Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Jamani inakera ndio maana naona huu upinzani wizi mtupu na thaman kwako ukiwa ndani ya hicho chama ..naona lipumba kwenye tv ya tbc anawahadaa watu kuna rais alianza kugombea toka 1975 amepata urais 2000 na sasa anaongoza na kuhaidi kuleta serikal ya mseto........
Hivi hakuna wengine kila siku hawa hawa tu jamani...mi nishachoka na sias za tanzania kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Hivi hakuna wengine kila siku hawa hawa tu jamani...mi nishachoka na sias za tanzania kabisaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa