Lipumba - Anayewagawa Watanzania hatakiwi CUF! (Mbona Jussa yupo?)

dosama

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
912
957
Prof Lipumba katoa kali ya mwaka alipokuwa anawahutubia wananchi wa visiwani Zanzibar na kusema wamwogope mtu anayewagawa watanzania kiunguja, kiupemba na kiutanganyika kuwa ahitajiki CUF na aogopwe kama ukoma cha ajabu Jusa naye yupo na kahutubia.

Hivi kweli yanatoka miyooni mwao au ndo ngozi ya kondoo?

Source ITV
 
Ndo ujue viongozi wetu hawa wanaotoa matamko bila ya kuyafanyia utafiti, kwa nini kwenye mikutano kama hii watu hawaruhusiwi kuhoji jamani?
 
..amesema anayetaka kuwagawa wa-ZANZIBARI.

..Prof hawezi kwenda Zanzibar na kuthubutu kutamka "anayetaka kuwagawa wa-Tanzania..."

.."wa-Tanzania" ni sisi wa-Tanganyika, wa-Zanzibari wamebakia na identity yao.
 
..amesema anayetaka kuwagawa wa-ZANZIBARI.

..Prof hawezi kwenda Zanzibar na kuthubutu kutamka "anayetaka kuwagawa wa-Tanzania..."

.."wa-Tanzania" ni sisi wa-Tanganyika, wa-Zanzibari wamebakia na identity yao.

Another obsession with UMOJA wa zanzibar, wazanzibar wakiwa wamoja kitu unapungukiwa wewe?
 
Another obsession with UMOJA wa zanzibar, wazanzibar wakiwa wamoja kitu unapungukiwa wewe?

Topical,

..obssession yangu ni muungano uvunjike. hilo wala silifichi.

..mimi napenda wa-Zanzibar wawe kitu kimoja, zaidi nawaombea wafanikiwe kuuvunja muungano.

NB:

..hivi mbona Lipumba hazungumzii umoja wa wa-Tanganyika??




..
 
Topical,

..obssession yangu ni muungano uvunjike. hilo wala silifichi.

..mimi napenda wa-Zanzibar wawe kitu kimoja, zaidi nawaombea wafanikiwe kuuvunja muungano.

NB:

..hivi mbona Lipumba hazungumzii umoja wa wa-Tanganyika??




..

Ni haki yako kutaka muungano kuvunjika lakini unajua unatakiwa ufanye kazi kama mtanganyika kwanini unataka wazenj ndio wakusaidie kuuvunja? kama siyo ujinga ni nini? peleka mawazo yako chadema huko etc..

CUF tangu ianzishwe haina mpango wa kuvunja muungano ila kuwa na serikali tatu; na umoja wao ni muhimu kufikia lengo hilo ambalo ccm wanaona ni threat kwao..

Kuhusu Tanganyika kuna mgawanyiko gani?
 
Ni haki yako kutaka muungano kuvunjika lakini unajua unatakiwa ufanye kazi kama mtanganyika kwanini unataka wazenj ndio wakusaidie kuuvunja? kama siyo ujinga ni nini? peleka mawazo yako chadema huko etc..

CUF tangu ianzishwe haina mpango wa kuvunja muungano ila kuwa na serikali tatu; na umoja wao ni muhimu kufikia lengo hilo ambalo ccm wanaona ni threat kwao..

Kuhusu Tanganyika kuna mgawanyiko gani?

Tanganyika mgawanyiko ni mkubwa sana, mikoa ya pwani watu wake ni maskini sana na hawana elimu ya kutosha, na waislamu wanalalamika wanaonewa na mfumo kristo. huu kama sio mgawanyiko wewe unaupa jina gani?
 
Ni haki yako kutaka muungano kuvunjika lakini unajua unatakiwa ufanye kazi kama mtanganyika kwanini unataka wazenj ndio wakusaidie kuuvunja? kama siyo ujinga ni nini? peleka mawazo yako chadema huko etc..

CUF tangu ianzishwe haina mpango wa kuvunja muungano ila kuwa na serikali tatu; na umoja wao ni muhimu kufikia lengo hilo ambalo ccm wanaona ni threat kwao..

Kuhusu Tanganyika kuna mgawanyiko gani?

Topical,

..It is easier kuwaunganisha wa-ZNZ ambao ni mil 1 na kuuvunja muungano, kuliko kuwaunganisha wa-Tanganyika mil 35+ for the same purpose.

..Zaidi, wa-ZNZ tayari wanauchukia muungano, wakati wa-Tanganyika hawana hata habari kama upo.

..huku Tanganyika kuna mgawanyiko kati ya CDM,CCM,CUF etc etc, kuna tensions za Waislamu vs Wakristo, kuna mambo ya ukabila unaorudi kwa kasi, etc etc.

..kwa mtizamo wangu UMOJA wa WATANGANYIKA na jambo linalipaswa kupewa kipaumbele.
 
Tanganyika mgawanyiko ni mkubwa sana, mikoa ya pwani watu wake ni maskini sana na hawana elimu ya kutosha, na waislamu wanalalamika wanaonewa na mfumo kristo. huu kama sio mgawanyiko wewe unaupa jina gani?

Tatizo hilo ni dogo; HAKI SAWA KWA WOTE..sera mama inayotakiwa kutekelezwa na kuenziwa na wananchi wote wapenda amani na walio tayari kutetea wanyonge.

Besides kama mfumo kristo unalalamikiwa ni kuuondoa na kuweka mfumo wa kitaifa na si wa kikristo..simple
 
Topical,

..It is easier kuwaunganisha wa-ZNZ ambao ni mil 1 na kuuvunja muungano, kuliko kuwaunganisha wa-Tanganyika mil 35+ for the same purpose.

..Zaidi, wa-ZNZ tayari wanauchukia muungano, wakati wa-Tanganyika hawana hata habari kama upo.

..huku Tanganyika kuna mgawanyiko kati ya CDM,CCM,CUF etc etc, kuna tensions za Waislamu vs Wakristo, kuna mambo ya ukabila unaorudi kwa kasi, etc etc.

..kwa mtizamo wangu UMOJA wa WATANGANYIKA na jambo linalipaswa kupewa kipaumbele.

a. kama ni easier go ahead and convice them to withdraw from union; lakini CUF wao wanataka serikali tatu na wanaanda wananhi kubadilisha muundo wa Muungano hawajawahi kuficha hiyo objectives from day one..

b. Hivi CUF , CDM CCM ni mgawanyiko huo you must be kidding, mbona wazenj wengi wako kwenye vyama hivyo lakini bado ni wazanzibar..

Tension za waislamu na wakristo Tanganyika zinaletwa na kanisa kwa kutoa michapisho ya kichochezi na ubaguzi kila inapokaribia uchaguzi .issue ni kuwatisha viongozi wa serikali wasithubutu kuondoa upendeleo wanaopewa kutoka kwenye mfuko wa umma through MoU..wamefanikiwa..
 
a. kama ni easier go ahead and convice them to withdraw from union; lakini CUF wao wanataka serikali tatu na wanaanda wananhi kubadilisha muundo wa Muungano hawajawahi kuficha hiyo objectives from day one..

b. Hivi CUF , CDM CCM ni mgawanyiko huo you must be kidding, mbona wazenj wengi wako kwenye vyama hivyo lakini bado ni wazanzibar..

Tension za waislamu na wakristo Tanganyika zinaletwa na kanisa kwa kutoa michapisho ya kichochezi na ubaguzi kila inapokaribia uchaguzi .issue ni kuwatisha viongozi wa serikali wasithubutu kuondoa upendeleo wanaopewa kutoka kwenye mfuko wa umma through MoU..wamefanikiwa..

Topical,

..kuna masuala ya KITAIFA na masuala ya Vyama. nadhani wakati mwingine wa-Tanganyika tunashindwa kutofautisha masuala hayo.

..hizi tensions za Waislamu vs Wakristo zinapaswa kushughulikiwa kwasababu zikiachwa zinaweza kuisambaratisha nchi.

..njia moja ya kushughulikia tensions hizo ni kujenga UMOJA miongoni mwetu ambapo kila mmoja wetu atajisikia ana haki na wajibu wa kuilinda na kuitetea jamhuri.
 
Tatizo hilo ni dogo; HAKI SAWA KWA WOTE..sera mama inayotakiwa kutekelezwa na kuenziwa na wananchi wote wapenda amani na walio tayari kutetea wanyonge.

Besides kama mfumo kristo unalalamikiwa ni kuuondoa na kuweka mfumo wa kitaifa na si wa kikristo..simple
Haki sawa kwa wote itawezekana vipi kama mtu anashinda kwenye baraza la msikiti kuanzia Alfajili mpaka saa 2 usiku!..... halafu mimi ninayefanya kazi kwa bidii na kupeleka watoto wangu shule sijui ni usawa gani hapo unaouzungumzia wewe.
 
Topical,

..kuna masuala ya KITAIFA na masuala ya Vyama. nadhani wakati mwingine wa-Tanganyika tunashindwa kutofautisha masuala hayo.

..hizi tensions za Waislamu vs Wakristo zinapaswa kushughulikiwa kwasababu zikiachwa zinaweza kuisambaratisha nchi.

..njia moja ya kushughulikia tensions hizo ni kujenga UMOJA miongoni mwetu ambapo kila mmoja wetu atajisikia ana haki na wajibu wa kuilinda na kuitetea jamhuri.

Ndio maana ya HAKI SAWA KWA WOTE
 
Haki sawa kwa wote itawezekana vipi kama mtu anashinda kwenye baraza la msikiti kuanzia Alfajili mpaka saa 2 usiku!..... halafu mimi ninayefanya kazi kwa bidii na kupeleka watoto wangu shule sijui ni usawa gani hapo unaouzungumzia wewe.

wewe unajidai tu hufahamu na kuleta kejeli kwa waislamu..

Mimi huwezi kuni-provoke kwa hizo maneno niko above that..

Kwasababu nilianza kusikia hizo ngojera toka nikiwa sekondari..

Waislam Tanzania wana hoja kama ni mpenda haki na mpenda amani utakaa chini nakufanya analysis, ili kama taifa tusije ingia kwenye matatizo..

NB. Kejeli zako hazizuii tatizo ila waislam wanazidi kuwa imara na kuwa wanaharakati day by day..iko siku haki sawa kwa wote itapatikana kwa shari au kwa amani..
 
wewe unajidai tu hufahamu na kuleta kejeli kwa waislamu..

Mimi huwezi kuni-provoke kwa hizo maneno niko above that..

Kwasababu nilianza kusikia hizo ngojera toka nikiwa sekondari..

Waislam Tanzania wana hoja kama ni mpenda haki na mpenda amani utakaa chini nakufanya analysis, ili kama taifa tusije ingia kwenye matatizo..

NB. Kejeli zako hazizuii tatizo ila waislam wanazidi kuwa imara na kuwa wanaharakati day by day..iko siku haki sawa kwa wote itapatikana kwa shari au kwa amani..

Uzuri haya unayaongelea beyond the keyboard, nenda front ukakutane na lile rungu lililoandikwa MAMA MKANYE MWANAO!.......By the way nashukuru kwa kunifumbuwa macho kwamba CUF ni chama cha waislamu ndio maana slogan yenu ni moja HAKI SAWA KWA WOTE.
 
wewe unajidai tu hufahamu na kuleta kejeli kwa waislamu..

Mimi huwezi kuni-provoke kwa hizo maneno niko above that..

Kwasababu nilianza kusikia hizo ngojera toka nikiwa sekondari..

Waislam Tanzania wana hoja kama ni mpenda haki na mpenda amani utakaa chini nakufanya analysis, ili kama taifa tusije ingia kwenye matatizo..

NB. Kejeli zako hazizuii tatizo ila waislam wanazidi kuwa imara na kuwa wanaharakati day by day..iko siku haki sawa kwa wote itapatikana kwa shari au kwa amani..

Kila siku tumezoea kusoma na imekuwa kawaida kwako kutumia misemo kama "sisi", "Waislamu" n.k. Hivi nikuulize, una maana gani haswa na kauli zako kama hizi? Ni nani alikuteua au kukupa mamlaka ya kuzungumza on behalf ya hao "wengine" kupitia kauli zako kama unavyojifanya kwenye michango yako? Ni Mke, familia au labda basha lako?
 
Uzuri haya unayaongelea beyond the keyboard, nenda front ukakutane na lile rungu lililoandikwa MAMA MKANYE MWANAO!.......By the way nashukuru kwa kunifumbuwa macho kwamba CUF ni chama cha waislamu ndio maana slogan yenu ni moja HAKI SAWA KWA WOTE.

Haki sawa kwa wote inawakera sana waliozea kupendelewa!

Poleni tutafika tu, asiyependa Haki aelimishwe
 
Back
Top Bottom