Lini unatamani ifike/isifike haraka?

Wajad

JF-Expert Member
Jul 20, 2012
1,321
604
Wengine wanatamani mwisho wa mwezi ufike haraka, wengine wanatamani msimu wa mavuno ufike haraka, wengine wanatamani siku za ahadi za kukutana na wapenzi wao zifike haraka, kufunga ndoa, kusafiri, nk. Sina uhakika kama kuna wanaotamani siku ya kiama ifike haraka au siku za kufa kwao. Je wewe unatamani siku/majira gani ifike/isifike haraka?
 
Siku Ninayotamani Ifike Haraka Ni Mwezi Dec Kwani Nafunga Ndoa Baada Ya Uchumba Sugu Wa miaka 15!!

Na Siku Nisiyotaka Ifike Haraka Ni Weekend Zote Kwani Ndizo Siku Ambazo Nalalaga Juu Ya Meza Za Baa au Kaunta Badala Ya Kitandani Kwangu.
Asante.
 
Siku niipendayo ifike
Siku nitakapo jihakiki kwamba nimekua qualified wa kufumua marinda !
Nisiyoipenda siku atokee wa kutokea kuniambia bamia inanihusu !
 
siku ambayo nyavu zangu zitacheua...hakika siku yangu itakuwa njema!
 
Siku Ninayotamani Ifike Haraka Ni Mwezi Dec Kwani Nafunga Ndoa Baada Ya Uchumba Sugu Wa miaka 15!!

Na Siku Nisiyotaka Ifike Haraka Ni Weekend Zote Kwani Ndizo Siku Ambazo Nalalaga Juu Ya Meza Za Baa au Kaunta Badala Ya Kitandani Kwangu.
Asante.

duuuuh aiseeeee.....
 
Siku Ninayotamani Ifike Haraka Ni Mwezi Dec Kwani Nafunga Ndoa Baada Ya Uchumba Sugu Wa miaka 15!!

Na Siku Nisiyotaka Ifike Haraka Ni Weekend Zote Kwani Ndizo Siku Ambazo Nalalaga Juu Ya Meza Za Baa au Kaunta Badala Ya Kitandani Kwangu.
Asante.

Naungana nawe kutamani hiyo dec. ifike haraka!
 
natamani siku ya kukutana na naniii ifike make tunaishiaga kuongea kwenye cm!
siku nisiyotamani ni siku ya kupigwa kibuti lolest. . . nakuwaga mdogo kuliko piriton!!!!!!
 
Siku Ninayotamani Ifike Haraka Ni Mwezi Dec Kwani Nafunga Ndoa Baada Ya Uchumba Sugu Wa miaka 15!!

Na Siku Nisiyotaka Ifike Haraka Ni Weekend Zote Kwani Ndizo Siku Ambazo Nalalaga Juu Ya Meza Za Baa au Kaunta Badala Ya Kitandani Kwangu.
Asante.
AHHHAHHAHAHHAHAH shosti hapa ubraidmaid unahusika kwa kweli tutapendezaje na njano na puprple yetu!ahahahahhahahha chezeya uchumba sugu miaka 15 wewe!
ngoja nipendekeze wadau kabisa
hapa kwenye umatrone akae @FP
mabraidsmaid watakuwa cacico, mwaJ King'asti, snowhite
lara 1 na Kapipi watarekebisha upande wa kukaribisha wageni
The Boss atakuwa floor manager Kaizer mwenyekiti wa kamati kuu ya vinywaji HorsePower atarekebisha upande wa kuandaa risala ya wazazi
SnowBall pacha wangu atasimama upande wa usafiri
Nyani Ngabu yeye kzi yake ni kuleta nguo za maharusi kutoka pande za italy
gfsonwin yeye atahusika sana siku ya bridal shower akisaidiana na Mamdenyi
MKATA KIU na Saint Ivuga wao wakiongozwa na BAK pamoja na King Kong III watasimamia swala zima la muziki
Erickb52 yeye atafuatilia swala zima la suti ya bwana harusi
Ruttashobolwa kutokana na kuwa na maslahi binafsi katika hili tunaomba tu atuache tupige mzigo!
ASHAdii akisaidiana na nyumba kubwa watahusika na maswala yooote ya masotojo a.k.a msosi. charminglady na FirstLady pamoja na kisukari nyie kazi yenu ni upande wa saloon muhakikishe amekuja kanisani anawaka waka!
kuna nyongeza jamani?
 
Last edited by a moderator:
Siku niipendayo ifike
Siku nitakapo jihakiki kwamba nimekua qualified wa kufumua marinda !
Nisiyoipenda siku atokee wa kutokea kuniambia bamia inanihusu !
Judgement kumbe wewe ndo unayeshkilia maombi yetu yasipate breakthru kwenye uponyaji wako lol!
watu tunamaombi ya mnyororo wa kila siku toka tupate taarifa za kuugua halafu wewe unatukwamisha tutasusa sasa.
 
Last edited by a moderator:
AHHHAHHAHAHHAHAH shosti hapa ubraidmaid unahusika kwa kweli tutapendezaje na njano na puprple yetu!ahahahahhahahha chezeya uchumba sugu miaka 15 wewe!
ngoja nipendekeze wadau kabisa
hapa kwenye umatrone akae @FP
mabraidsmaid watakuwa cacico, mwaJ King'asti, snowhite
lara 1 na Kapipi watarekebisha upande wa kukaribisha wageni
The Boss atakuwa floor manager Kaizer mwenyekiti wa kamati kuu ya vinywaji HorsePower atarekebisha upande wa kuandaa risala ya wazazi
SnowBall pacha wangu atasimama upande wa usafiri
Nyani Ngabu yeye kzi yake ni kuleta nguo za maharusi kutoka pande za italy
gfsonwin yeye atahusika sana siku ya bridal shower akisaidiana na Mamdenyi
MKATA KIU na Saint Ivuga wao wakiongozwa na BAK pamoja na King Kong III watasimamia swala zima la muziki
Erickb52 yeye atafuatilia swala zima la suti ya bwana harusi
Ruttashobolwa kutokana na kuwa na maslahi binafsi katika hili tunaomba tu atuache tupige mzigo!
ASHAdii akisaidiana na nyumba kubwa watahusika na maswala yooote ya masotojo a.k.a msosi. charminglady na FirstLady pamoja na kisukari nyie kazi yenu ni upande wa saloon muhakikishe amekuja kanisani anawaka waka!
kuna nyongeza jamani?

haluuuu halafu ujue leo tunaanza mkesha wa kumfunda mwali kuamki aijumaa kesho na hapa niko ndo naandika kadi za mwaliko soon mtazipata.
 
snowhite yan hiyo nafasi umenipatiaje, bi harusi atawaka kama theluji. . .
afu wimbo wa kuingilia ukumbini utakuwa "wanawake wazuri wazuri wameole yamebaki yamebaki yanahangaika" alilililili!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
snowhite yan hiyo nafasi umenipatiaje, bi harusi atawaka kama theluji. . .
afu wimbo wa kuingilia ukumbini utakuwa "wanawake wazuri wazuri wameole yamebaki yamebaki yanahangaika" alilililili!!!!!!!

mie tena mtaalam wa kuzingatia haiba!
ahahahhahhahah huo wimbo mbona kiboko!!tutachezaaaje!
 
Wengine wanatamani mwisho wa mwezi ufike haraka, wengine wanatamani msimu wa mavuno ufike haraka, wengine wanatamani siku za ahadi za kukutana na wapenzi wao zifike haraka, kufunga ndoa, kusafiri, nk. Sina uhakika kama kuna wanaotamani siku ya kiama ifike haraka au siku za kufa kwao. Je wewe unatamani siku/majira gani ifike/isifike haraka?


Mimi mwenzenu siitamani siku ya kufa ifike, siipendi kabisa na huwa nakereka sana kuona napoteza wapendwa ndugu zangu na marafiki. Naichukia hii siku balaa!
Hata tuonane mtoni, watakatifu kwetu ni mtoni .... Huu wimbo ndo huwa unaniudhi zaidi ...!

Siku zingine zote sina tatizo nazo hata kidogo, acha zifike tu na napenda zifike maana hata nikiomba zichelewa bado zitafika tu, hivyo ni bora zifike halafu zipite ili nisahau hayo niliyokuwa nayaota na kuyafikiria kila siku!
 
AHHHAHHAHAHHAHAH shosti hapa ubraidmaid unahusika kwa kweli tutapendezaje na njano na puprple yetu!ahahahahhahahha chezeya uchumba sugu miaka 15 wewe!
ngoja nipendekeze wadau kabisa
hapa kwenye umatrone akae @FP
mabraidsmaid watakuwa cacico, mwaJ King'asti, snowhite
lara 1 na Kapipi watarekebisha upande wa kukaribisha wageni
The Boss atakuwa floor manager Kaizer mwenyekiti wa kamati kuu ya vinywaji HorsePower atarekebisha upande wa kuandaa risala ya wazazi
SnowBall pacha wangu atasimama upande wa usafiri
Nyani Ngabu yeye kzi yake ni kuleta nguo za maharusi kutoka pande za italy
gfsonwin yeye atahusika sana siku ya bridal shower akisaidiana na Mamdenyi
MKATA KIU na Saint Ivuga wao wakiongozwa na BAK pamoja na King Kong III watasimamia swala zima la muziki
Erickb52 yeye atafuatilia swala zima la suti ya bwana harusi
Ruttashobolwa kutokana na kuwa na maslahi binafsi katika hili tunaomba tu atuache tupige mzigo!
ASHAdii akisaidiana na nyumba kubwa watahusika na maswala yooote ya masotojo a.k.a msosi. charminglady na FirstLady pamoja na kisukari nyie kazi yenu ni upande wa saloon muhakikishe amekuja kanisani anawaka waka!
kuna nyongeza jamani?

snowhite una mambo yaani unampa HP kuandaa risala?! Siwezi kuisikiliza ...!:shock:
 
Last edited by a moderator:
Judgement kumbe wewe ndo unayeshkilia maombi yetu yasipate breakthru kwenye uponyaji wako lol!
watu tunamaombi ya mnyororo wa kila siku toka tupate taarifa za kuugua halafu wewe unatukwamisha tutasusa sasa.

Haa haa! Haa!
Jamani mgonjwa si naumwa huu mguu mrefu lakini!
Mfupi uko "makila kinga poa"
huo si utakua uuguzaji wa kizamani ?
Mara mgonjwa usile mayai !
Usile maini !
Usile kuku !
Hayo maponyaji ya mgonjwa asifungue nafsi zama zake zishakwenda arijojo !
 
Last edited by a moderator:
AHHHAHHAHAHHAHAH shosti hapa ubraidmaid unahusika kwa kweli tutapendezaje na njano na puprple yetu!ahahahahhahahha chezeya uchumba sugu miaka 15 wewe!
ngoja nipendekeze wadau kabisa
hapa kwenye umatrone akae @FP
mabraidsmaid watakuwa cacico, mwaJ King'asti, snowhite
lara 1 na Kapipi watarekebisha upande wa kukaribisha wageni
The Boss atakuwa floor manager Kaizer mwenyekiti wa kamati kuu ya vinywaji HorsePower atarekebisha upande wa kuandaa risala ya wazazi
SnowBall pacha wangu atasimama upande wa usafiri
Nyani Ngabu yeye kzi yake ni kuleta nguo za maharusi kutoka pande za italy
gfsonwin yeye atahusika sana siku ya bridal shower akisaidiana na Mamdenyi
MKATA KIU na Saint Ivuga wao wakiongozwa na BAK pamoja na King Kong III watasimamia swala zima la muziki
Erickb52 yeye atafuatilia swala zima la suti ya bwana harusi
Ruttashobolwa kutokana na kuwa na maslahi binafsi katika hili tunaomba tu atuache tupige mzigo!
ASHAdii akisaidiana na nyumba kubwa watahusika na maswala yooote ya masotojo a.k.a msosi. charminglady na FirstLady pamoja na kisukari nyie kazi yenu ni upande wa saloon muhakikishe amekuja kanisani anawaka waka!
kuna nyongeza jamani?

Usihofu Mziki Utakuwa Mnene @Subwoofer na tweeter za Kutosha DJ JD Tutakuwa Nae kwenye 1 n 2......
 
Back
Top Bottom