dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Prof Lipumba katoa kali ya mwaka alipokuwa anawahutubia wananchi wa visiwani Zanzibar na kusema wamwogope mtu anayewagawa watanzania kiunguja, kiupemba na kiutanganyika kuwa ahitajiki CUF na aogopwe kama ukoma cha ajabu Jusa naye yupo na kahutubia.
Hivi kweli yanatoka miyooni mwao au ndo ngozi ya kondoo?
Source ITV
Hivi kweli yanatoka miyooni mwao au ndo ngozi ya kondoo?
Source ITV