Ni Hiari yako Prof Lipumba kugombea au kuacha wananchi ndio waamuzi,
Makamba nadhani ana maono mafupi,hasomi alama za nyakati,hana lolote ninaamini mambo anayosema Lipumba yanaweza yakawa na ukweli tumejionea wenyewe jumuia za CCM zilivyo kwenye magomvi hakuna cha UVCCM,UWT,na hata Jumuia ya Wazee wote wamekata tamaa,ni kweli kabisa hofu kubwa ni kuwa CCM ikikatika vipandevipande bila kukabidhi nchi vizuri nchi itakwenda mlama,Kamuweka HIZA kitengo cha propaganda hana la maana zaidi ya kuudhi wanachama na wafanyakazi wengine wa makao makuu, hovyo Makamba
Makamba nadhani ana maono mafupi,hasomi alama za nyakati,hana lolote ninaamini mambo anayosema Lipumba yanaweza yakawa na ukweli tumejionea wenyewe jumuia za CCM zilivyo kwenye magomvi hakuna cha UVCCM,UWT,na hata Jumuia ya Wazee wote wamekata tamaa,ni kweli kabisa hofu kubwa ni kuwa CCM ikikatika vipandevipande bila kukabidhi nchi vizuri nchi itakwenda mlama,Kamuweka HIZA kitengo cha propaganda hana la maana zaidi ya kuudhi wanachama na wafanyakazi wengine wa makao makuu, hovyo Makamba