Wanajeshi hawawezi kuanza kutoa matamko tamko tu wakati jitihada za kidiplomasia zinaendelea. Hilo litakuwa jeshi la kitoto.
Subiri diplomasia ichukue mkondo wake kwanza. Wanajeshi wakianza kusema sasa wanaweza hata kuharibu mazungumzo.
Halafu watu wanaoshabikia vita ndio hao hao hata wakiona mjusi tu wanakimbia.
wakati wa uchaguzi mwaka 2010 tulishudia mnadhimu wa jeshi Davis Mwamunyange akitahadharisha juu ya tishio la amani nchini.je ni lini tutamsikia tena akiongelea juu ya tishio la usalama wa mpaka wetu na malawi?
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
nini kilichowafanya watoe tamko wakati wa uchaguzi?
nini kilichowafanya watoe tamko wakati wa uchaguzi?
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
kwa nini Shimbo asijitokeze sasa na kutuliza wananchi kwamba mipaka yetu ipo salama?acha uwoga wa vita.Usilinganishe machungwa na matufaa.
Wakati wa uchaguzi hakukuwa na open confrontation iliyoweza kuwa escalated na tamko lao, na kwa kutoa tamko walikuwa wanathibitishia umma kwamba nchi ina usalama, tamko hili lilikuwa justified kwa minajili ya kuongeza usalama kwamba kama kuna mtu anataka fyokofyoko afikirie mara mbili maana asije kuivaa wrath ya jeshi.
Sasa mara hii tuna confrontation na nchi jirani, kuna wananchi dakika kumi na tano mbele washaanza kushabikia vita, huko kwa Wamalawi kuna watu wako gung-ho tayari, kwa hiyo tamko la jeshi ni rahisi sana kuwa counterproductive. Badala ya kutuliza hali, likazidisha escalation mambo yaende kuelekea vita hata pale ambapo mazungumzo yangeweza kumaliza matatizo.
Ndiyo maana nasema muda wa wanajeshi kusema haujafika.Kwanza Wanajeshi hawatakiwi kuwa watu wa kusema sema ovyo, hiyo ni kazi ya wanasiasa.Wanajeshi wao wanapewa amri, wanakwenda kufanya kazi tu.
kauli ya kumwaga damu ya slaa.
wakati wa uchaguzi mwaka 2010 tulishudia mnadhimu wa jeshi-Shimbo akitahadharisha juu ya tishio la amani nchini.je ni lini tutamsikia tena akiongelea juu ya tishio la usalama wa mpaka wetu na malawi?
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
2010 wanajeshi walitoa tamko!wanajeshi hawatoi tamko. Jeshi linapewa amri na wanatekeleza. Mfano wakiamriwa wakawaue wanachadema lazima watekeleze amri. Wakiamriwa kuingiza powertillers nchini inatekelezwa
Usilinganishe machungwa na matufaa.
Wakati wa uchaguzi hakukuwa na open confrontation iliyoweza kuwa escalated na tamko lao, na kwa kutoa tamko walikuwa wanathibitishia umma kwamba nchi ina usalama, tamko hili lilikuwa justified kwa minajili ya kuongeza usalama kwamba kama kuna mtu anataka fyokofyoko afikirie mara mbili maana asije kuivaa wrath ya jeshi.
Sasa mara hii tuna confrontation na nchi jirani, kuna wananchi dakika kumi na tano mbele washaanza kushabikia vita, huko kwa Wamalawi kuna watu wako gung-ho tayari, kwa hiyo tamko la jeshi ni rahisi sana kuwa counterproductive. Badala ya kutuliza hali, likazidisha escalation mambo yaende kuelekea vita hata pale ambapo mazungumzo yangeweza kumaliza matatizo.
Ndiyo maana nasema muda wa wanajeshi kusema haujafika.Kwanza Wanajeshi hawatakiwi kuwa watu wa kusema sema ovyo, hiyo ni kazi ya wanasiasa.Wanajeshi wao wanapewa amri, wanakwenda kufanya kazi tu.
Nani aliwapa AMRI ya kusema WAPINZANI NI LAZIMA WAKUBALI MATOKEO?
Hawahitaji kusema walitakiwa wawe macho siku zote inaelekea wamelala kitanda kimoja na CCM, uvamizi wa Malawi ni news kwao.
kwa nini Shimbo asijitokeze sasa na kutuliza wananchi kwamba mipaka yetu ipo salama?acha uwoga wa vita.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA