jimbo gani????Madabida naona kapitishwa hongera yakena huenda akaingia ktk baraza jipya la mawaziri
jimbo gani????Madabida naona kapitishwa hongera yakena huenda akaingia ktk baraza jipya la mawaziri
HIVI HAWA NI WANAWAKE AU WANAUME JAMANI NAOMBA KUJUA:
1. Lolesia Maselle BUKWIMBA
39
Chuo Kikuu
BUSANDA
MWANZA
2. Aeshi khalfan HILALY
37
Darasa la 7
SUMBAWANGA MJINI
RUKWA
Natanguliza shukrani za awali.
Huyu ni mwana mama katika MKOA MPYA wa Geita..ila kama kutakuwa hakuna mizengwe atadondoka kwenye hili jimbo!1. Lolesia Maselle BUKWIMBA
39
Chuo Kikuu
BUSANDA
MWANZA
Huyu ni mwana mama katika MKOA MPYA wa Geita..ila kama kutakuwa hakuna mizengwe atadondoka kwenye hili jimbo!
Zarina Shamte Madabida amepitishwa kugombea Viti Maalumu Mkoani Dar-Es-Salaam.
Katika Kundi hilo pia kuna Mama Margreth Sitta (UWT - Tabora) na DC Betty Machangu (UWT-Kilimanjaro) Nafikiri shutuma za Rushwa dhidi yao hazikuthibitishwa.
Dada WOS, Lolesia ni mwanamama, katika website ya Bung utamuona hata picha yake,Parliament of Tanzania. Kwa Aeshi sina uhakika, ila niliwahi soma na Bwana anaitwa Aeshi, sasa sijui hili jina linatumika kwa jinsia zote ama la.
Zarina Shamte Madabida amepitishwa kugombea Viti Maalumu Mkoani Dar-Es-Salaam.
Katika Kundi hilo pia kuna Mama Margreth Sitta (UWT - Tabora) na DC Betty Machangu (UWT-Kilimanjaro) Nafikiri shutuma za Rushwa dhidi yao hazikuthibitishwa.
Deo Kasenyenda Sanga (JAHPEOPLE )
54
Elimu ya Msingi
BTW: Nina wasi wasi kuwa huenda Aden Rage hana sifa za kugombea ubunge kwa vile aliwahi kufungwa kwa kosa la kutokuwa mwaminifu kazini ambapo alitumikia kifungo na kusamemewa kwa msamaha wa rais Kikwete ambayo ni chini ya miaka mitano iliyopita.
Tatizo ni kwamba list hii ni ile iliyojadiliwa kabla ya break saa moja jioni jana. Mpaka sasa wadau wameshindwa kuleta iliyojadiliwa baada ya saa 3.00 usiku. hebu leteni tufunge mDr. Wilbald Slaa LORRI
59
Chuo Kikuu
JIMBO LA KARATUjadala huu, tayari kwa kuanza kampeni rasmi!......