Lissu amjibu Magufuli, anadai anavunja Umoja wa Kitaifa!

Azim Sokoine

JF-Expert Member
Aug 20, 2014
1,379
2,533
Muda mchache baada ya Rais Magufuli kutoa kauli akiwa Singida kuwa walioshinda tu ndio wafanye siasa kwenye maeneo yao ili wasiingie kwenye majimbo mengine,
Lissu ameweka wazi kuwa Magufuli anavunja umoja wa kitaifa.

Lissu alihoji kauli ya kwamba Chadema ni marufuku kufanya siasa ilikoshinda CCM na kinyume chake ndiko ulikofikia uwezo wa Rais wetu wa kufikiri.?

Aliongeza kwamba, ni hawa ndio wanaohubiri umoja wa kitaifa kila kukicha?

Lissu aliweka bayana kuwa anachoweza kujidai nacho Magufuli sio nguvu ya hoja yake bali ni nguvu ya vyombo vya mabavu anavyodhibiti.

Katika andiko hilo Lissu aliwaandishi kutoshangilia mambo ambayo yanapaswa kupuuzwa badala yake wayaweke wazi.
 
na kweli mnaomshangilia ndo mnampa "kichwa" adhani kaongea point.

kufikia mwaka 2020, nadhan kila anaye mshangilia atakuwa ameonja shubiri ya maamuzi ya huyu Mkuu. kila kunapokucha Kunakuwa na jipya.
mfano.
rafiki yangu naye alikuwa ni miongon mwa 'waabudu' wa huyu Mkuu, siku alipotangaziwa kuwa mishahara ya Bugando scale imeshushwa, hataki hata kumsikia.
mtagundua target ya kuzuia BUnge live na Mikutano ya chadema, itawangaamiza hata hao wanaomshangilia sasa.

Tuombeane uzima.
 
Naiona Tanzania yangu ikiingia ktk ubaguzi wa kimaeneo, ubaguzi wa kisiasa ukishàmiri na mengine yafañanayo na hayo kutokana nakauli za kichochezi dhidi ya raia zitolewazo na mtakatifu
Serikali za majimbo ni sera ya Chadema kama hujui ujue hilo kuanzia leo ...
 
By the way wengi tumeiskia hotuba ya jana pale Manyoni, Ikungi na kisha Singida. Magufuli alisistiza kufanya kazi. Maandamano hataki. Ila anakuruhusu mbungr kushawishi na kuendesha mikutano jimboni kwako. Sio kwenda kuhamasisha watu mikoa mingine na kuacha jimbo lako likiwa na shida. Mfano, Mbowe anasistiza maandamano Dar, kwa nini asianze na jimbo lake la Hai? Kwani hapo Dar hakuna mbunge?
 
na kweli mnaomshangilia ndo mnampa "kichwa" adhani kaongea point.

kufikia mwaka 2020, nadhan kila anaye mshangilia atakuwa ameonja shubiri ya maamuzi ya huyu Mkuu. kila kunapokucha Kunakuwa na jipya.
mfano.
rafiki yangu naye alikuwa ni miongon mwa 'waabudu' wa huyu Mkuu, siku alipotangaziwa kuwa mishahara ya Bugando scale imeshushwa, hataki hata kumsikia.
mtagundua target ya kuzuia BUnge live na Mikutano ya chadema, itawangaamiza hata hao wanaomshangilia sasa.

Tuombeane uzima.
Mimi nina jamaa zangu walikua mstari wa mbele sana kumshangilia, jana wamepewa barua za kusitishwa ajira zao kutokana na kutokua na mkataba wa ajira, walikua wanafanya part time, sa hivi wanalia nae.
 
na kweli mnaomshangilia ndo mnampa "kichwa" adhani kaongea point.

kufikia mwaka 2020, nadhan kila anaye mshangilia atakuwa ameonja shubiri ya maamuzi ya huyu Mkuu. kila kunapokucha Kunakuwa na jipya.
mfano.
rafiki yangu naye alikuwa ni miongon mwa 'waabudu' wa huyu Mkuu, siku alipotangaziwa kuwa mishahara ya Bugando scale imeshushwa, hataki hata kumsikia.
mtagundua target ya kuzuia BUnge live na Mikutano ya chadema, itawangaamiza hata hao wanaomshangilia sasa.

Tuombeane uzima.
Waliomshangilia si wa kwao huko huko Singida?
Na wanakubaliana na Rais.
Lissu asiwe mwoga , akaandamane huko kwao na apotelee lupango!
 
Tena lisu Akae kimya huyo
Lisu kawa Koleo la Mbowe
ZIDUMU FIKRA ZA MBOWE

Kwanza atuambie hizi kauli vipi

1469858490819-jpg.373214


Siasa zimewashinda waende NA wakati
Siasa zinahitaji Mabadiliko had I kwenye Akili
AKILI NDOGO KUONGOZA AKILI KUBWA
hilo limewaponza CDM
Wamebaki mtaji wao mkuu ni kuwapa Viroba vijana kisha kutamba wao wana siasa du!!
MAGU KAZA KAZA ZAID
KUCHEKA NA NYANI TUTAVUNA MABUA


"Nataka hao wanaotetea maandamano watangulie wao halafu wataona cha mtemakuni’"
 
[QUOTEswoone kichwawa leo, post: 17021469, member: 61737"]Mimi nina jamaa zangu walikua mstari wa mbele sana kumshangilia, jana wamepewa barua za kusitishwa ajira zao kutokana na kutokua na mkataba wa ajira, walikua wanafanya part time, sa hivi wanalia nae.[/QUOTE]
Ngoja awapondew
 
Mimi nina jamaa zangu walikua mstari wa mbele sana kumshangilia, jana wamepewa barua za kusitishwa ajira zao kutokana na kutokua na mkataba wa ajira, walikua wanafanya part time, sa hivi wanalia nae.
Ukiona kwa mwenzio kwaungua ujue kwako kwateketea ni inshu ya muda tu ila huyu jamaa atamgusa kika mtu kma sio direct basi ni indirect ila hakuna ambae hataadhirikia akianzia na hawa wa dar kuwachagua Ukawa kumepelejea serikali kuhamia Dom fasta
 
Kwa issue hii naona Busara haikutumika,km kutaanza kuwepo na mipaka ya kisiasa ktk majimbo si Ajabu tutaanza kuwekeana mpaka MipakA ya KIMIKOA ktk Siasa ilhali sote Ni watanzania na FREEDOM OF PRESS ni nguzo kubwa ya Demokrasia,Sasa sijui nDio anataka tuwe km South and North SuDan?? Maana ukishaanza kuwepo utengano ktk vitu vidogo km hvi,Mpasuko wake utasambaa kwa kiasi ambacho macho yetu Hayataamini,Bwana mkubwa afikiri ZaiDi ya mara 2 kabla hajazungumza
 
lisu anafanya nini Dar wakati jimbo lake ni huko Singida Vijijin...huyu lisu akamatwe kwa nguvu apelekwe jimboni kwake singida vijijin akafanye siasa huko

Nchi inaendeshwa kwa matamko, katiba na sheria zinakanyagwa hadharani, sijui kesho atatamka nini

rais anaingilia majukumu ya msajiri wa vyama.

kuzuia mikutano ni kinyume na katiba...

hizo tafsiri za matamko zitazidi kutolewa lakini ukweli upo ktk katiba.
 
Kwani lissu kasahau mpango na msimamo wa Chadema kutaka serikali za majimbo???

Huko sio kuvunjwa kwa umoja wa kitaifa??
Kwani sasa hakuna majimbo...

Akili zenu buana....kwa hiyo mpango wa majimbo wa chadema unasema kila mtu afanye siasa jimboni kwake????
 
Back
Top Bottom