List of Shame: Mrema na Slaa wazungumzia Vigogo wa Ufisadi Tanzania

Hata sielewi implication yake...backlash, backfire, hatua madhubuti zaidi; au itaishia kuwa soga tu.

Nadhani reactions za hao waliotajwa zitakuwa za pupa na za haraka mno.Slaa atatuhumiwa kuwadhalilisha viongozi wa kitaifa "kwa kutoa tuhuma za uongo zenye lengo la kuvuruga amani na utulivu.

"Nakubaliana na idea ya Dr Slaa kwamba for the time wao kwenda mahakamani ni sawa na kuwapa muda hao wala rushwa kwa vile kesi zinazohusu vigogo huwa zinachukua muda mrefu sana,na wakati huohuo vigogo hao watakuwa wanafanya kila wawezalo kufuta ushahidi.

Tusisahau pia kuwa majaji wetu ni wateuliwa wa Rais....Backfiring?Well,watajwa watafanya usanii kumgeuzia kibao Dr Slaa ili ionekane hiyo ishu imemgeukia yeye.Backlash?That's expected.

Hawa wala rushwa huwa hawapendi kubughudhiwa wakati wanakula keki ya taifa.Hatua madhubuti?Well,that's up to the public to work on what's been revealed to them.

Soga tu?Again,hili jeshi dogo la akina Slaa linaweza kumprove Bob Marley right aliposema shoka dogo linaweza kuangusha mti mkubwa,lakini for that to happen,inabidi kuwe na support ya kutosha kutoka kwa wananchi wenye uchungu na nchi yao.
 
ahhh mimi tatizo langu ni kuwa MWANAKIJIJI sasa hivi anajulikana DUNIA NZIMA na redio yake ya DETRIOUT sasa kulikuwa na umuhimu gani kufanya Interview kuhutumia vifaa vya hawa mabitoz wa CHICAGO ? Kwani inaonekana kuwa tunayeyushana na pili interview INAPOTEA POTEA na tatu kama kweli MWANA KIJIJI YUKO SERIOUS NA MAMBO HAYA KWA NINI ASICHUNE CREDIT CARD ANUNUE MITAMBO YA KISASA ZAIDI BADALA YA KUTULETEA INTERVIEW ZA AJABU AJABU


I AM SORRY IN A DIGITAL AGE HIZI MISHAP HAZINA MPANGO

MIMI MWANAKIJIJI HUWA SIKUBALIANI NAYE LAKINI AKIPITISHA HARAMBEE YA KUNUNUA MTAMBO MPYA NIKO TAYARI KUMSUPPORT KWA HALI NA MALI

Harambee ilipitishwa hapa,wenye nia dhati ya kuchanga tulichanga.Give the dude his credits na sio kulalamika tu.Hizo technical problems huwa zinatokea hata kwa CNN,BBC,SKY,etc.Mwanakijiji is doing a great service to the society,na ni bure kabisa.Why criticize him badala ya wewe kutumia credit card yako kununua mitambo ya kuuhudumia umma bila hizo mishaps?Hebu nenda kasome gazeti la Mwananchi kwenye website yao uone walivyoficha details za mkutano huo,halafu linganisha na hicho ulichokisikia kutoka kwa Mwanakijiji.
 
Harambee ilipitishwa hapa,wenye nia dhati ya kuchanga tulichanga.Give the dude his credits na sio kulalamika tu.Hizo technical problems huwa zinatokea hata kwa CNN,BBC,SKY,etc.Mwanakijiji is doing a great service to the society,na ni bure kabisa.Why criticize him badala ya wewe kutumia credit card yako kununua mitambo ya kuuhudumia umma bila hizo mishaps?Hebu nenda kasome gazeti la Mwananchi kwenye website yao uone walivyoficha details za mkutano huo,halafu linganisha na hicho ulichokisikia kutoka kwa Mwanakijiji.

NDIO MAANANIKASEMA INABIDI ATAFUTE MA SPONSORS WAKUBWA WAKUBWA

HIVI FREEMAN ANASHINDWA KUMNUNULIA VIFAA MKJJ?
 
NDIO MAANANIKASEMA INABIDI ATAFUTE MA SPONSORS WAKUBWA WAKUBWA

HIVI FREEMAN ANASHINDWA KUMNUNULIA VIFAA MKJJ?


Kwanini mpaka iwe Freeman? Hata wewe unaweza kwa mchango wako kidogo umoja ni nguvu we tia tu ulichonacho kwenye bakuli tupo wengi haba na haba.
 
NDIO MAANANIKASEMA INABIDI ATAFUTE MA SPONSORS WAKUBWA WAKUBWA

HIVI FREEMAN ANASHINDWA KUMNUNULIA VIFAA MKJJ?

Kutafuta na kupata "sponsors wakubwa" sio tatizo as such,bali implications za kufanya hivyo.Wengi wa sponsors "wakubwa" wanaangalia maslahi ya biashara zao,na wanapotoa msaada it's likely utakuwa na strings attached.Akiwa sponsored na Mbowe,si ajabu wewe ukawa wa kwanza kusema kuwa "hii ni redio ya chadema."
 
Hahahaha....pamoja na madongo yake sio....thats whats up,sasa nasubiri old school mazee...
 
Mwanakijiji niko na wewe 100 kwenye hili

najua sometimes huwa i take pleasure kukuwind up lakini truth be told deep down i admire what you are doing man

Count me in man...good job bro
 
Mzee Mwanakijiji

Kwa wale tulio-miss live unaweza kutusaidia kuyaweka tena hewani japo kwa wiki moja hivi na sisi kuyasikia tena hayo matangazo...please
.
 
Geeque nilikuwa nakusikiliza hivi ulisahau kuwa mimi ni msikilizaji nzuri naona hukunitaja. It's all good...lol
Najua kuna watu hapa wanasubiri mawazo yangu kwenye issues zilizotokea siku za karibuni na wengine wameniandikia PM kuniuliza lakini naombeni muda nitarudi hapa.

Kwa leo ningependa kuwaulizeni kama kuna mtu hapa JF anaujua huu mji Bethanna, Kentucky yaani siamini J'mosi iko hivi hebu niambieni wapi kwa kwenda nisipoteze siku yangu hivi hivi.
 
Hizi ni siasa za udaku. kutaja viongozi wala rushwa ndio itakupa ushindi 2015? mrema hajifunzi tu na hawafundishi wenzake kutorudia makosa yake? ndio kuna wala rushwa wengi ccm lakini kuishia na sera ya kuwataja tu na kuwaanika hadharani ni siasa za udaku tu. Upinzania should begin kuwa serious.

Mambo ya rushwa isiwe silaha ya msingi kushindana na ccm kwani ccm ikibanwa sana na yenyewe itaweza kabisa wapiga meteke viongozi wake wala rushwa ili kukiokoa chama. Then wapinzania watafanya nini? CCM inawacheka tu hawa wapinzani kwa sababu they act more like pressure groups, sio vyama vya kisiasa.

Upinzani uje na sera za maendeleo ya mkulima na mfanyakazi kama ndio silaha ya msingi kukiangusha chama cha mapinduzi. Masuala ya rushwa yawe by the way tu because hata wapinzani wakishika nchi, rushwa itakuwepo tu.

Sera za maendeleo na competency ya watendaji wake ndio njia kuu ya kuiangusha ccm. Pia wapinzani waanze kwa kuteka majimbo ya bunge mengi iwezekanavyo na vile vile icheze vizuri na media among the poor kuwaelimisha mambo mbali mbali kama haki zao etc, wasitumia media kwa propaganda.
 
Mchambuzi

Poor analysis as usual.Je ulitaka kama wanafahamu uharamia wa viongozi wetu basi wakae kimya?Hivi unajua sacrifice wanayofanya kwa maisha yao kwa MANUFAA YA WANANCHI?I never expected ANY SANE PERSON kulaumu walichofanya wazalendo hawa.Tatizo la nchi yetu tuna baadhi ya wenzetu ambao ni wazembe wa kufikiri ambao kwao kilicho sahihi ni kile tu kitakachotamkwa na CCM au viongozi wake.Kiongozi wa upinzani akisema kitu,basi lazima watapata cha kukosoa.What about wabunge wetu ambao wanapinga kila hoja hata kama ni ya maendeleo kwa majimbo yao?

Hivi kwa akili yako wewe unayejiita mchambuzi unadhani tunaweza kupiga hatua yoyote ya maendeleo pasipo kuwaweka hadharani wala rushwa na kuuachia umma uwahukumu?Tofautisha maslahi ya nchi na interests za political parties.Kama una idea ya kutosha kuhusu SIASA basi nadhani unafahamu kuwa political parties can come and go,but the nation is there to stay unless some unscrupulous politicians like CCM's waipeleke ahera.Stop being partisan and toa hoja kama Mtanzania unayenyonywa.

I doubt kama ulimsikiliza vizuri Dr Slaa.Maana katika maelezo yake msisito ulikuwa ni MASLAHI YA TAIFA na sio CHADEMA.Upofu wa mawazo ni mbaya lakini upofu wa mawazo uliochanganyika na uzembe wa kufikiri ni ugonjwa mbaya zaidi.

Kuwatetea watuhumiwa kabla ya wanyewe hawajafanya hivyo kunamaanisha kitu kimoja tu:KUJIPENDEKEZA.As to whether that ni matokeo ya njaa au ufinyu wa mawazo remains to be seen.
 
Last edited by a moderator:
Mchambuzi

Huu ni mfano wa wazi wa kile political psychologists wamekiita kama "the oppresed mentality" ambapo inaendana na kutojiamini kuwa mtu unaweza kujikomboa ama kukombolewa katika madhila ya kunyonywa, kunyanyaswa na hata kukandamizwa.

Ama fikira za washika dau wa tabaka tawala ambao hawaishi kujitahidi kuwachagulia mahasimu wao lugha ama maneno ya kuongea ambayo wanaamini kuwa hayatishii sana maslahi yao kwa kumpandisha chuki mnyonge na badala yake wangependa maneno ambayo yanawapa moyo wanyonge hao lakini yanakosa any substance inayoweza kuwaamsha wengi walio lala.

Kaka Mchambuzi pole ndugu yangu tupo wengi katika hili....

Tanzanianjema
 
Last edited by a moderator:
Mchambuzi

Je wewe hujasikia aliyekua Rais wa Philipine kafungwa kwa sababu ya tuhuma za rushwa,je hujasikia PM wa Japan kajiuzuru kwa sababu serikali yake kukumbwa na scandal nyingi ikiwemo rushwa.

Je ulisoma hotuba ya aliyekua balozi wa USA nchini Tanzania,usikie alituasa nini kabla hajaondoka?Ndugu mchambuzi,ni kweli hata kama upinzani ikishika madaraka,rushwa itakuwepo,hata dola kubwa kama US na nchi za ulaya,bado rushwa ipo.Ila tatizo sio kuwepo kwa rushwa,tatizo ni mapambano dhidi ya rushwa yanafanyikaje?

Serikali yetu imeshindwa kabisa kupambana na rushwa,kila siku scandals,je ulisikia uchaguzi wa ccm hivi karibuni?Yale uliyoyasikia ndani ya ccm,unafikiri yatatufikisha wapi?Leo hii hapo ulipo ndugu mchambuzi,kaa ukijua ccm ulioyokua unaijua sio yenyewe,rais wako ni mdhaifu haijawahi kutokea,anaigawa nchi,na kuleta mambo ya kishikaji.

Wewe huoni mwelekeo wa nchi unaenda kuzimu?Kazi ya kuikomboa nchi haitafanywa na Mrema au Slaa,au upinzani,itafanywa na watu wote ikiwemo na wewe.Usiseme wapinzani wangefanya hivi,je wewe umefanya vipi kama mwananchi?

Sasa hivi kinachoendelea nchini sio siasa tena,bali ni mauzauza,politics is just a dirty and nasty game,wanasiasa wapo kwa ajili ya maslahi.

Inabidi ifike wakati tuachane kuzungumzia mambo ya ccm sijui upinzani sijui mrema,muda umefika tujiulize tunaenda wapi kama taifa maskini kuliko yote duniani,na mali asili tumewaachia wazungu wanachota bure.
 
Last edited by a moderator:
Kaka Mcha

Kumbe na wewe ukibanwa huna point kabisa.
Wadogo zako EL na shogake JK wanatuhumiwa kwa uporaji wewe unadai Sijui ibanwe SISI EM.

Waambie warudie walichomfanyia Mrema safari hii waone itakavyojibu 2010.

Kadiri ya siasa za Tanzania Sera ni neno la kihuni tu.

Wapinzani hawana sera, sawa.

Sera ya SISI EM ni nini?

Whatever name of SISI EM sera it sums up to Uharamia.
 
....BIG UP TO SLAA.MREMA & KLH N BONGO RADIO...mwanzo mzuri wazee ingawaje long way to go.
 
Back
Top Bottom