Lipa kabla hujaanza kunywa

MAMMAMIA

JF-Expert Member
Feb 26, 2008
3,811
1,603
Kwenye baa moja mtaani kwetu kuna bango linasomeka hivi:
"Ikiwa unataka kunywa kwa ajili ya kusahau, tafadhali lipa kwanza kabla hujaanza kunywa".
 
Kwenye baa moja mtaani kwetu kuna bango linasomeka hivi:
"Ikiwa unataka kunywa kwa ajili ya kusahau, tafadhali lipa kwanza kabla hujaanza kunywa".
Inaonyesha ni jinsi gani pombe zikisha kukolea mnajifanya kusahau idadi. Kuepusha usumbufu, mnaambiwa mlipe kwanza.
 
Back
Top Bottom