Hata mie nimewaona kupitia ITV.......lakini hawana mashiko yoyote.....walikuwa wanawahubiria watoto tu
TBC kutotoa habari za CDM na kuonyesha mikutano ya vyama vingine ndivyo wanavyofanya watu wapate hamu ya kuhudhuria mikutano ya CDM.Ama kweli chadema ndio chama pekee cha upinzani chenye nguvu kwa sasa. Ukiangalia watu waliohudhuria mkutano huo ni wachache ukilinganisha ya cdm kule kanda ya ziwa, ama kweli cdm wanakubalika licha ya shutma zinaenezwa na ccm na washirika wake. Cha ajabu TBC wameripoti mkutano huo lkn hawakuripoti hata ck moja mikutano ya cdm kanda ya ziwa. Ama kweli hii ni TBCCM, cdm songa mbele