili tumpime kwa pamoja. Je, tabia hizi zinaweza kumpa urais kweli?

====================================== Zaidi ===================================

Ninakubaliana na wewe kwa asilimia nyingi. Magufuli hajawahi ku inspire watu wakajituma kufanya alichotaka wafanye kwa vile wanapenda.
Hakuna sehemu ameacha sustainable changes in working culture.
Hajawahi kuunda team ikasimama naye zaidi ya watu kufanya kazi kwa woga na unafiki.
Kila sehemu alipokuwa akiondoka mahali, aliyokuwa anayaasisi yalikufa mara moja.

Sasa hapa ni jumla ya masuala mawili. Hulka yake, udhaifu katika uongozi, kukosa uwezo wa kidiplomasia pamoja na kiburi, ubeberu, na failure za chama chake ambazo zimeshindwa kujenga nidhamu za kazi na kusimamia uwajibikaji wa viwango.

Yeye kama Magufuli uongozi hawezi hasa linapokuja suala la maamuzi, mahusiano na raslimali watu, ukiachana na nia zake binafsi. Chama kinachompeleka ni kile kile klichokumbaitia mauti ya Watanzania kiasi cha kushindwa katika kila hali ikiwemo uundaji na usimamizi wa serikali. Mafisadi, wazembe, wadanganyifu, malaghai, mauaji, madhurumati, majizi n.k ndiyo yale yale yamekaa mkao wa kula yanasubiri ashinde, ayateue kuunda serikali na kufanya nayo kazi.
Hapa ni nini kama si mauti kwa taifa?
 
Kimbunga, je maguguli aliyeelezwa hapa naye unamfahamu?

Magufuli ni mtu mwenye visasi sana na yu tayari kuumiza umma wa watu katika kulipa visasi. Kwa wasiomjua, mh. Magufuli alipata kugombea ubunge Jimbo la Biharamulo mara mbili bila kupita. Mara zote aliangushwa na kina marehemu Phares Kabuye kwa kura nyingi sana. Aliweza kupata ubunge pale tu wilaya ya Biharamulo ilipogawanywa na kuwa majimbo mawili yaani Biharamulo Magharibi na Biharamulo Mashariki. Hivyo akafanikiwa kuingia bungeni kwa rushwa kubwa sana na kuwa mbunge wa Biharamulo Mashariki wakati upande wa Biharamulo Magharibi akiwa Mh. Choya.

Baada ya kupata ubunge aliapa kiapo kama atahakikisha Biharamulo mashariki inakufa, kipindi hicho Magufuli alipata unaibu waziri hivyo alitumia nafasi hiyo kuivuruga Halmashauri ya Biharamulo na kwa influence miradi yote mikubwa ya wilaya ikawa inaenda jimboni kwake moja kwa moja bila hata kupitia Halmashauri. Watu wote walitishwa makao makuu ya wilaya na hakuna aliyeweza kusema lolote. Kama mnakumbuka vizuri alifikia kugombana na mbunge mwenzake wa Mashariki aliyefikia kusema kama Magufuli anatumia uwaziri wake kumhujumu jimboni mwake (kitendo kilichomuudhi sana Magufuli na kuhakikisha na kufanikisha Mh.Choya anadondoka ktk ubunge wa Biharamulo Magharibi. Alifikia kuwa analeta wageni wa kitaifa direct jimboni kwake hata bila kupitia makao makuu ya wilaya lakini nia ikiwa ni kiapo alichokiweka kuwa lazima ataiua Biharamulo Magharibi kwa kumnyima ubunge mara ya pili. Hapa nataka kuwaonyesha kuwa kiongozi huyu mcheshi na mchapa kazi ni mwenye visasi vyenye kuleta maafa kwa wazee, wanawake na watoto.

Je, mtu huyu anaweza kuwa kiongozi wa umma?

Mwaka uliofuatia mheshimwa Magufuli alipita bila kupingwa baada mgombea mwingine aliyekuwa tishio kwake (jina nalihifadhi) kufanyiwa mizengwe wakati wa kurudisha form. Mpokea form alijificha na alijitokeza wakati muda wa kurudisha form umekwisha, akaonekana mrudisha form amerudisha too late. Lakini Mh. Magufuli alikuwa ameisha watisha viongozi wa chama na serikali wilayani Biharamulo kuwa atakaepokea form za bwana huyo basi yeye ni naibu waziri atahakikisha hana kazi. Watu wakatii na wakafanya dhuluma ya kumpitisha Magufuli bila kupingwa. Je, mtu huyu anaweza kuwa kiongozi wa umma?

Mwaka 2005 kijana mdogo (nahifadhi jina lake) kupitia chama cha CUF ambaye alikuwa katibu wa wilaya wa CUF wilayani Biharamulo alichukua form kugombea jimbo la Biharamulo Mashariki kwa Magufuli huku akiwa na suport kubwa sana ya vijana na alikuwa anaenda kumwamgusha mh. Magufuli katika kinyanganyiro hicho. Alichofanya Mh. Magufuli alimteka kijana huyo na kumpakia kwenye gari hadi Mwanza kutoka mji mdogo wa Buseresere. Walimpelekea mke wa huyo bwana pesa wakampatia simu aongee na mume wake wakimshawishi waende hadi Mwanza wampatie pesa aondoe jina kwani pesa kidogo ya matumizi wameishamwachia mke wake yule bwana. Alipofika Mwanza akapandishiwa dau hadi milioni 60 akubali kutorudisha form za ubunge ikiwa hapo imebaki siku 4 kabla form kurudishwa. Kijana akakabidhi form zake kwa Magufuli wakaenda nae hadi bank kijana kabaki kwenye bench mh. waziri akaingia ndani akatoka akamwambia account yake pale haina pesa waongozane hadi Dar es salaam. Wakapanda ndege hadi Dar kijana akafikishiwa kwenye 3 star hotel kwa bili ya mheshimiwa siku tatu bila kuonanana Mh. Magufuli. Siku ya nne kijana anaona kwenye TV Magufuli amepita bila kupingwa akashtuka kaulizia hadi ofisini kwa waziri kafika akakaribishwa. Mh. kama hamjui akamuuliza shida yako nini akasema nipe pesa zangu mh. akamwambia unakuja kuniomba rushwa nikuachie ubunge wewe kijana huna adabu kabisa. Mkifuatilia CUF, hiki kisa wanakijua vizuri kwani walipelekewa taarifa kama kuna mgombea wao ameenda kuuza ubunge kwa Magufuli ikabidi Green GUARD ya CUF iende kum-arrest na kumpeleka Buguruni makao makuu na kurudi Biharamulo kwa aibu kubwa lakini baadae alimtafutia kazi kwenye mgodi huko Tulawaka anafanya kazi kumziba mdomo kwa sababu kijana alikuwa ameapa kumfanyizia.

Huyu ndiye Magufuli, je anaweza kuwa kiongozi wa nchi katika uhuni wa namna hii?

Sinema ya Magufuli haiishi hapo; kile kiapo chake cha kulipa kisasi Biharamulo Magharibi kiliendelea alipolazimisha kupindisha barabara ya lami kuingia Chato toka Mwanza kwenda Bukoba kupitia Biharamulo makao makuu ya wilaya akaipindishia Chato nyumbani kwake na kuua makao makuu ya wilaya ya Biharamulo. Huyu ndiye kiongozi anayeweza kuongoza watu?

Mh. Magufuli alipigana na kulobby kwa nguvu zote kuhakikisha Chato inakuwa wilaya ili Biharamulo Magharibi wasifaidi mapato ya ziwa ambalo yanapatikana upande wa Chato na Nyamirembe na ndiyo kilichokuwa chanzo kikuu cha mapato cha wilaya ya Biharamulo lengo ikiwa ni katika kuendelea kulipa visasi kwa nini upande wa Magharibi walikuwa hawampi kura kwa mihula takribani miwili, alifaulu na Chato ikawa wilaya mpya toka Biharamulo.

Alipojikuta amesahau kuwa mgodi wa Tulawaka upo Biharamulo na haupo Chato alianza kuharasi uongozi wa wilaya ya Biharamulo kuwa ule mrahaba wa mwisho wa mwaka unaotolewa na migodi kwenye halmashauri za wilaya migodi ilipo alitaka Biharamulo igawane nusu kwa nusu mrahaba wake na wilaya ya Chato. Huyu ndiye Mh. Magufuli, je rais anaweza kuwa na tabia hizi chafuchafu namna hii?

Iliposhindikana akiwa waziri wa ardhi Mh. Magufuli kwa makusudi kabisa alibadilisha mawe ya mpaka kwa amri kama waziri wa ardhi kuiingiza Tulawaka ndani ya wilaya ya Chato hivyo siku si nyingi Chato itadai Tulawaka ipo kwao na watapora haki ya wana Biharamulo. Swala hili lipo wazi kabisa halmashauri ya wilaya kupitia baraza la madiwani limelalamika sana kuhusu ushenzi huu wa Magufuli. Huyu ndiyo mtu anaweza kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania?

Mwaka jana katika mpaka mwingine wa Biharamulo na Chato kijiji cha Biharamulo kinachopakana na Chato huko kata ya Runazi wanakijiji waligundua kuna dhahabu na kuna wachimbaji wadowadogo. Mh. Magufuli yupo analazimisha kubadili mipaka ili hiki kijiji kihamie wilayani Chato na kumekuwa na mgogoro wa kiutawala unochochewa na yeye. Huyu ndiyo Mh. Magufuli anaepigiwa debe humu ndani kama anaweza kuwa rais. Rais huangaliwa pande zote mafanikio na madhaifu kwangu mimi madhaifu ya Magufuli ni mengi kuliko mafanikio. Mtakumbuka kilio cha nyumba za serikali lakini huyu jamaa mkumbuke ni bingwa wa kusimamia wakandarasi na kutaka viwango kktk ujenzi lakini yote tisa kumi mh. anajenga ghorofa pale kwake anapoishi Osterbay. Nendeni mkaone maajabu ya Mussa, wajenzi mafundi mchundo hata ramani hazijapitishwa sababu wachoraji ni watu wa mitaani na mafundi ni vibarua mchundo, huyu ndiyo Mh. Magufuli.

Lakini skendo kubwa ya huyu bwana ambayo waandishi wangefuatilia kumjua vizuri ni jinsi alivyochezea mipaka ya wilaya ya Biharamulo kubadilisha DN za vijiji na kusogezwa mawe yalioidhinishwa na serikali bila hata serikali kujua kuzipeleka Chato. Hii ni hujuma kubwa na anastahili kujiuzulu. Waandishi nendeni mkawahoji wananchi na viongozi wa wilaya ya Biharamulo mjue huyu mtu kitu alichofanya mtu namna hii hawezi kuwa kiongozi kabisa

Huko jimboni kwake wafanyakazi wa serikali wote walio against naye amewaumiza sana wengine hata kufunga vibiashara vyao vidogovidogo ili tu wakubaliane naye. Kwa ufupi hajawahi kupita bila kupingwa ila amekuwa akipita kwa hila kubwa.

Naomba kuwasilisha ili tumpime kwa pamoja. Je, tabia hizi zinaweza kumpa urais kweli?

====================================== Zaidi ===================================

Ninakubaliana na wewe kwa asilimia nyingi. Magufuli hajawahi ku inspire watu wakajituma kufanya alichotaka wafanye kwa vile wanapenda.
Hakuna sehemu ameacha sustainable changes in working culture.
Hajawahi kuunda team ikasimama naye zaidi ya watu kufanya kazi kwa woga na unafiki.
Kila sehemu alipokuwa akiondoka mahali, aliyokuwa anayaasisi yalikufa mara moja.

Sasa hapa ni jumla ya masuala mawili. Hulka yake, udhaifu katika uongozi, kukosa uwezo wa kidiplomasia pamoja na kiburi, ubeberu, na failure za chama chake ambazo zimeshindwa kujenga nidhamu za kazi na kusimamia uwajibikaji wa viwango.

Yeye kama Magufuli uongozi hawezi hasa linapokuja suala la maamuzi, mahusiano na raslimali watu, ukiachana na nia zake binafsi. Chama kinachompeleka ni kile kile klichokumbaitia mauti ya Watanzania kiasi cha kushindwa katika kila hali ikiwemo uundaji na usimamizi wa serikali. Mafisadi, wazembe, wadanganyifu, malaghai, mauaji, madhurumati, majizi n.k ndiyo yale yale yamekaa mkao wa kula yanasubiri ashinde, ayateue kuunda serikali na kufanya nayo kazi.
Hapa ni nini kama si mauti kwa taifa?
Huyo kijana hakuwa mgombea ubunge bali msaka tonge. Mkuu unataka kusema Biharamulo haina barabara ya Lami?
 
Kimbunga, je maguguli aliyeelezwa hapa naye unamfahamu?

Magufuli ni mtu mwenye visasi sana na yu tayari kuumiza umma wa watu katika kulipa visasi. Kwa wasiomjua, mh. Magufuli alipata kugombea ubunge Jimbo la Biharamulo mara mbili bila kupita. Mara zote aliangushwa na kina marehemu Phares Kabuye kwa kura nyingi sana. Aliweza kupata ubunge pale tu wilaya ya Biharamulo ilipogawanywa na kuwa majimbo mawili yaani Biharamulo Magharibi na Biharamulo Mashariki. Hivyo akafanikiwa kuingia bungeni kwa rushwa kubwa sana na kuwa mbunge wa Biharamulo Mashariki wakati upande wa Biharamulo Magharibi akiwa Mh. Choya.

Baada ya kupata ubunge aliapa kiapo kama atahakikisha Biharamulo mashariki inakufa, kipindi hicho Magufuli alipata unaibu waziri hivyo alitumia nafasi hiyo kuivuruga Halmashauri ya Biharamulo na kwa influence miradi yote mikubwa ya wilaya ikawa inaenda jimboni kwake moja kwa moja bila hata kupitia Halmashauri. Watu wote walitishwa makao makuu ya wilaya na hakuna aliyeweza kusema lolote. Kama mnakumbuka vizuri alifikia kugombana na mbunge mwenzake wa Mashariki aliyefikia kusema kama Magufuli anatumia uwaziri wake kumhujumu jimboni mwake (kitendo kilichomuudhi sana Magufuli na kuhakikisha na kufanikisha Mh.Choya anadondoka ktk ubunge wa Biharamulo Magharibi. Alifikia kuwa analeta wageni wa kitaifa direct jimboni kwake hata bila kupitia makao makuu ya wilaya lakini nia ikiwa ni kiapo alichokiweka kuwa lazima ataiua Biharamulo Magharibi kwa kumnyima ubunge mara ya pili. Hapa nataka kuwaonyesha kuwa kiongozi huyu mcheshi na mchapa kazi ni mwenye visasi vyenye kuleta maafa kwa wazee, wanawake na watoto.

Je, mtu huyu anaweza kuwa kiongozi wa umma?

Mwaka uliofuatia mheshimwa Magufuli alipita bila kupingwa baada mgombea mwingine aliyekuwa tishio kwake (jina nalihifadhi) kufanyiwa mizengwe wakati wa kurudisha form. Mpokea form alijificha na alijitokeza wakati muda wa kurudisha form umekwisha, akaonekana mrudisha form amerudisha too late. Lakini Mh. Magufuli alikuwa ameisha watisha viongozi wa chama na serikali wilayani Biharamulo kuwa atakaepokea form za bwana huyo basi yeye ni naibu waziri atahakikisha hana kazi. Watu wakatii na wakafanya dhuluma ya kumpitisha Magufuli bila kupingwa. Je, mtu huyu anaweza kuwa kiongozi wa umma?

Mwaka 2005 kijana mdogo (nahifadhi jina lake) kupitia chama cha CUF ambaye alikuwa katibu wa wilaya wa CUF wilayani Biharamulo alichukua form kugombea jimbo la Biharamulo Mashariki kwa Magufuli huku akiwa na suport kubwa sana ya vijana na alikuwa anaenda kumwamgusha mh. Magufuli katika kinyanganyiro hicho. Alichofanya Mh. Magufuli alimteka kijana huyo na kumpakia kwenye gari hadi Mwanza kutoka mji mdogo wa Buseresere. Walimpelekea mke wa huyo bwana pesa wakampatia simu aongee na mume wake wakimshawishi waende hadi Mwanza wampatie pesa aondoe jina kwani pesa kidogo ya matumizi wameishamwachia mke wake yule bwana. Alipofika Mwanza akapandishiwa dau hadi milioni 60 akubali kutorudisha form za ubunge ikiwa hapo imebaki siku 4 kabla form kurudishwa. Kijana akakabidhi form zake kwa Magufuli wakaenda nae hadi bank kijana kabaki kwenye bench mh. waziri akaingia ndani akatoka akamwambia account yake pale haina pesa waongozane hadi Dar es salaam. Wakapanda ndege hadi Dar kijana akafikishiwa kwenye 3 star hotel kwa bili ya mheshimiwa siku tatu bila kuonanana Mh. Magufuli. Siku ya nne kijana anaona kwenye TV Magufuli amepita bila kupingwa akashtuka kaulizia hadi ofisini kwa waziri kafika akakaribishwa. Mh. kama hamjui akamuuliza shida yako nini akasema nipe pesa zangu mh. akamwambia unakuja kuniomba rushwa nikuachie ubunge wewe kijana huna adabu kabisa. Mkifuatilia CUF, hiki kisa wanakijua vizuri kwani walipelekewa taarifa kama kuna mgombea wao ameenda kuuza ubunge kwa Magufuli ikabidi Green GUARD ya CUF iende kum-arrest na kumpeleka Buguruni makao makuu na kurudi Biharamulo kwa aibu kubwa lakini baadae alimtafutia kazi kwenye mgodi huko Tulawaka anafanya kazi kumziba mdomo kwa sababu kijana alikuwa ameapa kumfanyizia.

Huyu ndiye Magufuli, je anaweza kuwa kiongozi wa nchi katika uhuni wa namna hii?

Sinema ya Magufuli haiishi hapo; kile kiapo chake cha kulipa kisasi Biharamulo Magharibi kiliendelea alipolazimisha kupindisha barabara ya lami kuingia Chato toka Mwanza kwenda Bukoba kupitia Biharamulo makao makuu ya wilaya akaipindishia Chato nyumbani kwake na kuua makao makuu ya wilaya ya Biharamulo. Huyu ndiye kiongozi anayeweza kuongoza watu?

Mh. Magufuli alipigana na kulobby kwa nguvu zote kuhakikisha Chato inakuwa wilaya ili Biharamulo Magharibi wasifaidi mapato ya ziwa ambalo yanapatikana upande wa Chato na Nyamirembe na ndiyo kilichokuwa chanzo kikuu cha mapato cha wilaya ya Biharamulo lengo ikiwa ni katika kuendelea kulipa visasi kwa nini upande wa Magharibi walikuwa hawampi kura kwa mihula takribani miwili, alifaulu na Chato ikawa wilaya mpya toka Biharamulo.

Alipojikuta amesahau kuwa mgodi wa Tulawaka upo Biharamulo na haupo Chato alianza kuharasi uongozi wa wilaya ya Biharamulo kuwa ule mrahaba wa mwisho wa mwaka unaotolewa na migodi kwenye halmashauri za wilaya migodi ilipo alitaka Biharamulo igawane nusu kwa nusu mrahaba wake na wilaya ya Chato. Huyu ndiye Mh. Magufuli, je rais anaweza kuwa na tabia hizi chafuchafu namna hii?

Iliposhindikana akiwa waziri wa ardhi Mh. Magufuli kwa makusudi kabisa alibadilisha mawe ya mpaka kwa amri kama waziri wa ardhi kuiingiza Tulawaka ndani ya wilaya ya Chato hivyo siku si nyingi Chato itadai Tulawaka ipo kwao na watapora haki ya wana Biharamulo. Swala hili lipo wazi kabisa halmashauri ya wilaya kupitia baraza la madiwani limelalamika sana kuhusu ushenzi huu wa Magufuli. Huyu ndiyo mtu anaweza kuwa rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania?

Mwaka jana katika mpaka mwingine wa Biharamulo na Chato kijiji cha Biharamulo kinachopakana na Chato huko kata ya Runazi wanakijiji waligundua kuna dhahabu na kuna wachimbaji wadowadogo. Mh. Magufuli yupo analazimisha kubadili mipaka ili hiki kijiji kihamie wilayani Chato na kumekuwa na mgogoro wa kiutawala unochochewa na yeye. Huyu ndiyo Mh. Magufuli anaepigiwa debe humu ndani kama anaweza kuwa rais. Rais huangaliwa pande zote mafanikio na madhaifu kwangu mimi madhaifu ya Magufuli ni mengi kuliko mafanikio. Mtakumbuka kilio cha nyumba za serikali lakini huyu jamaa mkumbuke ni bingwa wa kusimamia wakandarasi na kutaka viwango kktk ujenzi lakini yote tisa kumi mh. anajenga ghorofa pale kwake anapoishi Osterbay. Nendeni mkaone maajabu ya Mussa, wajenzi mafundi mchundo hata ramani hazijapitishwa sababu wachoraji ni watu wa mitaani na mafundi ni vibarua mchundo, huyu ndiyo Mh. Magufuli.

Lakini skendo kubwa ya huyu bwana ambayo waandishi wangefuatilia kumjua vizuri ni jinsi alivyochezea mipaka ya wilaya ya Biharamulo kubadilisha DN za vijiji na kusogezwa mawe yalioidhinishwa na serikali bila hata serikali kujua kuzipeleka Chato. Hii ni hujuma kubwa na anastahili kujiuzulu. Waandishi nendeni mkawahoji wananchi na viongozi wa wilaya ya Biharamulo mjue huyu mtu kitu alichofanya mtu namna hii hawezi kuwa kiongozi kabisa

Huko jimboni kwake wafanyakazi wa serikali wote walio against naye amewaumiza sana wengine hata kufunga vibiashara vyao vidogovidogo ili tu wakubaliane naye. Kwa ufupi hajawahi kupita bila kupingwa ila amekuwa akipita kwa hila kubwa.

Naomba kuwasilisha ili tumpime kwa pamoja. Je, tabia hizi zinaweza kumpa urais kweli?

====================================== Zaidi ===================================

Ninakubaliana na wewe kwa asilimia nyingi. Magufuli hajawahi ku inspire watu wakajituma kufanya alichotaka wafanye kwa vile wanapenda.
Hakuna sehemu ameacha sustainable changes in working culture.
Hajawahi kuunda team ikasimama naye zaidi ya watu kufanya kazi kwa woga na unafiki.
Kila sehemu alipokuwa akiondoka mahali, aliyokuwa anayaasisi yalikufa mara moja.

Sasa hapa ni jumla ya masuala mawili. Hulka yake, udhaifu katika uongozi, kukosa uwezo wa kidiplomasia pamoja na kiburi, ubeberu, na failure za chama chake ambazo zimeshindwa kujenga nidhamu za kazi na kusimamia uwajibikaji wa viwango.

Yeye kama Magufuli uongozi hawezi hasa linapokuja suala la maamuzi, mahusiano na raslimali watu, ukiachana na nia zake binafsi. Chama kinachompeleka ni kile kile klichokumbaitia mauti ya Watanzania kiasi cha kushindwa katika kila hali ikiwemo uundaji na usimamizi wa serikali. Mafisadi, wazembe, wadanganyifu, malaghai, mauaji, madhurumati, majizi n.k ndiyo yale yale yamekaa mkao wa kula yanasubiri ashinde, ayateue kuunda serikali na kufanya nayo kazi.
Hapa ni nini kama si mauti kwa taifa?


Umeandika ukweli 100% wala hujamuonea mtu. Tatizo la magufuli siyo kiongozi ni mnyampara. Mnyampara has knowledge, a little bit of understanding but completrely Zero wisdom. Wisdom is the ability to use knowledge and understanding to consistently make good decisons. How many good decisions has the guy made in his ministrial posts?
 
Wewe unatuletea mambo ya mwaka 47 wakati huu ni mwaka 2015. Unadhani wanadamu ni mawe? Watu wanabadilika kutokana na mazingira na misukumo inayotokea katika maisha yao ya kila siku. Ni nani aliefikiri kwamba ngome tiifu ya ccm monduli ingechafuka kama MKONDO WA ATLANTIC??!
Khaa!! Tiifu kwa nani? Hilo lenye sura ya kibaguzi??.Na hilo kimahesabu linazidi kumjenga tingatinga
 
Umeandika ukweli 100% wala hujamuonea mtu. Tatizo la magufuli siyo kiongozi ni mnyampara. Mnyampara has knowledge, a little bit of understanding but completrely Zero wisdom. Wisdom is the ability to use knowledge and understanding to consistently make good decisons. How many good decisions has the guy made in his ministrial posts?
Khaa!! Na tulipofikia sasa kwa nchi yetu tunahitaji kiongozi wa namna hiyo 100% ili irudi kwenye msitari! Btw ungeeandika kiswahili ingekaa poa zaidi
 
Mhh haya ngoja tuone ukweli wa thread yenu hii. So far tathmini ikoje?
 
Magufuli ni makali na hataki mchezo wala kucheka yeye ni kazi tu. Hana visasi wala nini ila ukikosea haoni aibu wala hana ajizi atakutosa tu hata kama ni swaiba wake. kwa kifupi hana rafiki wa kujuana ila ana marafiki wa kazi.
Kazi gani wewe, acha kumpamba mtu. Kazi kumzidi nani?
 
Back
Top Bottom