Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,141
- 13,215
Wanajamvi
Ni kweli kwamba cheo cha Makamu wa Rais kipo Kikatiba, na ni kweli kwamba mantiki ya Kuwa na Makamu wa Rais ni kuwa Stand By (hasa kwa wakati huu tunapoona misafara ya marais wengi ikiambatana na ambulance) , Lakini kwa miongo kadhaa sasa nimekuwa nikifuatilia majukumu ya makamu wa Rais na kugundua kwamba mintaarafu ni aidha kufungua mkutano!! au kuzindua kitu!! au kumpokea Rais!!! (Unaweza kuongeza na kutembelea mbuga za wanyama etc) ......... zaidi (chichemi mbaya au nzuri) ni pale unapokuwa na makamu ambaye ana waambata wawili au zaidi kwa wale wasioonekana pichani kulia na kushoto(nadhani mmenielewa)
Je mmna maoni gani wenzangu? (sitaki kuwafilisi kwa kusema huu si mzigo kwa Taifa?- nisije funguliwa kesi ya uchochezi)
Ni kweli kwamba cheo cha Makamu wa Rais kipo Kikatiba, na ni kweli kwamba mantiki ya Kuwa na Makamu wa Rais ni kuwa Stand By (hasa kwa wakati huu tunapoona misafara ya marais wengi ikiambatana na ambulance) , Lakini kwa miongo kadhaa sasa nimekuwa nikifuatilia majukumu ya makamu wa Rais na kugundua kwamba mintaarafu ni aidha kufungua mkutano!! au kuzindua kitu!! au kumpokea Rais!!! (Unaweza kuongeza na kutembelea mbuga za wanyama etc) ......... zaidi (chichemi mbaya au nzuri) ni pale unapokuwa na makamu ambaye ana waambata wawili au zaidi kwa wale wasioonekana pichani kulia na kushoto(nadhani mmenielewa)
Je mmna maoni gani wenzangu? (sitaki kuwafilisi kwa kusema huu si mzigo kwa Taifa?- nisije funguliwa kesi ya uchochezi)