Wacha1
JF-Expert Member
- Dec 21, 2009
- 16,681
- 8,233
Hana la kurekebisha aende msoga tu akale pesa za walipa kodi anazotafuna na kutuachia nchi yetu wenyewe. Hatukupigania uhuru kuwaachia akina sin bin Clair na RA na waarabu wake waliochukua mababu zake utumwa kutafuna rasilimali zetu. Wengine tuna jadi ati hatukukubali kuchukuliwa utumwa na kuwa ma-puppet wa waarabu.