Fasta fasta
JF-Expert Member
- Feb 15, 2011
- 1,126
- 725
Ndugu zangu wanajf. Ninapenda kuwasilimia wote mabibi na mabwana. Nimefurahishwa sana na ushauri na mawazo manayotoa kwa kweli ni ya kujenga sio kubomoa. Shukrani.
Mimi ni kijana ambae nilibahatuka kumpenda binti mmoja na nilibahatika kuzaa nae mtoto mmoja tukiwa tunaishi nae pamoja kama miaka mitatu. Lakini baada ya kupata mtoto nikamwona bibie anabadilika kwa sababu dada zake wanauwezo. Mimi nilivumilia mambo mengi sana kiasi kwamba ilifikia kipindi ikawa tunasemana chumbani na kuombana msamaha yanaisha. Mimi mwenzio ninaumia kumbe yeye anapata raha tu na nikimuuliza hivi anajisikiaje labda anavyuniona kama ananipenda anajibu kama chizi ninakupenda kumbe ananingonga huku nyuma. Haya mambo ya simu ni historia ndefu sana kwangu na yeye kuhusu kijana mmoja tulie kuwa tumepanga nae nyumba moja. Na hili la simu nimelifuma mwenyewe live bila kuambiwa na mtu yeyote. Kama ni chakula cha mtoto alikuwa anapata kila siku isipokuwa siku ambazo anakua. Lakini tamaa inaendelea kumzidi. Ninasikia anachukuliwa na rafiki yangu mzee ambaye alifiwa na mke wakati sija toka huko Tz. Na mimi ninamwita ni baba kwa sababu mtu akisha kuzidi miaka 30 ni lazima umuheshimu. Na nilimweshimu kwa sababu alikuwa ni jirani yangu. Sina ukoo nae wala sio kabila langu.
Ubinafsi:
1. Amefuga mifugo kwa mtu bila kuniambia, na nimemuuliza akasema ni kweli alikuwa nazo hata kabla sijatoka huko na hela alipata kwa dada yake.
2. Amejenga nyumba bila kuniambia walipomuuliza wenzake ya kuwa baba watoto anajua alisema hataki nijue ni nyumba yake atapangisha kwa sababu anajua nitajenga nyumba na tutakaa. Baada ya kujua nimeshajua ndio akaaza kuniomba hela za kuchimba choo na kuanza kunieleza ameamua kujenga nyumba sijuii sababu haziishi. Nilipo muuliza amepata wapi hela anajitetea ametumia hela nilizokuwa ninampa za matumizi. Kweli nilishikwa na hasira nikampeleka mwanagu boding japo ni mdogo wa miaka 7.
3. Ana majibu kama kuku ambaye anaharisha.
4. Hapendi kusikia ninawasaidi ndugu zangu kabisa ilifikia kipindi kabla sijaja huku kawakejeli wazazi wangu, nikimwomba embu wasaidie kitu fulani anasema si uwasaidie wewe si wazazi wako, anasema sijamuowa kwa ajili wa wazazi au ndugu. Lakini ninashukuru mungu hakuna mtu yeyote anajua adha ninayoipata, sija wahikuwaambia hata wazazi. Ninasema hivyo kwa sababu anzia nimetoka huko mama yangu alikuwa anaumwa lakini alifika nyumbani kwao akawa anajificha mpaka akaondoka hakuwasalimia wazazi wangu kabisa.
Ninaomba ushauri ndugu zangu nifanye nini? Na mimi ndio nimemaliza masomo ninataka kurudi nyumbani, nianzie wapi maisha? Dada zangu wote wameshaolewa nimebaki na mdogo wangu wa kiume ambaye yupo sekondari.
Mimi ni kijana ambae nilibahatuka kumpenda binti mmoja na nilibahatika kuzaa nae mtoto mmoja tukiwa tunaishi nae pamoja kama miaka mitatu. Lakini baada ya kupata mtoto nikamwona bibie anabadilika kwa sababu dada zake wanauwezo. Mimi nilivumilia mambo mengi sana kiasi kwamba ilifikia kipindi ikawa tunasemana chumbani na kuombana msamaha yanaisha. Mimi mwenzio ninaumia kumbe yeye anapata raha tu na nikimuuliza hivi anajisikiaje labda anavyuniona kama ananipenda anajibu kama chizi ninakupenda kumbe ananingonga huku nyuma. Haya mambo ya simu ni historia ndefu sana kwangu na yeye kuhusu kijana mmoja tulie kuwa tumepanga nae nyumba moja. Na hili la simu nimelifuma mwenyewe live bila kuambiwa na mtu yeyote. Kama ni chakula cha mtoto alikuwa anapata kila siku isipokuwa siku ambazo anakua. Lakini tamaa inaendelea kumzidi. Ninasikia anachukuliwa na rafiki yangu mzee ambaye alifiwa na mke wakati sija toka huko Tz. Na mimi ninamwita ni baba kwa sababu mtu akisha kuzidi miaka 30 ni lazima umuheshimu. Na nilimweshimu kwa sababu alikuwa ni jirani yangu. Sina ukoo nae wala sio kabila langu.
Ubinafsi:
1. Amefuga mifugo kwa mtu bila kuniambia, na nimemuuliza akasema ni kweli alikuwa nazo hata kabla sijatoka huko na hela alipata kwa dada yake.
2. Amejenga nyumba bila kuniambia walipomuuliza wenzake ya kuwa baba watoto anajua alisema hataki nijue ni nyumba yake atapangisha kwa sababu anajua nitajenga nyumba na tutakaa. Baada ya kujua nimeshajua ndio akaaza kuniomba hela za kuchimba choo na kuanza kunieleza ameamua kujenga nyumba sijuii sababu haziishi. Nilipo muuliza amepata wapi hela anajitetea ametumia hela nilizokuwa ninampa za matumizi. Kweli nilishikwa na hasira nikampeleka mwanagu boding japo ni mdogo wa miaka 7.
3. Ana majibu kama kuku ambaye anaharisha.
4. Hapendi kusikia ninawasaidi ndugu zangu kabisa ilifikia kipindi kabla sijaja huku kawakejeli wazazi wangu, nikimwomba embu wasaidie kitu fulani anasema si uwasaidie wewe si wazazi wako, anasema sijamuowa kwa ajili wa wazazi au ndugu. Lakini ninashukuru mungu hakuna mtu yeyote anajua adha ninayoipata, sija wahikuwaambia hata wazazi. Ninasema hivyo kwa sababu anzia nimetoka huko mama yangu alikuwa anaumwa lakini alifika nyumbani kwao akawa anajificha mpaka akaondoka hakuwasalimia wazazi wangu kabisa.
Ninaomba ushauri ndugu zangu nifanye nini? Na mimi ndio nimemaliza masomo ninataka kurudi nyumbani, nianzie wapi maisha? Dada zangu wote wameshaolewa nimebaki na mdogo wangu wa kiume ambaye yupo sekondari.