drphone
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 3,542
- 281
wakuu heshima mbele
kuna jambo linanitatiza nalo ni jinsi watu wengi wasivyojua thamani ya kura yao kiasi kwamba anaweza kuiuza kwa pilau, tshert,kanga, kofia buku, 5000, na 10,000.
chakushangaza ni kwamba wagombea wanajua kwamba kura ni lulu na ndio yenye uwezo wa kuwaingiza kwenye mdaraka na ukubwa wakisha pata tu anajisahau akiamini baada ya 5 yrs mchezo ni ule ule pesa.
jamani tufanye nn\ nn kifanyike watu wajue umuhimu wa kura zao waache kuziuza kirahisi na kuburuzwa kwa miaka 5
kuna jambo linanitatiza nalo ni jinsi watu wengi wasivyojua thamani ya kura yao kiasi kwamba anaweza kuiuza kwa pilau, tshert,kanga, kofia buku, 5000, na 10,000.
chakushangaza ni kwamba wagombea wanajua kwamba kura ni lulu na ndio yenye uwezo wa kuwaingiza kwenye mdaraka na ukubwa wakisha pata tu anajisahau akiamini baada ya 5 yrs mchezo ni ule ule pesa.
jamani tufanye nn\ nn kifanyike watu wajue umuhimu wa kura zao waache kuziuza kirahisi na kuburuzwa kwa miaka 5