Jamani wana Great thinker ni lini? nafasi za kujiunga na JWTZ zinatoka kwa mwaka huu 2013
Tujuzane kwa undani na ukaribu coz we need to join an army plz your information will be of a great thnx if you do xo!!!!!!!!
thnx have good weakend
Se uuuuuuuuuuuu!!!!!!!All Great thinkers
Wadau tujuzane kwa yeyote mwenye infor kuhusu intek ya pili mwaka huu jkt wataanza kuchukua watu mwez wa ngapi?
watachukua Uraiani ila muda wa kozi ni mwaka mmoja badala ya miezi 6
inasemekana mwezi wa 9