Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
- Thread starter
- #21
Hili sakata lilianzia mbali ...........tuendelee...........
Hakuna ubishi kuwa aliyetembelea Houston na kuwa mgeni wa Mohamed Gire wakati wa mchakato wa Richmond alikuwa ni Jakaya Mrisho Kikwete. Huo ugeni wa nguvu uliwezekana baada ya maandalizi yaliyomhusisha balozi wetu Marekani wa wakati huo, Andrew Daraja. Kinachoshangaza ni kamati ya kuchunguza Richmond iliyoongozwa na Mh. Mwakyembe kushindwa kuianika hili !!!! Kaazi kwelix2.
Hoja kuhusu Profesa siyo kwamba JK hahusiki na Richmond -- anahusika sana, anafanya ujanja ujanja tu eti kujiweka mbali na akina EL na RA. Hoja kuhusu Profesa ni kulieleza hilo kwa wananchi wakati huu -- wakati watu wanaanza kulisahau sakata la Richmond.
Kuna hisia kama vile amepata msukumo kuyatamka haya wakati huu.
Last edited by a moderator: