mimi sijawahi kulinunua maishani mwangu. Hata pale nilipokuwa mwanaCCM active, nilikuwa nanunua magazeti yanayoandika ukweli kama Mwananchi, Rai la wakati ule, Majira na nipashe. Uhuru sijawahi kabisa.
...Nami niliacha kununua Mzalendo baada ya Makala za akina mar Yahya Buzaragi, mar Shimye Ahmed, mar Salim Bawazir, Chesi Mpilipili kutoweka kwenye gazeti hilo zaidi ya miaka 16 iliyopita!!! Toka kipindi hicho Sijapoteza Hela Yangu tena Kulinunua...!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.