Sophist
Platinum Member
- Mar 26, 2009
- 4,484
- 3,400
ni mpango wa kuwafratrate wabunge maarufu chadema baada ya Lema,anafuatia lissu kisha mnyika.yupo jamaa yangu usalama wa taifa alitumwa singida tangu ulipoanza uchaguzi arumeru.yupo huko hadi sasa.japo mashahidi wa ccm wnakimbia cortini,na wazi kwamba hakuna kesi,lakini lissu ataenguliwa.ajbu hakuna ccm hata mmoja atakayeenguliwa.subirini muone
Ahsante kwa kutoboa ukweli kuhusu njama hizi licha ya kuwa ni Watanzania wachache tu wanaofahamu kinachoendelea nyuma ya pazia.
CHADEMA na watanzania wapenda mabadiliko wote wanapashwa kubuni mikakatina mbinu mpya za kugharisha njama hizi. Chelea chelea ..mwana si wako; na majuto ni mjukuu.
https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/245397-godbless-lema-avuliwa-ubunge-43.html#post3631736