mtaala ubadilishwe.....somo la elimu akhera liwekwe uone kama hawajafaulu wote!
Jamani matokeo ndo hayo,subirieni malalamikoh Ndelichako anapendelea.Hapo napo je?
Mkuu mbona matokeo ni kichefuchefu. Habari zionaonyesha kwamba 60% wa watahiniwa wamepata daraja la sifuri (Division zero)!
mtaala ubadilishwe.....somo la elimu akhera liwekwe uone kama hawajafa ulu wote!
60% ambao wamfikia level ya form 4, kusingekua na shule za kata hao 60% wote mngewata wameishia elimu ya msingi???
Muwe wepesi wakufikiri
Mkuu Adobe
Acha kutumia computer ya NSSF HQ kupost JF jamaa wanaweza kukutafuta au edit docs before post
Div 0 = Kutojua kusoma na kuandika?!!!! my world Hao waliofika form 4 si ndio hayo wanao wapeleka puta wanasiasa vilaza huko majimboni? miaka minne ya kuwepo shule kunakujengea ufhamu kuliko hao amabao hawakufika kwenye hizo shule kabisaMkuu wangu hiyo 60% ambao wamefika form four lakini hawajui kusoma na kuandika kuna tofauti gani na ambaye hata hakufika darasa la kwanza? Si afadhali angefika la saba kisha akaenda chuo cha ufundi wa kupaka rangi.
Div 0 = Kutojua kusoma na kuandika?!!!! my world Hao waliofika form 4 si ndio hayo wanao wapeleka puta wanasiasa vilaza huko majimboni? miaka minne ya kuwepo shule kunakujengea ufhamu kuliko hao amabao hawakufika kwenye hizo shule kabisa
60% ambao wamfikia level ya form 4, kusingekua na shule za kata hao 60% wote mngewata wameishia elimu ya msingi???
Muwe wepesi wakufikiri