mayoscissors
JF-Expert Member
- Nov 24, 2009
- 975
- 471
Kwa upeo wangu si tu hatuna furaha na amani mioyoni mwetu ila pia tumejawa na chuki na unyonge ambao wale ambao tumewapa dhamana ya kuongoza nchi yetu wamekuwa wakitupandikiza.
Hatuna rais,hatuna waziri mkuu na pia tuna mawaziri.Je tanzania pia haina watanzania?Namaanisha wananchi.....wazalendo......leo hatuwezi kufanya kama tunisia na misri kizalendo?
Mwenzenu mimi serikali yetu imedhoofisha uzalendo wangu na ndo maana unaweza ukaona nachoandika ni ujinga....Sujinga utanikumbuka siku si mbali.
Tanzania yenye wazalendo wenye upendo na furaha inawezekana tukijitambua na kufunguka.Mungu ibariki Tanganyika
Hatuna rais,hatuna waziri mkuu na pia tuna mawaziri.Je tanzania pia haina watanzania?Namaanisha wananchi.....wazalendo......leo hatuwezi kufanya kama tunisia na misri kizalendo?
Mwenzenu mimi serikali yetu imedhoofisha uzalendo wangu na ndo maana unaweza ukaona nachoandika ni ujinga....Sujinga utanikumbuka siku si mbali.
Tanzania yenye wazalendo wenye upendo na furaha inawezekana tukijitambua na kufunguka.Mungu ibariki Tanganyika