Kibunago
JF-Expert Member
- Jan 11, 2008
- 300
- 122
Katika mambo kama haya, kwa hakika hata hiyo kamati ya Bunge ya Lowasa haikupaswa kutoa tamko lolote tena hapa maana wao wanawajibika direct Bungeni kupitia kwa Spika na si kwa Wananchi. Wala jibu la sita bungeni halikutosha maana yeye alikuwa anajibu maswali na wasiwasi wa Wabunge hivyo kwa niaba ya Waziri Mkuu akawaeleza Wabunge (by the way alijieleza vyema).
Hapa ni mtu mmoja tu alipaswa kusema juu ya hili (iwe ni kuwatuliza, kuwathibitishia, kulaani, kueleza hatua zilizopo za kidiplomasia n.k) kuwajulisha Watanzania wote yakiwamo majeshi yake naye si mwingine bali Amir Jeshi Mkuu wala si Makamu wala kaimu yeyote popote!
Watu wa itifaki mko wapi kusaidia haya mambo jamani?
Hapa ni mtu mmoja tu alipaswa kusema juu ya hili (iwe ni kuwatuliza, kuwathibitishia, kulaani, kueleza hatua zilizopo za kidiplomasia n.k) kuwajulisha Watanzania wote yakiwamo majeshi yake naye si mwingine bali Amir Jeshi Mkuu wala si Makamu wala kaimu yeyote popote!
Watu wa itifaki mko wapi kusaidia haya mambo jamani?