Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,277
- 105,475
kwa nini Shimbo asijitokeze sasa na kutuliza wananchi kwamba mipaka yetu ipo salama?acha uwoga wa vita.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
Nimeelezea kwa nini hapo ju, hujaja na swali jipya lenye leseni ya kupewa jibu jipya.
Kuhusu uoga, naambiwa ni dalili ya werevu. Soma wahenga na watu waliopigana vita wanavyosema. Mtu anayeijua vita hawezi kutaka vita kirahisi rahisi wakati njia nyingine za kidiplomasia hazijamalizwa kwanza.
"Kwa mwoga huenda kicheko, kwa shujaa huenda kilio" -Methali ya Kiswahili.
"If we take the generally accepted definition of bravery as a quality which knows no fear, I have never seen a brave man. All men are frightened. The more intelligent they are, the more they are frightened."
General George S. Patton