Linaniuma sana nisaidieni jamani.

Fasta fasta

JF-Expert Member
Feb 15, 2011
1,126
725
Ndugu zangu wanajf. Ninapenda kuwasilimia wote mabibi na mabwana. Nimefurahishwa sana na ushauri na mawazo manayotoa kwa kweli ni ya kujenga sio kubomoa. Shukrani.

Mimi ni kijana ambae nilibahatuka kumpenda binti mmoja na nilibahatika kuzaa nae mtoto mmoja tukiwa tunaishi nae pamoja kama miaka mitatu. Lakini baada ya kupata mtoto nikamwona bibie anabadilika kwa sababu dada zake wanauwezo. Mimi nilivumilia mambo mengi sana kiasi kwamba ilifikia kipindi ikawa tunasemana chumbani na kuombana msamaha yanaisha. Mimi mwenzio ninaumia kumbe yeye anapata raha tu na nikimuuliza hivi anajisikiaje labda anavyuniona kama ananipenda anajibu kama chizi ninakupenda kumbe ananing’ong’a huku nyuma. Haya mambo ya simu ni historia ndefu sana kwangu na yeye kuhusu kijana mmoja tulie kuwa tumepanga nae nyumba moja. Na hili la simu nimelifuma mwenyewe live bila kuambiwa na mtu yeyote. Kama ni chakula cha mtoto alikuwa anapata kila siku isipokuwa siku ambazo anakua. Lakini tamaa inaendelea kumzidi. Ninasikia anachukuliwa na rafiki yangu mzee ambaye alifiwa na mke wakati sija toka huko Tz. Na mimi ninamwita ni baba kwa sababu mtu akisha kuzidi miaka 30 ni lazima umuheshimu. Na nilimweshimu kwa sababu alikuwa ni jirani yangu. Sina ukoo nae wala sio kabila langu.
Ubinafsi:
1. Amefuga mifugo kwa mtu bila kuniambia, na nimemuuliza akasema ni kweli alikuwa nazo hata kabla sijatoka huko na hela alipata kwa dada yake.
2. Amejenga nyumba bila kuniambia walipomuuliza wenzake ya kuwa baba watoto anajua alisema hataki nijue ni nyumba yake atapangisha kwa sababu anajua nitajenga nyumba na tutakaa. Baada ya kujua nimeshajua ndio akaaza kuniomba hela za kuchimba choo na kuanza kunieleza ameamua kujenga nyumba sijuii sababu haziishi. Nilipo muuliza amepata wapi hela anajitetea ametumia hela nilizokuwa ninampa za matumizi. Kweli nilishikwa na hasira nikampeleka mwanagu boding japo ni mdogo wa miaka 7.
3. Ana majibu kama kuku ambaye anaharisha.
4. Hapendi kusikia ninawasaidi ndugu zangu kabisa ilifikia kipindi kabla sijaja huku kawakejeli wazazi wangu, nikimwomba embu wasaidie kitu fulani anasema si uwasaidie wewe si wazazi wako, anasema sijamuowa kwa ajili wa wazazi au ndugu. Lakini ninashukuru mungu hakuna mtu yeyote anajua adha ninayoipata, sija wahikuwaambia hata wazazi. Ninasema hivyo kwa sababu anzia nimetoka huko mama yangu alikuwa anaumwa lakini alifika nyumbani kwao akawa anajificha mpaka akaondoka hakuwasalimia wazazi wangu kabisa.
Ninaomba ushauri ndugu zangu nifanye nini? Na mimi ndio nimemaliza masomo ninataka kurudi nyumbani, nianzie wapi maisha? Dada zangu wote wameshaolewa nimebaki na mdogo wangu wa kiume ambaye yupo sekondari.
 
Pole sand ndugu yetu. Mimi nitakushauri kama ifuatavyo; kwanza kabisa mwenza wako siyo mwaminifu; hili ni tatizo kubwa sana ambalo nafikiri liko juu ya uwezo wako. Huyu mtu bila maombi hawezi badilika kamwe ni kitu kiko damuni. 2. Kajenga nyumba bila kukwambia, hiyo inaashiria kwamba anahitaji nafasi ya kuishi maisha yake mwenyewe bila wewe. 3. Ana jeuri kwa umalaya wake, inawezekana wewe unachompa ni kidogo kwa kutumia mwili wake anaongezea pale ulipoishia wewe. 4. hana mapenzi na ndugu zako, ubinafsi mbaya sana ambao ki ukweli wale wote wenye roho hizo na wako kwenye ndoa huwa hawabadiliki. Mazingira waliyokulia ni ya kimaskini sana kiasi kwamba kila kitu kwake ni lulu, though kuna wengine ni tajiri wa mali na maskini wa roho.

Mimi nakushauri mwache tu aende zake, omba mtoto wako akue katiika mazingira mazuri, Mungu atakupa mke mwema. Kuanza maisha peke yako sidhani kama ni kitu kigumu unless wewe ukifanye kuwa kigumu. Make sure una muda na mtoto wako, usiingie kwenye mambo yanaitwa mapenzi kabla ya hujajua hata huyo utakayekuwa nae kama atampenda mwanao. Siku hizi mambo ni magumu, mtu anakubali kumpenda mwanao kwa sababu anataka aingie kweye ndoa akishaingia vimbwanga vinaanza. Simama katika imani huku ukiomba mungu kukupa hekima na busara za kulea mwanao.
 
mwache aendlee na maisha yke cz hakupendi. Toka lini kwnye mapnz kukawa na cr? Hzo psa za ma2miz kias gn mpk ajenge nymb? Na kw nn ackshrikishe?
 
Mkuu pole sana na adha inayokupata. Lakini ningeomba ujaribu kuwa na msimamo wako maana mi nafikiri huenda hata jina lako linakugharimu kwa kufanya mambo ya maisha "fasta fasta". Kitu muhimu sana katika maamuzi ni kile wazungu walisema "Peace of Mind". Na kosa kubwa linaloweza kumsumbua na hata kumgharimu mtu maishani mwake katika swala la mapenzi ni "Kupenda bila Kupendwa".Cha msingi kaa chini na ujaribu kuonesha kama unaweza kuamua.... Vinginevyo, kubaliana na hali hiyo na uwashirikishe nduguzo ili nao wajue umezidiwa....

I will come back soon...
 
Umeishi nae kwa muda wa miaka 3 hujaweka msimamo wa kufunga nae ndoa, ndio maana ameamua kufanya mambo yake bila kukushirikisha
 
Ndugu zangu wanajf. Ninapenda kuwasilimia wote mabibi na mabwana. Nimefurahishwa sana na ushauri na mawazo manayotoa kwa kweli ni ya kujenga sio kubomoa. Shukrani.

Mimi ni kijana ambae nilibahatuka kumpenda binti mmoja na nilibahatika kuzaa nae mtoto mmoja tukiwa tunaishi nae pamoja kama miaka mitatu. Lakini baada ya kupata mtoto nikamwona bibie anabadilika kwa sababu dada zake wanauwezo. Mimi nilivumilia mambo mengi sana kiasi kwamba ilifikia kipindi ikawa tunasemana chumbani na kuombana msamaha yanaisha. Mimi mwenzio ninaumia kumbe yeye anapata raha tu na nikimuuliza hivi anajisikiaje labda anavyuniona kama ananipenda anajibu kama chizi ninakupenda kumbe ananing’ong’a huku nyuma. Haya mambo ya simu ni historia ndefu sana kwangu na yeye kuhusu kijana mmoja tulie kuwa tumepanga nae nyumba moja. Na hili la simu nimelifuma mwenyewe live bila kuambiwa na mtu yeyote. Kama ni chakula cha mtoto alikuwa anapata kila siku isipokuwa siku ambazo anakua. Lakini tamaa inaendelea kumzidi. Ninasikia anachukuliwa na rafiki yangu mzee ambaye alifiwa na mke wakati sija toka huko Tz. Na mimi ninamwita ni baba kwa sababu mtu akisha kuzidi miaka 30 ni lazima umuheshimu. Na nilimweshimu kwa sababu alikuwa ni jirani yangu. Sina ukoo nae wala sio kabila langu.
Ubinafsi:
1. Amefuga mifugo kwa mtu bila kuniambia, na nimemuuliza akasema ni kweli alikuwa nazo hata kabla sijatoka huko na hela alipata kwa dada yake.
2. Amejenga nyumba bila kuniambia walipomuuliza wenzake ya kuwa baba watoto anajua alisema hataki nijue ni nyumba yake atapangisha kwa sababu anajua nitajenga nyumba na tutakaa. Baada ya kujua nimeshajua ndio akaaza kuniomba hela za kuchimba choo na kuanza kunieleza ameamua kujenga nyumba sijuii sababu haziishi. Nilipo muuliza amepata wapi hela anajitetea ametumia hela nilizokuwa ninampa za matumizi. Kweli nilishikwa na hasira nikampeleka mwanagu boding japo ni mdogo wa miaka 7.
3. Ana majibu kama kuku ambaye anaharisha.
4. Hapendi kusikia ninawasaidi ndugu zangu kabisa ilifikia kipindi kabla sijaja huku kawakejeli wazazi wangu, nikimwomba embu wasaidie kitu fulani anasema si uwasaidie wewe si wazazi wako, anasema sijamuowa kwa ajili wa wazazi au ndugu. Lakini ninashukuru mungu hakuna mtu yeyote anajua adha ninayoipata, sija wahikuwaambia hata wazazi. Ninasema hivyo kwa sababu anzia nimetoka huko mama yangu alikuwa anaumwa lakini alifika nyumbani kwao akawa anajificha mpaka akaondoka hakuwasalimia wazazi wangu kabisa.
Ninaomba ushauri ndugu zangu nifanye nini? Na mimi ndio nimemaliza masomo ninataka kurudi nyumbani, nianzie wapi maisha? Dada zangu wote wameshaolewa nimebaki na mdogo wangu wa kiume ambaye yupo sekondari.
Kwa hiyo mzee unasubiri hadi akuharishie? duh kweli wanaume mna uvumilivu!!
 
Bado mapema unaweza anza upya na kuachana nae kuliko umvumilie mtakuja achana kipind ambacho ni too late na itakuchukua mda kugain control.
 
FF huyu mwanamke hakufai kabisa na uking'ang'ania kuwa karibu naye utaishia kwenye foleni kwa babu Loliondo.Mkimbie fasta fasta!
 
Umeishi nae kwa muda wa miaka 3 hujaweka msimamo wa kufunga nae ndoa, ndio maana ameamua kufanya mambo yake bila kukushirikisha

Ilikuwa tufunge ndoa kanisani 2006 lakini aliyetibua mambo yote ni huyo kijana tulipanga nae nyumba moja. Ikabidi niwaombe wazazi wasubiri mpaka nitakapo rudi masomoni na kuangalia watamalizia wapi mechi yao. Kwa sababu ilinibidi nimweleze yule kijana lakini alikataa nikamwonyesha ushahidi wote niliokuwa nao. Baada ya kuona hivyo alihama pale akahamia kwa ndugu zake na sasa hivi ninasikia ameoa.
 
Aisee...mambo mengine jamani

huyo ni wa kuachana naye tu manake heshima na uaminifu hakuna...sioni sababu ya kuwa na ndoa hapo...
 
daa mkuu fasta shukuru Mungu bado unaishi naye kama mchumba wako(Kidini) kama umegundua hayo mapema mkuuu usifunge naye ndoa kabisaa, kuvunja uchumba si zambi!
 
daa mkuu fasta shukuru Mungu bado unaishi naye kama mchumba wako(Kidini) kama umegundua hayo mapema mkuuu usifunge naye ndoa kabisaa, kuvunja uchumba si zambi!
pole sana, umefunga ndoa? kama umefunga ndoa vumilia, lakini kama hujafunga ndoa, hapo huna mke, tafuta mwingine.....atakuja akuchinje ukizipata huyo ili arithi..ametoka wapi kwanza, machame au mkuu?
 
Hafai kuwa mke. Kwanza sio mwaminifu, pili ni m-binafsi. Anapoamua kufanya maendeleo bila kukushirikisha ni wazi kabisa hana future na wewe. Achana nae mapema kabla hujajuta mbele ya safari..
 
Pole sand ndugu yetu. Mimi nitakushauri kama ifuatavyo; kwanza kabisa mwenza wako siyo mwaminifu; hili ni tatizo kubwa sana ambalo nafikiri liko juu ya uwezo wako. Huyu mtu bila maombi hawezi badilika kamwe ni kitu kiko damuni. 2. Kajenga nyumba bila kukwambia, hiyo inaashiria kwamba anahitaji nafasi ya kuishi maisha yake mwenyewe bila wewe. 3. Ana jeuri kwa umalaya wake, inawezekana wewe unachompa ni kidogo kwa kutumia mwili wake anaongezea pale ulipoishia wewe. 4. hana mapenzi na ndugu zako, ubinafsi mbaya sana ambao ki ukweli wale wote wenye roho hizo na wako kwenye ndoa huwa hawabadiliki. Mazingira waliyokulia ni ya kimaskini sana kiasi kwamba kila kitu kwake ni lulu, though kuna wengine ni tajiri wa mali na maskini wa roho.

Mimi nakushauri mwache tu aende zake, omba mtoto wako akue katiika mazingira mazuri, Mungu atakupa mke mwema. Kuanza maisha peke yako sidhani kama ni kitu kigumu unless wewe ukifanye kuwa kigumu. Make sure una muda na mtoto wako, usiingie kwenye mambo yanaitwa mapenzi kabla ya hujajua hata huyo utakayekuwa nae kama atampenda mwanao. Siku hizi mambo ni magumu, mtu anakubali kumpenda mwanao kwa sababu anataka aingie kweye ndoa akishaingia vimbwanga vinaanza. Simama katika imani huku ukiomba mungu kukupa hekima na busara za kulea mwanao.[/Q
Kaka umetoa ushauri mzuri sana .......hawa dada zetu wana matatizo sana kuna jamaa yangu mwaka jana kuja kushtuka nyumba imeshaisha ila aliachana na mkewe baadae
 
pole mshkaji wangu
pole kaka
uyo si mie
1. si mwaminifu
2.mchoyo
3.hana huruma
4.akili zake /upeo mfup sana
6.ana uchu na mali
8.han ukike

maoni;
kimbia
tafuta anayekufaa km mke ,kuzaa na mtu si lazim awe mke wako
take ya time thk,swallow pain n u wl move on sweetie pole sana chalii angu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom