Lipi jema

MwanajamiiOne

Platinum Member
Jul 24, 2008
10,470
6,562
Wapendwa natumaini wote mu wazima na mnaisubiria weekend kwa hamu.

Ninaomba mnisaidie katika hili.

mara nyingi huwa tunapokumbwa na mikasa ya mapenzi hasa tukitendwa na wenzi wetu huwa tunapata lawama kuwa tulionyesha sana kuwa tunampenda. na wanadai kama mtu akionyeshwa kuwa anapendwa sana badsi matokeo yake ni kukuumiza.

Swali jipi ni jema:
1. kumwonyesha kuwa unampenda sana au kutomwonyesha?
2. Kama ni kutomuonyesha- how to do that? Unawezaje kutomwonyesha mtu unayempenda kweli kuwa unampenda?

Karibuni na Aksanteni.
 
Hellow sissy niaje?? Sidhani kama unaweza kutomuonyesha mtu mapenzi uliyonayo kwake. Ni ngumu kwa kweli labda kama humpendi kwa dhati ndo unaweza fanya hivyo. lakini kama ndo yuko kumoyo husikii huelewi la mtu haiwezekani. Labda wengine waja hapa na experience tofauti tuwasikie
 
Kama umewahi umizwa kweli kweli
inakuwa ngumu kujiachia kabisa na mpenzi mpya
tahadhari inakuwepo,mpaka mda mrefu upite ndo utajikuta umejiachia....
 
Hellow sissy niaje?? Sidhani kama unaweza kutomuonyesha mtu mapenzi uliyonayo kwake. Ni ngumu kwa kweli labda kama humpendi kwa dhati ndo unaweza fanya hivyo. lakini kama ndo yuko kumoyo husikii huelewi la mtu haiwezekani. Labda wengine waja hapa na experience tofauti tuwasikie

JS thanx am fine mydia ninamshukuru MUNGU.

Ndio hapo sasa nashindwa kuelewa... kuna baadhi ya wanaume huwa wanasemaga eti ukumwonyesha mwanamke unampenda sana atakuchezea sasa nashindwa kuelewa ina maana wao wanauwezo wa kuficha?? au ndo usanii tena?
 
Kama umewahi umizwa kweli kweli
inakuwa ngumu kujiachia kabisa na mpenzi mpya
tahadhari inakuwepo,mpaka mda mrefu upite ndo utajikuta umejiachia....
Ni kweli The Boss nakubaliana na wewe kabisa kuwa kama umeumizwa itakuchukua muda kuonyesha mapenzi ya kweli kwa mwenzi wako. But ni ngumu kwa mtu ambaye hajawahi kuumizwa lets say ndo mpenzi wa kwanza huyo. Mimi nadhani kuumizwa kwenye mapenzi ni bahati ya mtu- si kitu ambacho unawezapanga kuwa nitahakikisha mapenzini siumizwi na ni jambo la kumshukuru MUNGU au?
 
Mwanajamii One;

Hakuna ubaya kuonyesha mtu kwamba unampenda; na hata kama ni lawana, naamini kwamba suala si kuonyesha unampenda mtu zaidi, bali ni kumuonyesha mtu kwamba u-mnyonge

more to come...
 
Mj1 shkang!

Huwezi kuplan kumwonyesha mtu kama unampenda au laa. Hivi vitu vinatokea nachurale. We unaweza fikiri humwonyeshi kama unampenda kumbe ndiyo unamwonyesha mpaka ndugu, jamaa, marafiki na maadui wanaona.

So; kama unapenda mjukuu wangu MJ1, there is no way, mpenzio atajua tu. And otherwise of course.
 
Mwanajamii One;

Hakuna ubaya kuonyesha mtu kwamba unampenda; na hata kama ni lawana, naamini kwamba suala si kuonyesha unampenda mtu zaidi, bali ni kumuonyesha mtu kwamba u-mnyonge

more to come...

Aksante De Novo nadhani pengine wengi wetu tunamix kuonyesha unampenda na kuonyesha kuwa u mnyonge kwake..... hadi pale yanapotukuta


Hapo kwenye bolded- ndo ucome back twna sio utokomee.......
 
Mj1 shkang!

Huwezi kuplan kumwonyesha mtu kama unampenda au laa. Hivi vitu vinatokea nachurale. We unaweza fikiri humwonyeshi kama unampenda kumbe ndiyo unamwonyesha mpaka ndugu, jamaa, marafiki na maadui wanaona.

So; kama unapenda mjukuu wangu MJ1, there is no way, mpenzio atajua tu. And otherwise of course.
Babu bana.... haya shkang'

Ok sas anaelewa wanaonigombezaga kuwa nilimwonyesha sana kuwa namp[enda sana sasa inakula kwangu huwa wananionea tu bure!:sick:
 
Mwanajamii One;

Hakuna ubaya kuonyesha mtu kwamba unampenda; na hata kama ni lawana, naamini kwamba suala si kuonyesha unampenda mtu zaidi, bali ni kumuonyesha mtu kwamba u-mnyonge

more to come...


We waiting for more
 
Babu bana.... haya shkang'

Ok sas anaelewa wanaonigombezaga kuwa nilimwonyesha sana kuwa namp[enda sana sasa inakula kwangu huwa wananionea tu bure!:sick:


Dada yangu dont put that sad look on your face. Hukufanya vibaya kumuonyesha mtu unampenda. Its worth at the time. Ila yeye ndo wa ajabu kukulipizia kwa chuki badala ya mapendo
 
Wapendwa natumaini wote mu wazima na mnaisubiria weekend kwa hamu.

Ninaomba mnisaidie katika hili.

mara nyingi huwa tunapokumbwa na mikasa ya mapenzi hasa tukitendwa na wenzi wetu huwa tunapata lawama kuwa tulionyesha sana kuwa tunampenda. na wanadai kama mtu akionyeshwa kuwa anapendwa sana badsi matokeo yake ni kukuumiza.

Swali jipi ni jema:
1. kumwonyesha kuwa unampenda sana au kutomwonyesha?
2. Kama ni kutomuonyesha- how to do that? Unawezaje kutomwonyesha mtu unayempenda kweli kuwa unampenda?

Karibuni na Aksanteni.

...sweetheart, kwani unamuonyeshaje mtu kuwa unampenda? nadhani kumpenda mtu ni 'natural' tu wala haihitajiki kumuonyesha unampenda as if maisha ni Isidingo.
What I mean is, huna haja ya "kumuonyesha" mtu kuwa unampenda, wewe mpende tu mwenyewe atatafsiri anapendwa au la.

...or, did i miss your point swhr?
 

...sweetheart, kwani unamuonyeshaje mtu kuwa unampenda? nadhani kumpenda mtu ni 'natural' tu wala haihitajiki kumuonyesha unampenda as if maisha ni Isidingo.
What I mean is, huna haja ya "kumuonyesha" mtu kuwa unampenda, wewe mpende tu mwenyewe atatafsiri anapendwa au la.

...or, did i miss your point swhr?
Mylove
you didnt miss any point I think you are right . Huwezionyesha kama unampenda ila kinachoonekana ni kuwa unampenda mhuh! Ila sometimes love kuna vitu huwa vinajitokeza ambavyo vinaashiria kuwa kwake umefika. Yaani unakuwa huna kauli juu ya vitu hivyo either kwa kuogopa muhuudhi mtu ambaye unahisi ndio roho yako au nakosea? Yaani inafika mahali ule msemo wa ... ah huyu kwangu hapindui kabisa....
 
Babu bana.... haya shkang'

Ok sas anaelewa wanaonigombezaga kuwa nilimwonyesha sana kuwa namp[enda sana sasa inakula kwangu huwa wananionea tu bure!:sick:
Wanakuonea mjukuu wangu. Labda kama wao hawajawahi au hawajui nini maana ya kupenda.
 
kupenda nusu siwezi asilani, despite the fact that nimeshaumizwa sana yaani huu umoyo ulishavunjika mpaka there are no more pieces to break.

binafsi naona ni ngumu kwnza ntajitesa mwenyewe tu, I can only be happy when I show my love in full lakini matokeo yake sasa.........yantegemea mtu na mtu!!
 
swala la kupenda linatokea automatically na huwezi kulicontrol,na ndio maana huwezi kuamua kuonyesha au kutokuonyesha hisia hiyo,itakuja tu na utashangaa hata mama yako anakwambia, 'i know you are in love...'
 
Wapendwa natumaini wote mu wazima na mnaisubiria weekend kwa hamu.

Ninaomba mnisaidie katika hili.

mara nyingi huwa tunapokumbwa na mikasa ya mapenzi hasa tukitendwa na wenzi wetu huwa tunapata lawama kuwa tulionyesha sana kuwa tunampenda. na wanadai kama mtu akionyeshwa kuwa anapendwa sana badsi matokeo yake ni kukuumiza.

Swali jipi ni jema:
1. kumwonyesha kuwa unampenda sana au kutomwonyesha?
2. Kama ni kutomuonyesha- how to do that? Unawezaje kutomwonyesha mtu unayempenda kweli kuwa unampenda?

Karibuni na Aksanteni.

MJ1, katika hili mimi naona kama mtu unampenda sana basi anastahili kujua kama unampenda sana. Kuna faida gani ya kumpenda mtu halafu unamficha kiasi unachompenda hata kwa mfano akiulizwa mkeo/gf/mumeo/bf anakupenda kiasi gani? Jibu lake najua ananipenda lakini sijui kiasi gani. Yanini tufanye usanii hadi kwenye mapenzi? Mtazamo wangu unaweza kabisa kuwa wa mwaka 47 lakini sikubaliani kabisa na usanii kwenye mapenzi wa kumpenda mtu sana lakini unamficha na kuwaambia watu wa pembeni au humpendi kihivyo lakini pia una mtapeli kwa kuwa anakutimizia kile unachokitaka toka kwake na siku yoyote ile unaweza kumbwaga.
 
kupenda nusu siwezi asilani, despite the fact that nimeshaumizwa sana yaani huu umoyo ulishavunjika mpaka there are no more pieces to break.

binafsi naona ni ngumu kwnza ntajitesa mwenyewe tu, I can only be happy when I show my love in full lakini matokeo yake sasa.........yantegemea mtu na mtu!!


Thank you!....you're kind of my girl...JUST DO IT! pamoja na kujuwa kwenye mapenzi kuna kuumizwa pia kwa vitu ambavyo viko nje ya uwezo wako.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom