Unataka kusema tuliomo humu JF hatuna majukumu?Watu wanatembelea JF kwa kuwa wanetegemea kubadilishana mawazo na Great Thinkers. Kumbe wengine mko humu kwa kukosa la maana la kufanya?
Nadhani ni huyu Trachomatis....
Kuwa mkali hakutusaidii kuelewa. Wewe mwenzetu kama unajua majukumu ya Makamu wa Rais tueleweshe na kama anayatimiza tupe mifano. Mbona hawa wenzetu kwa upendo mkuuubwa wametueleza jinsi wao wanavyomuona SHABABI akiweka majiwe ya msingi 'byurifli' na wala hawajawa wakali?!
Ama kama Mh. Shababi anakuhusu, basi mtetee kwa hoja na sio kutulazimisha. Ombwe ndio nini kaka?
Waweza kulinganisha majukumu ya Rais na yako? Na kwamba tutakukuta,Siasa thread zote,MMU thread zote,Jamii intelligence thread zote aah...jaribu kuelewa maana bana..tena iwe kutwa kucha kama wenzetu humu ndani.. Sidhani..labda sijui awe Rais kama yupi..
Wanajamvi
Ni kweli kwamba cheo cha Makamu wa Rais kipo Kikatiba, na ni kweli kwamba mantiki ya Kuwa na Makamu wa Rais ni kuwa Stand By (hasa kwa wakati huu tunapoona misafara ya marais wengi ikiambatana na ambulance) , Lakini kwa miongo kadhaa sasa nimekuwa nikifuatilia majukumu ya makamu wa Rais na kugundua kwamba mintaarafu ni aidha kufungua mkutano!! au kuzindua kitu!! au kumpokea Rais!!! (Unaweza kuongeza na kutembelea mbuga za wanyama etc) ......... zaidi (chichemi mbaya au nzuri) ni pale unapokuwa na makamu ambaye ana waambata wawili au zaidi kwa wale wasioonekana pichani kulia na kushoto(nadhani mmenielewa)
Je mmna maoni gani wenzangu? (sitaki kuwafilisi kwa kusema huu si mzigo kwa Taifa?- nisije funguliwa kesi ya uchochezi)
Nimerudia kusoma majibu yako mara mbili sijaelewa unachotaka kusema hata kidogo. Jaribu kupanga maneno upya huenda nikakuelewa. Samahani
Mimi nimeamua kukubali yeshe............jamaa ntaalamu wa mafumbo huyuuu
Nikiwa Olever kwenye Civics niliambiwa kazi ya VP ni 1. Poverty eradication 2. Environment management
Basing on those matters, huyu jamaa ana kazi ngumu sana. Tatizo hatekelei majukumu yake ndo maana hata umuhimu wake hauonekani. Kwanza alitakiwa yeye ndo akae vijijini kuwasaidia wananchi kuondokana na umasikini uliokithiri but the funny thing is yeye ndo amekuwa masikini wa mawazo. Kazi ni kwetu wapiga kura
ana wake wawili huyu,atawasapoti vipi?,..jamaa ni phd holder lakini ana wake wawili,..imani bwana.