Wengine wanatamani mwisho wa mwezi ufike haraka, wengine wanatamani msimu wa mavuno ufike haraka, wengine wanatamani siku za ahadi za kukutana na wapenzi wao zifike haraka, kufunga ndoa, kusafiri, nk. Sina uhakika kama kuna wanaotamani siku ya kiama ifike haraka au siku za kufa kwao. Je wewe unatamani siku/majira gani ifike/isifike haraka?