Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,140
- 14,678
Wakereketwa waliojitokeza wakati msafara wa Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi CCM, Nape Nnauye, ulipokuwa ukipita katika kijiji cha Mlangali, Wilayani Ludewa mkoani Njombe mwishoni mwa wiki, akiwa katika ziara ya kuimarisha uhai wa Chama na kukagua miradi ya maendeleo mkoani humo. Hapa wakionesha alama ya dole...