Ubungoubungo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2008
- 2,502
- 739
lipumba atadunda hadi atafia kwenye siasa zisizo na mafanikio hivyohivyo, kwasababu ya udini. ungunguli na kufanya mikutano kwenye misikiti. ataishia kupata vidili vya kufundisha vyuo nje kama visiting prof. tu alipwe milioni moja au mbili kwa safari zake aendelee kujaza mafuta kwenye magari...akili ya uchumi kichani anayo sana, lakini akili ya kuiunganisha na kuiendesha tz kama nchi ya watu wenye dini tofauti, sina imani naye kabisa.