Nadhani baada ya kutenguea ubunge wa Lema kule Arusha wangefanya kautafiti waone jinsi wananchi walivyoongeza hasira kwa li chama lao chawi na jinsi walivyozidisha kuchukia liserikali lao legelege na viongozi wao wezi na michwa,vinginevyo waendelee na mpango wao wakuwapoka ubunge wa bunge wa chadema lakini mwisho wa siku haki itasimama