Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
wakuu habari za jumapili,kuna mwanamke mmoja ni rafiki yangu wa mtaa kwamba hata ikitokea misiba huwa lazima tuende wote,aliyeniunganisha na huyo mwanamke ni mume wangu ,huyo mwanamke ameolewa na wana kasmall pub ambacho kamejificha mume wangu alipenda kuchill sana akitoka tu job anapitia na mimi cku za wikiend nkaambiwa kuna uvumi kwamba anatembea na mume wangu lakini mume wangu akasema hayo maneno ya watu kwa kua wanamuona mida mingi yuko kwenye hiyo pub ck moja mume wangu akanionyesha jinsi alivyotrace namba yake na kupata outcall na incall zake tena akanitajia list ya wanaume aliotembea nao ambao yeye mume wangu anawafahamu,mi nkapotezea sasa kuna mama mmoja mtu mzima ameniambia yule mwanamke ni mnafiki kwangu na anaogopa kunitembelea kwani anafeel guilty na amesema ni kweli kabsa mume wangu aliniambia yule mwanamke alikua anamtaka na alikua anampa siri za mume wake kama ni mchovu lakini mume wangu alikataa asingeweza kutembea naye kwani mume wake ni mngon na mume wangu ni mngoni kwa hiyo asingeweza kutembea naye ni kama ndugu,sasa nashindwa kuelewa kweli yule mwanamke ametembea na mume wangu au la??