MtazamoWangu
JF-Expert Member
- Apr 25, 2009
- 313
- 7
Dowans,Vodacom(mirambo), Richmond...CCM..hehe
hii hoja nazani mtoaji amesahau kuweka sababu za kuileta..maana hata mimi na umasikini wangu nazani namzidi rostam kwa idadi ya makampuni...
suala ni;
1.je kampuni hizo zinafanya biashara gani sasa??
2. zimeajiri watanzania wangapi??
3. zinalipa kiasi gani cha kodi kwa serikali?
4. zimefunguliwa kisheria??
5. zinachangiaje maendeleo??
6. zinapata wapi pesa, zina madeni benki? kama zilikopa zilipataje mkopo??
7.je ziko wapi sasa??
8.....
kama alivyotoa vielelezo kuhusu kampuni za mengi basi atokee mtu nae aeleze maendeleo ya kampuni hizo...
hii hoja nazani mtoaji amesahau kuweka sababu za kuileta..maana hata mimi na umasikini wangu nazani namzidi rostam kwa idadi ya makampuni...
suala ni;
1.je kampuni hizo zinafanya biashara gani sasa??
2. zimeajiri watanzania wangapi??
3. zinalipa kiasi gani cha kodi kwa serikali?
4. zimefunguliwa kisheria??
5. zinachangiaje maendeleo??
6. zinapata wapi pesa, zina madeni benki? kama zilikopa zilipataje mkopo??
7.je ziko wapi sasa??
8.....
kama alivyotoa vielelezo kuhusu kampuni za mengi basi atokee mtu nae aeleze maendeleo ya kampuni hizo...