wadau angalia ndo imeanza
Fanya kazi acha siasa wewe! Asubuhi hii!
Lissu anamshauri chuichawene kuwa spika naibu spika na wenyeviti wawe makini kuacha kuleta hoja za hati ya dharura kwani ndio ilipelekea jana hoja zote kupigwa chiniMkuu tafadhali tujuze nini kinaongelewa...
Wengine tayari tuko makazini!
Haujaolewa nini , mbona unapenda sana kuongelea mambo ya Ndoa? LISSU Mpayukaji ataongea nini Mbele Mtaalam Simba Chawene zaidi kutukana na kashfa kibao.wadau angalia ndo imeanza
Haujaolewa nini , mbona unapenda sana kuongelea mambo ya Ndoa? LISSU Mpayukaji ataongea nini Mbele Mtaalam Simba Chawene zaidi kutukana na kashfa kibao.