Magulumangu
JF-Expert Member
- Jan 7, 2010
- 3,047
- 452
wakulu nimekuwa najiuliza kila mara kuhusu hili lakini no answer sijui na wenzangu mumewahi tokewa?Lini umekasirishwa na mwenza wako na kudiriki kumwambia wewe ngoja tu siku yako inakuja...mie nimewahi baada ya kupigwa mswaki wiki nzima madai yake kachoka na kazi,ilinibidi kusema vile kutikisa kiberiti lakini wapi mwendo ule ule tu ikabidi nitumie uzoefu lakini ngoma ikawa no way..sasa wazee hebu nisaidieni hapo..