Tundu Lissu kajibiwa kuwa, kama unaushahidi leta tuupeleke mahakamani au upeleke takukuru au upeleke wewe mwenyewe Mahakamani.
Sasa anangoja nini?
wewe Gamba nn? Ushaidi alionao lissu ni barua ambayo iliandkwa kwenda kwa ofisi ya AG na ofisi hyo ni part ya serikali sasa wapelekewe nng? Ebu jarbu kufkr ww co unakurupuka tu.Tundu Lissu kajibiwa kuwa, kama unaushahidi leta tuupeleke mahakamani au upeleke takukuru au upeleke wewe mwenyewe Mahakamani.Sasa anangoja nini?
Tundu Lissu kajibiwa kuwa, kama unaushahidi leta tuupeleke mahakamani au upeleke takukuru au upeleke wewe mwenyewe Mahakamani.
Sasa anangoja nini?
Namuonea huruma sana Nape.Hichi ni kisiki kingine kwa Nape.....