bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
....ngoja nicheke kwanza. Umeua wakati wewe ndo "mwanangu" wake
Na wale watoto wetu wa kike, sijui nitaambiwa tuwazae nyumbani tu au?
Hahaaaa 'mwanangu' mwenyewe yule, kisha sijamuona tupaeni strategies ujue.
uwazalie nyumbani na mkunga wa jadi mie ntawatafutia kabisa, maana hamueleweki
nitafutie basi hiyo nyimbe aisee...