Limekaaje hili la diploma to digree...

Feb 21, 2012
53
23
wadau embu tuchangie hii hoja kwa umakin... Kuna taarifa zimesambazwa vyuon kutoka TCU kuwa wanafunzi wanaosoma Diploma hawatoruhusiwa kuunganisha Degree mpaka upite mwaka mmoja wakiwa kitaan... Je hii ishu mnaipokeaje wadau? Maana nawaonea huruma sana madogo... maana Magamba na system zao za Elimu? Kila siku idea mpya...
 
Usishangae hilo, shangaa Phd ya Dokta Slaa haina digrii hata ya kuombea maji.
 
Usishangae hilo, shangaa Phd ya Dokta Slaa haina digrii hata ya kuombea maji.
Na hilo pia si la kushangaza sana, ila la kustaajabisha ni udokta wa Dk Jakaya Mrisho Kikwete.
Jamani nchi hii, weee acha tu. Najivunia kuwa mtanzania lkn najuta kutawaliwa na viongozi wasio na utu hata kdg!
 
Kwani kati ya TCU na NACTE ni nani ana nguvu? NACTE wanasemaje kuhusu qualification za kuingia degree? Elimu ya tanzania ni kuharibiana maisha na ndio maana hatuendelei!
 
Na hilo pia si la kushangaza sana, ila la kustaajabisha ni udokta wa Dk Jakaya Mrisho Kikwete.
Jamani nchi hii, weee acha tu. Najivunia kuwa mtanzania lkn najuta kutawaliwa na viongozi wasio na utu hata kdg!

Kikwete PhD zake ni za utumishi ulitukuka. Kafanya mambo ema Tanzania ambayo hakuna Rais hata mmoja amewahi hata kuyawaza. Naliyokuta wenzake wamefanya yeye kafanya zaidi yao, au na hilo hulipendi?
 
Kwani kati ya TCU na NACTE ni nani ana nguvu? NACTE wanasemaje kuhusu qualification za kuingia degree? Elimu ya tanzania ni kuharibiana maisha na ndio maana hatuendelei!
Kuna aliefuatilia na kujua tatizo liko wapi?muhula wa diploma unamalizika mwezi wa sita hadi wa saba,na hapo bado matokeo hayajatoka,mpaka yakitoka na mwezi wa nane au tisa,sasa huo mchakato wa ku apply utafanyika vipi?form six wanamaliza mwezi wa pili na matokeo yao yanatoka mwezi wa nne au tano na muda ku apply kwa woote huwa ni mwezi wa tano hadi wa sita,kwa hiyo ni ngumu kwa wao(diploma) kufanya application bila matokeo kutoka,labda uanzishwe mchakato wa ku synchronize academic year za form six zilingane na za vyuo vinavyotoa diploma ili wamalize katka muda unaofanana ili watume application pamoja!
Huo ni mtazamo wangu.
 
Kuna aliefuatilia na kujua tatizo liko wapi?muhula wa diploma unamalizika mwezi wa sita hadi wa saba,na hapo bado matokeo hayajatoka,mpaka yakitoka na mwezi wa nane au tisa,sasa huo mchakato wa ku apply utafanyika vipi?form six wanamaliza mwezi wa pili na matokeo yao yanatoka mwezi wa nne au tano na muda ku apply kwa woote huwa ni mwezi wa tano hadi wa sita,kwa hiyo ni ngumu kwa wao(diploma) kufanya application bila matokeo kutoka,labda uanzishwe mchakato wa ku synchronize academic year za form six zilingane na za vyuo vinavyotoa diploma ili wamalize katka muda unaofanana ili watume application pamoja!
Huo ni mtazamo wangu.

There is a difference between the new comers and those who are continuing on the same institution. Kwa wale wapya watalazimika kuchukua form zao katika mwezi wa tano na kwa wale ambao wapo pale pale chuo wao huwa na system yao pia, yanapotoka matokeo basi wao huruhusiwa kuchukua form na ku apply for degree, kwaiyo hapo amna tatizo la muda wa usajili kwa waliosoma pale pale chuo, problem inakuja kuwa, umemaliza diploma IFM wataka kwenda CBE hapo nafikiri ni kitu kingine coz usajili cbe utakuwa umefungwa kwa wajao wapya!

Sasa diploma wakae nje kwa mwaka 1 mzima wafanye nini? Na kwanini iwe hivo? Kuzeeshana madarasani tu!
 
Kuna aliefuatilia na kujua tatizo liko wapi?muhula wa diploma unamalizika mwezi wa sita hadi wa saba,na hapo bado matokeo hayajatoka,mpaka yakitoka na mwezi wa nane au tisa,sasa huo mchakato wa ku apply utafanyika vipi?form six wanamaliza mwezi wa pili na matokeo yao yanatoka mwezi wa nne au tano na muda ku apply kwa woote huwa ni mwezi wa tano hadi wa sita,kwa hiyo ni ngumu kwa wao(diploma) kufanya application bila matokeo kutoka,labda uanzishwe mchakato wa ku synchronize academic year za form six zilingane na za vyuo vinavyotoa diploma ili wamalize katka muda unaofanana ili watume application pamoja!
Huo ni mtazamo wangu.

saluti mkuu hapo umenena.
 
Elimu Bora Bongo bado sana. Hii ni kwa sababu kuna viongozi ambao wanaziba kabisa mianya ya vijana kupenya kwa hofu ya replacement. Hapo panahitaji mchakato mkubwa sana lakini nani afanye mchakato huo?
 
There is a difference between the new comers and those who are continuing on the same institution. Kwa wale wapya watalazimika kuchukua form zao katika mwezi wa tano na kwa wale ambao wapo pale pale chuo wao huwa na system yao pia, yanapotoka matokeo basi wao huruhusiwa kuchukua form na ku apply for degree, kwaiyo hapo amna tatizo la muda wa usajili kwa waliosoma pale pale chuo, problem inakuja kuwa, umemaliza diploma IFM wataka kwenda CBE hapo nafikiri ni kitu kingine coz usajili cbe utakuwa umefungwa kwa wajao wapya!

Sasa diploma wakae nje kwa mwaka 1 mzima wafanye nini? Na kwanini iwe hivo? Kuzeeshana madarasani tu!
Sio kuzeeka mkuu,hapo inategemeana na makubaliano kati ya NACTE na chuo husika,kama NACTE watawaruhusu hapo sawa,lakini ni vizuri watu wakajifunza kufuata utaratibu,kama utaratibu hauruhusu ndugu zangu tuanze kufuata utaratibu,SIKU HUWA NAAMINI HIZI NJIA ZA MKATO TUNAZOZITAFUTA NDIO ZINAZOZALISHA MAFISADI!
 
Sio kuzeeka mkuu,hapo inategemeana na makubaliano kati ya NACTE na chuo husika,kama NACTE watawaruhusu hapo sawa,lakini ni vizuri watu wakajifunza kufuata utaratibu,kama utaratibu hauruhusu ndugu zangu tuanze kufuata utaratibu,SIKU HUWA NAAMINI HIZI NJIA ZA MKATO TUNAZOZITAFUTA NDIO ZINAZOZALISHA MAFISADI!

Mkuu sifikiri kama chuo cha serikali kitakuwa kinapromote njia za mkato. Utaratibu ulivo duniani kote hasa ni level ya chini katika chuo ni certificate (1 year) diploma (2 yrs) bachelor(3/4yrs), na sijawahi kusikia katika nchi yoyote yenye utaratibu usemao kuwa baada ya diploma, mtu akae nje mwaka mzima!!! Huku ni kurudishana nyuma! Ingekua vile vyuo vya kihindi vya kila course miezi sita kweli, lakini chuo cha serikali, kilichoweka ngazi hizo kisha eti ukae nje mwaka mzima!! Mwaka mzima ufanye nini? Sasa kwa mfumo huo wakukaa nje mwaka mzima ndo utazalisha MIFISADI hasa ilobobea!! Tz hakuna elimu, ndo maana watu hukimbilia India na malaysia!
 
Sio kuzeeka mkuu,hapo inategemeana na makubaliano kati ya NACTE na chuo husika,kama NACTE watawaruhusu hapo sawa,lakini ni vizuri watu wakajifunza kufuata utaratibu,kama utaratibu hauruhusu ndugu zangu tuanze kufuata utaratibu,SIKU HUWA NAAMINI HIZI NJIA ZA MKATO TUNAZOZITAFUTA NDIO ZINAZOZALISHA MAFISADI!

Mkuu sifikiri kama chuo cha serikali kitakuwa kinapromote njia za mkato. Utaratibu ulivo duniani kote hasa ni level ya chini katika chuo ni certificate (1 year) diploma (2 yrs) bachelor(3/4yrs), na sijawahi kusikia katika nchi yoyote yenye utaratibu usemao kuwa baada ya diploma, mtu akae nje mwaka mzima!!! Huku ni kurudishana nyuma! Ingekua vile vyuo vya kihindi vya kila course miezi sita kweli, lakini chuo cha serikali, kilichoweka ngazi hizo kisha eti ukae nje mwaka mzima!! Mwaka mzima ufanye nini? Sasa kwa mfumo huo wakukaa nje mwaka mzima ndo utazalisha MIFISADI hasa ilobobea!! Tz hakuna elimu, ndo maana watu hukimbilia India na malaysia!
 
Sio kuzeeka mkuu,hapo inategemeana na makubaliano kati ya NACTE na chuo husika,kama NACTE watawaruhusu hapo sawa,lakini ni vizuri watu wakajifunza kufuata utaratibu,kama utaratibu hauruhusu ndugu zangu tuanze kufuata utaratibu,SIKU HUWA NAAMINI HIZI NJIA ZA MKATO TUNAZOZITAFUTA NDIO ZINAZOZALISHA MAFISADI!

Mkuu sifikiri kama chuo cha serikali kitakuwa kinapromote njia za mkato. Utaratibu ulivo duniani kote hasa ni level ya chini katika chuo ni certificate (1 year) diploma (2 yrs) bachelor(3/4yrs), na sijawahi kusikia katika nchi yoyote yenye utaratibu usemao kuwa baada ya diploma, mtu akae nje mwaka mzima!!! Huku ni kurudishana nyuma! Ingekua vile vyuo vya kihindi vya kila course miezi sita kweli, lakini chuo cha serikali, kilichoweka ngazi hizo kisha eti ukae nje mwaka mzima!! Mwaka mzima ufanye nini? Sasa kwa mfumo huo wakukaa nje mwaka mzima ndo utazalisha MIFISADI hasa ilobobea!! Tz hakuna elimu, ndo maana watu hukimbilia India na malaysia!
 
Na hilo pia si la kushangaza sana, ila la kustaajabisha ni udokta wa Dk Jakaya Mrisho Kikwete.
Jamani nchi hii, weee acha tu. Najivunia kuwa mtanzania lkn najuta kutawaliwa na viongozi wasio na utu hata kdg!

Yaani wewe na huyo chizi Ribson mmenichekesha mpaka basi, watanzania mnawazaga nini sijui
 
Back
Top Bottom