mashimbamang'oma
Member
- Feb 21, 2012
- 53
- 23
wadau embu tuchangie hii hoja kwa umakin... Kuna taarifa zimesambazwa vyuon kutoka TCU kuwa wanafunzi wanaosoma Diploma hawatoruhusiwa kuunganisha Degree mpaka upite mwaka mmoja wakiwa kitaan... Je hii ishu mnaipokeaje wadau? Maana nawaonea huruma sana madogo... maana Magamba na system zao za Elimu? Kila siku idea mpya...