Elections 2010 Lipumba live on ITV

anasema amefundisha watoto wa kizungu uchumi wote walikuwa wakristo....cuf sio chama cha kidini


Hiyo avatar yako preta ni kiboko....mgongo lainiiii!!!! mpaka rahaaaa!!! Angalia mwanawani unakwaza watu....mwaka wa uchaguzi huu, wasije wakafikiria kukupa ukuu wa Wilaya!!!!
 
Sikonge Kazi Unayo
Tena kubwa, nimewaona (ITV) viongozi wa CCT,TEC na PCTC akina fr. Marando na Dr. Mtaita wakilalamikia bandiko la
zubeda jana. Ofcoz tulijua ule no uzushi tu wa wanaotapatapa.
Zubeda uje hapa na ww na crap yako, ntakuitia Dkt NYU
 
Hiyo avatar yako preta ni kiboko....mgongo lainiiii!!!! mpaka rahaaaa!!! Angalia mwanawani unakwaza watu....mwaka wa uchaguzi huu, wasije wakafikiria kukupa ukuu wa Wilaya!!!!

etii eeh....ngoja nikaukoleze wese.....hata ubunge wa viti maalum nitaweza
 
Na uongo mwengine huooooo!!!!!!!

Kaulizwa swali la kipuuzi na akalijibu kipuuzi. Muuliza swali akadai kuwa ushindani ni kati ya Jakaya Kikwete na Wilbord Slaa. Yeye Prof. Lipumba anamuunga mkono nani. Lipumba akajibu kwa kusema "mimi namuunga mkono Professor Ibrahim Haruna Lipumba" na kuacha kicheko!

Sasa mtoa mada atuelezee kipi kingine kiliulizwa kuhusiana na Dr. Slaa na nini lilikuwa jibu la Prof. Lipumba. Acheni unazi na uongo kwani Oktoba 31, 2010 si unazi wala uongo utakaopiga kura! :A S angry:
 
akiwa live ITV na kuulizwa kuwa kwa vile yeye ndiye kama ana ufunguo wa nani kuwa mshindi kati Dr. slaa na JK akajibu kuwa ikiwa hawatampigia kura basi wampigie slaa kura kwa kuwaunganisha watanzania na kwa mabadiliko ya kweli

Mungu ibariki Tanzania

U O N G O . . . Hata CCM wana afadhali kwa kusema uongo kuliko uongo huu.
 
eti rais Lipumba, kweli hizi ndo ndoto za arinacha teh teh teh...just forget it man :nono:
 
Unachukia sana ushungi mkuu? hivi masister wanavaa nini vile kwenye vichwa vyao? Maana huwa nawaona kwa mbali.

Wapumbavu hawa na UDINI wao ndiyo uliowatoa CCM. Siku zote hizo walikuwa CCM mpaka Mwongozo wa Kanisa ulipotolewa ndiyo wakahama huko na kukimbilia Chadema.
 
babu yangu mtei, mjomba yangu ndesamburo, shoga yangu ana kilango

Na Usher Raymond nani yako, au na wewe ni mgombea wa wale wawakilishi 100 kwenye Rolling Stone ya Uganda.

Karibu Safari baridi.....ohh sorry!.. wewe utakuwa unatumia Amarura vinywaji vyenu laini bin bata.
 
Lipumba kaniboa pale anapomshambulia Dr Slaa kuwa hawezi kujifananisha na yeye.Eti Dr Slaa ni kama kichuguu na Lipumba ni kama mlima Kilimanjaro.Very stupid.

Na wewe uliyekuwa SIYO STUPID (which I doubt anyway) ulitaka ajibu vipi lile swali?
 
Na Usher Raymond nani yako, au na wewe ni mgombea wa wale wawakilishi 100 kwenye Rolling Stone ya Uganda.

Karibu Safari baridi.....ohh sorry!.. wewe utakuwa unatumia Amarura vinywaji vyenu laini bin bata.

mama yako hajakuambia hdi leo mimi ni nani? tafadhari muulize baba yako mzazi ni nani, kama atakumbuka maana tulikuwa wengi wateja wake pale magot
 
lipumba yeye anajisifia kuwa yeye ni professa kwa hiyo ana uwezo mkubwa kuliko dr slaa. Kasema yeye ni mtani wa kikwete, kwa hiyo anachosema kuhusu ccm ni utani tu. Hivyo anaponda wapinzani wenzake. Hapa anajimaliza mwenyewe.

Hafai huyu kuwa rais. Hatumuhijati kwenye taifa tunayohitaka sisi kwa sasa.

Kwa heri lipumba.

Mlikimbia CCM baada ya Mwongozo na mkaingia upinzani bila ya kukaribishwa. Na siku mtakaporudi kwenye chama chenu cha CCM pia mtaondoka bila kuaga!
 
Na uongo mwengine huooooo!!!!!!!

Kaulizwa swali la kipuuzi na akalijibu kipuuzi. Muuliza swali akadai kuwa ushindani ni kati ya Jakaya Kikwete na Wilbord Slaa. Yeye Prof. Lipumba anamuunga mkono nani. Lipumba akajibu kwa kusema "mimi namuunga mkono Professor Ibrahim Haruna Lipumba" na kuacha kicheko!

Sasa mtoa mada atuelezee kipi kingine kiliulizwa kuhusiana na Dr. Slaa na nini lilikuwa jibu la Prof. Lipumba. Acheni unazi na uongo kwani Oktoba 31, 2010 si unazi wala uongo utakaopiga kura! :A S angry:

Sasa uongo uko wapi? Baada ya kusema hivyo akaendelea kusema Anamkubali Dr. Slaa japo akaweka angalizo kuwa yeye ni kama mlima kilimanjaro na slaa kama kichuguu, na hiyo ni baada ya watu kupiga makofi kwa yeye kumkubali Dr. Slaa. Baadaye akaja kumponda JK kwa kutokubali mdahalo wa pamoja akasema "ndio matatizo ya kuwa na raisi mkwere"
 
Jamaa baada ya kusema hivyo tu, watu wakamwamuru mwenye social club kuzima TV na watu wakaondoka, nimejaribu kwenda kwenye bar moja mashuhuri hapa mtaani na wenyewe wamebadlisha channel baada ya tukio hilo, wanacheck super sport.

Jamaa kajiharibia.

Usishtuke sana, hizo ni akili za kilevi tu, na walichokifanya ni uamuzi wa kipombe pombe.
Unachotakiwa ni kusikiliza sera za kila mgombea ili ulete changes oct 31
 
Na uongo mwengine huooooo!!!!!!!

Kaulizwa swali la kipuuzi na akalijibu kipuuzi. Muuliza swali akadai kuwa ushindani ni kati ya Jakaya Kikwete na Wilbord Slaa. Yeye Prof. Lipumba anamuunga mkono nani. Lipumba akajibu kwa kusema "mimi namuunga mkono Professor Ibrahim Haruna Lipumba" na kuacha kicheko!

Sasa mtoa mada atuelezee kipi kingine kiliulizwa kuhusiana na Dr. Slaa na nini lilikuwa jibu la Prof. Lipumba. Acheni unazi na uongo kwani Oktoba 31, 2010 si unazi wala uongo utakaopiga kura! :A S angry:

unategemea nini kutoka kwao? viongozi wao ni wazandiki na wanafiki na kwa hilo watanzania watawanyima kura.
 
Uchambuzi wangu wa mahojiano ya leo kwa Prof. Lipumba ndani ya ITV na kauli yangu.

1. Lipumba anaona kuwa kunaitajika kuwapo mabadiliko (reforms) kadha wa kadha ya uwajibikaji Serikalini, katika Katiba ya JMT na pia mabadiliko baadhi ya Sera za Uchumi, Elimu na huduma za kijamii. Michezo ipewe nafasi toka chini mashuleni na katika shule maalumu za binafsi za michezo.

2. Mabadiliko na utekelezaji wowote wa sera mpya au zilizoboreshwa ni mchakato utakaohitaji tafiti kwanza (ikibidi hata kufanya miradi ya majaribio) na kuzingatia mazingira yote husika katika marefu na mapana yake. Hapa hashabikii kabisa ahadi na ukurupukaji wa sera yeyote inayoweza kuwafurahisha wananchi leo lakini ikawa vigumu kutekelezeka.

3. Anakiri kuwa kuna ufisadi uliofanyika lakini inabidi ule uliothibitika wahusika wachukuliwe hatua mara moja. Waendesha mashitaka & mashahidi (wawakilishi wa Serikali) wawe makini katika kuandaa mashitaka na pia kuonyesha utashi wa kupambana na ufisadi

4. By implication, analawama na jinsi media ambavyo haijamtendea haki ama yeye au CUF ukilinganisha na vyama vingine vya upinzani (rejea kuibuka na kufa kwa CCJ).

5. Anasitiza kuwa katika kuwalinganisha yeye na Silaa yeye ni juu sana.
Wachambuzi hapa tunamsoma kuwa hakika anaona kuwa ni Silaa (Kichuguu) alipaswa kumuunga mkono yeye (Kilimanjaro) badala ya yeye kusukumiwa mzigo au jukumu hilo.


6. Contextually, tamko la kuwa ANAMUHESHIMU SILAA halina maana kuwa anamuunga mkono Silaa (CHADEMA) kuliko Kikwete (CCM). Maana pamoja na kutoa kasoro Serikali ya CCM pia amekosoa sana tu Sera au Mitizamo ya Silaa mf. maamuzi kuhusu ushuru wa forodha, bei za vifaa vya ujenzi, kuzingatia makubaliano yaliyopo ktk EAC na kuyaboresha na si kuyavunja tu, kutoa ahadi kubwa bila utafiti ambazo zinaweza kuwa vigumu kutekelezeka. Zaidi ya yote ingawa inaweza kuwa a bitter pill to swallow, ingawa anaikosoa Serikali, bado yeye ana matumaini kuwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa itaweza kuleta amani na chachu ya maendeleo. Kumuita Rais Kikwete mtani wake si tu suala la kikabila bali ametuma ujumbe muafaka kuwa upinzani si ugomvi bado wanaweza kukaa pamoja na kushauriana kwa ajili ya maendeleo ya Taifa.


7. Hapendi kutanguliza habari ya kuwa wataibiwa kura. Watu wajitokeze wapige kura na mchakato mzima bado unaweza kuwa wa haki na kweli. Suala la kususia Tume ya Uchaguzi halina nafasi katika agenda zake kwa sababu it just doesn't work!


8. It is not by chance, kwamba muuliza swali mmoja na mwishoni, Mtangazaji wa ITV walichukuwa nafasi nzuri kusisitiza suala la uwepo na pia credentials za nguvu za mgombea mwenza kwa CUF, kama ilivyo kwa CCM ukitofautisha na CHADEMA.


Hitimisho:
CCM ni mshindi. Vyama vingine bado hata katika kipindi hiki, hazitatosha ingawa idadi ya Wabunge toka Upinzani itaongezeka kwa kiasi kidogo
 
Back
Top Bottom