sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
- Thread starter
- #61
Ntakupigia nikwambie ni angaza ya wapi... Nimependa hiyo ya kumpa mtu za uso live, nzuri sana! Ya nini kufa na kijiba cha roho?Usijali kabisaa,kuwa specific ni angaza ya wapi ili nijue nachomoka home mida gani....usikatishwe tamaa na mtu, kifo kipo tu...!
Ukimchukia mtu we mpe za uso tu....maisha mafupi,unabaki na kitu kinakukaba roho,mwenzio ana raha zake....lol