kilombero yetu
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,004
- 116
AKIHOJIWA NA GAZETI LA RAIA MWEMA LA JUNI 9-JUNE 14,2011. LISU ALISEMA;
".................nilikuwa mwana ccm wakati ule wa chama kimoja usingeweza kuingia chuo bila kujiunga na chama.mara baada ya vyama vingi nilikuwa mwanachama wa NCCR MAGEUZI...Nisingeweza kuwa chadema kwasababu kilikuwa chama kisicho na msimamo mkali...hao watu walikuwa waoga wanaogopa kuweka msimamo mkali.nikama chama cha kibepari hivi na mimi kimsimamo nimekuwa mjamaa..."WADAUUUU
sasa cdm itikadi ni ubepari, je itafikia malengo kwakuwa na watu wenye itikadi nyingine ndani ya chama?kwakuwa mbowe alisema bungeni juzi kuwa ubepari katika dunia ya sasa hauepukiki.
".................nilikuwa mwana ccm wakati ule wa chama kimoja usingeweza kuingia chuo bila kujiunga na chama.mara baada ya vyama vingi nilikuwa mwanachama wa NCCR MAGEUZI...Nisingeweza kuwa chadema kwasababu kilikuwa chama kisicho na msimamo mkali...hao watu walikuwa waoga wanaogopa kuweka msimamo mkali.nikama chama cha kibepari hivi na mimi kimsimamo nimekuwa mjamaa..."WADAUUUU
sasa cdm itikadi ni ubepari, je itafikia malengo kwakuwa na watu wenye itikadi nyingine ndani ya chama?kwakuwa mbowe alisema bungeni juzi kuwa ubepari katika dunia ya sasa hauepukiki.