Pendael laizer
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 958
- 101
Hivi kwann unilazimishe kuwa mimi ni mwanachama wa CCM? Hivi una PartMeter? MIMI NINACHOTAKA SI KELELE YA VYAMA MBALIMBALI AMBAZO SINAWAFAIDISHA WACHACHE. MIMI NILIPIGIA KURA CHADEMA TENA NILISAFIRI SAFARI NDEFU SANA MPAKA SASA SIJAPATA FAIDA YA KURA YANGU. Hivi unatakuniambia nini hapo?
Wewe unataka ufanyiwe nini?au kwanini umeichugua chadema wakati huo unamashaka nayo?wewe ni magamba tu na hukuwai kuipigia chadema kura.