Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
- Thread starter
- #101
tz nchi pekee Afrika Ilifunga Mkataba kati ya kanisa na serekali. MOU
Hivi mnashangaa nini? Cuf na Uamsho ni chanda na pete, hivi mnadhani kakosea? Malengo ya cuf yanafahamika ni udini, mwenye macho haambiwi tazama, ni kazi ya akina ponda, mohamed issa na wenzake, cuf ni hatari kwa umoja wa taifa letu!
mkuu suala la Necta, watu wanalikuza mno, ndo maana nasema wengine dini wanakunywa na kulewa na si kuelewa. ISLAM ni dini ya aman, sema wahuni wanataka kuteka dini ya mwenyezi mungu!Muanzisha thread umeng'ang'ania NECTA ni taasisi ya wakristo na kwamba mmekuwa mkifelishwa kwa makusudi,naomba unijibu hili,juzi hapa kulikuwa na uchaguzi somalia na kati ya vigezo ili kuweza kuchaguliwa ilikuwa uwe na kiwango fulani cha elimu,wengi kiliwatoa waliobahatika ni wale waliokuwa wameishi ughaibuni,Swali langu NECTA yetu ndio inayowanyima waislamu wa somalia Elimu???????
Mbona mwakyembe anazungumzia? ,nbona Dk slaa aliwahi kusema wakiristo watz msikubali kuonewa? au tatizo limeguswa NECTA? na kama angaligusa MOU hapa ndipo wakiristo wangalikuja juu zaidi
mkuu suala la Necta, watu wanalikuza mno, ndo maana nasema wengine dini wanakunywa na kulewa na si kuelewa. ISLAM ni dini ya aman, sema wahuni wanataka kuteka dini ya mwenyezi mungu!
Viongozi wote wa NECTA ni wakiristo pale. hii ilikuwa ndio Target ya Mwalimu nyerere, Malima alipogusa pale Nyerere alihamaki sana. Soma KITABU CHA mwembechai Killing, hadi leo CCM hawajakana kwamba NECTA kimekuwa kijiwe cha Kanisa kuwahujumu waislam. Ukitaka ufauku vizuri weka Jina lako kama Frnasis, hapo NECTA watashindwa kukujua
\Hakuna MOU ya hao. kama ingalikuwepo kama hii ya wakiristo wnaochotewa fedha za umma ili wafaulu. chadema ungaliwasikia bungenikwani Agha Khan na ithnasheri ni wakristu?wao pia wapo ktk MOU.
hebu tuambie na maji marefu alipitia huo mlomlongo maana usiandike tu.
precisely!iko hivi: tutorial assistant-assistant lecturer-lecturer-senior lecturer-assistant professor then professor
ah,mkuu ina maana hata zitto atashambulia necta kwa hilo? Fanya utafiti haya mambo yanakuzwa na maadui wa dini yetu ili ionekane tunaonewa, kuna wasomi wengi wa kiislamu kama dk salim, issa shvji na wengineo. Tumia akili zako mkuu usitegemea ya akina ponda, wale wana yao!hta TEC imevamiwa na CHADEMA. ndio mana unawakisikia Kimya wabunge wa Chadema kuhusu NECTA. ukikia Shule za TEC zimeanguka au MOU ya serekali na kanisa imefutwa, hapo Chadema ndio utawasikia wakiwashambulia NECTA na ccm
haoni sababu ya kuongea vitu responsibly kwavile mara zote waisilam wapo salama mikononi mwa makafiri,ila wao ndio wana-terrorize others.Hiyo ndio fahari yao na mara zote ndoto zao hazikosi hayo matendo.
Mwisho was siku ni ngumu kuwatofautisha waislam kwa lolote.Every muslimu is a potential threat to non-muslims lets alone a fellow muslim.Lipumba na enjey sana tembelea religious mine field anayoipalilia.
Muda si mrefu watanzia watajua kuwa shida ya hii nchi si waislam kubaguliwa wala nini bali ni uislam wenyewe.Kwa miaka mingi watanznaia wamekuwa terrorized kwa kukuta nguruwe wao wameuliwa,wengine kuchomea ndani, wengine kuuwawa hadharani na polisi kubakia kuficha ukweli kwa kusema ni kitendo cha kijambazi au hata kitendo cha visasi binafsi.tunakaribia kuujua uislam kw agharama kubwa.Wamejiweka kila mahali,sasa wanataka baraza la mitihani ili wapitishe mamluki wanaokuja lazimishwa shika nafasi muhimu kuwafanya wakifanya mauaji pasiwe na ushahidi kama muawaonavyo akina kova leo,mwema na wengine walivyo wataalamu wa kudownplay ugaidi, huku wakiwaita magaid wasio magaidi.Soon mtajikuta kila kitu kikiwa corrupt na hii imani.
wakiristo wataongea Mengi na watabisha mengi. lkn hawawezi kubisha kwamba Bila ya MOU na NECTA ya Ndalichako HAWANA KITU SHULENI
Mbaya zaidi waislam wan avigezo duni sana vya kupima ukweli wao.Mfano ni huu wa necta,wameoambiwa ukisema kitu nashambuliwa na wale ambao masalahi yao yanaguswa.Wakati watu wengine wakijaribu waondoa ktk huu upotoshaji wao ndivyo wanazimi jiaminisha na kumwona Ponda ni genius.
Hizi ndizo test za kuchekesha sana ktk uislam.Mfano challenge ya Quran kw amakfir ni kwamba.quran haijatoka kwa allah,basi wakusanyike binadamu na majinn watoe kitabu kama Quran.Kwa mwenye akili ataona ujinga uliopo hapa.Kwanza kuna vitabu vingi sana duniani vilivyondikwa kwa mpangilio na utafiki kuliko quran.Pili kutoa kitabu kilicho exactly sawa na Quran ina maana huna haja ya kubuni chako,bali kutoa exactly copy, na dunia ya leo hii ina copier machini za hali ya juu.Hizi ndizo test zao zilizojaa kila mahali katika quran na hadith.
Sioni ajabu hapa wakizidi potoka watu wanapojaribu wapa solution za shida zao,kwani wao ndivyo wanavyozidi dai mmeshikwa mahali pake,kuwa masalhi yenu yameingiliwa.Hizi ndizo fikra ambazo huwezi zibadili halafu ukabaki muislam.Ukishaingia mkataba na shetani kutoka si kazi rahisi kwani huwa anahitaji faida sana kukuachia.Tutashangaa sana waislam wakiona kitu lazima waingize uislam halafu waanze dai full control and ownership.Ule msikiti wa butiama Nyerere akirudi after miaka 30 atatamani juta sana kuwa sehemu ya walioidhinisha kujengwa pale.
Ethiopia(Abysinia) walimpokea muhamad kipindi akikimbizana waarabu waikubali dini yake aliyoiita ya mwanga kabla haijaja waletea giza.Leo hii Ethiopia inalia sana na waislam walipo ndani.Si wote wanapigana na Ethipia ktk vita vya ku survive ktk kundi la magaidi wa sudan, eritrea,somalia .
hapo kwenye;kwa nini sio shule za kiislam?WALLAH, NECTA ikiwa huru na MOU kufutwa, utaona shule za serekali kufanya vizuri sana. na shule za kanisa kuanguka vibaya
WALLAH, NECTA ikiwa huru na MOU kufutwa, utaona shule za serekali kufanya vizuri sana. na shule za kanisa kuanguka vibaya