Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
uongozi na usomi ni vitu vi 2 tofauti japo vinaingiliana kwa %flaniout of point
uongozi na usomi ni vitu vi 2 tofauti japo vinaingiliana kwa %flaniout of point
bwana mdogo Annael !
Kwanza wewe si mpenda maendeleo,mpenda maendeleo unakuja na post za
Hizi si hoja za maendeleo,wala si hoja za ki great thinker,unakulupuka kuanzisha post zisizo na mashiko.
- Mbowe akihamia CUF utafanyaje?
- CUF na CHADEMA kipi chama makini?
- Sasa umekuja na Mbowe na Lipumba
MBOWE ni zaidi ya LIPuMBA na JK kwa kila kitu
BwagamoyoUnaongelea Kaskazini au Tanzania?
kusikia unasikia lakini huelewi, na kutazama unatazama lakini huoni, sasa mi nikusadieje?Sasa yupi sasa kiongozi makini na anayeweza kuongoza?
MIMI KUSEMA KWELI SIO MUUMINI WA CHAMA CHOCHOTE NA SIMUABUDU MTU YOYOTE. Firia theme ili ndani ya hizo post sawa?
Unamfananisha Mbowe kamanda na Lipumba wapi na wapi? Mbowe ni jembe la ukweli.
Halafu mbona umeanza kwa kujihami coz unajua majibu ni yepi. Yan unadhani mtu ukiwa na elimu kubwa ndo unauwezo wa kuongoza? Tazama chama lake ccm b linamfia huku akiona.
bwana mdogo! Annael , wewe ni mwanachama na mpenzi wa CCM,kwa nini unalikwepa hili?unaogopa nini au unataka nikuthibitishie ni post ipi umethubutu kujionesha kuwa wewe ni mpenzi wa magamba?
Ok!umesema unataka kujua watu kama wanapenda maendeleo,alafu ukijua?je wewe unadhani kukaa chin na kufatilia watu wanapenda mtu au
Hapa naomba tujadiliane kati ya hawa wawili bila kutumia hasira. Na ninaomba mtu akikomenti atoe sababu.
1. Kiongonzi shupavu mwenye mtazamo chanya si kigeugeu.
2. Aweza akawa Rais na kuiongoza nchi vyema.
3. Sio dictator.
Haya jamani tujadiliane.
Mimi sijamtaja Slaa kwani Slaa ndio nani huyo?
Mkuu vithread kama hivi huwa unavipenda sana. Lakini mwisho wenu utafika pale mtakapo jaribu kumshika yule mwamba wa kaskazini lowassa mtafutika kwenye hii medani ya siasaKiongozi bora ni yule mwenye elimu, kwa upande wa elimu Mbowe ni form 4 na Prof Lipumba PhD...na wote walishawahi kugombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Prof Lipumba alishika nafasi ya pili na Mbowe alishika nafasi ya tatu.
Unaongelea Kaskazini au Tanzania?
Kiongozi bora ni yule mwenye elimu, kwa upande wa elimu Mbowe ni form 4 na Prof Lipumba PhD...na wote walishawahi kugombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania na Prof Lipumba alishika nafasi ya pili na Mbowe alishika nafasi ya tatu.
nimekutafunia na kumeza nikumezeshe!!!?namimi nakuuliza KATI YA GHARIB BILLAL NA AGUSTINO MREMA NANI KIONGOZI BORA?Unamaana gani? kwani unaogopa kusema Lipumba au Mbowe na kutoa kwann?