Lini waliyokubaliana ccm-a na ccm-b (cuf) ktk muafaka yatakuwa wazi??

Mwangaza

Senior Member
Feb 26, 2008
198
64
Wadau msaaada kwenye tuta, kama kuna mwenye kujua walau hata kuwa na fununu kuhusu walichokubaliana Maalim Seif na Rais Karume kwenye ule muafakaa, autambie tujue, japo kidogo!!!

Maana hawa watu walitushirikisha ktk kupiga kura ya kuchagua serikali ya mseto tu. lakin makubaliano ya ndani ktk mseto huo yamekuwa siri yao, hawa mabwana hawa. Basi watambie tu tujue kama wananchi hatistahili kujua waliyokubaliana viongozi wetu, nasi hattouliza tena atiii ??

Kwa nini hawa watu wafanya siri?? hii sini sawa na katiba ya nnchi tu! ambayo sharti kila mwananchi ajue,au sio jamani??

Inakuwa ujinga kumshirikisha mtu achague kuoa/kuolewa harafu wewe waenda kumchagulia mke/mume kimya kimya..hii si sawa sawa kabisa.

Hii sawa na kuuziwaa mbuzi kwenye gunia!! lini wataweka mambo haya hadhalani????
 
Back
Top Bottom