Katika mjumuiko wowote wa watu ambao upo kiutaratibu kunatakiwa kuwe na kiongozi. Mpango wa MUNGU mume ndio kiongozi wa familia sasa inapotokea ndivyo sivyo lazima jamii ijiulize maswali.Inapotokea mwanamke katika familia ya wawili wapendanao ana sauti kuliko mwanaume(mumewe) na wanandugu wakaligundua hilo(hasa wa upande wa mume) huanza kulalama ya kuwa kalishwa kitu,mara sio bure,karogwa au kalishwa limbwata.
Ni kwa nini huwa wanafikiria ni limbwata na sio mapenzi ya mume kwa mke wake?na ndio maana anamtii mkewe kwa kufuata kila jambo analomwambia.
Nawasilisha.
<br />Katika mjumuiko wowote wa watu ambao upo kiutaratibu kunatakiwa kuwe na kiongozi. Mpango wa MUNGU mume ndio kiongozi wa familia sasa inapotokea ndivyo sivyo lazima jamii ijiulize maswali.
<br />Mahaba tu jamani hakuna limbwata wala nini,hivi watu wanapima nn mpaka waseme umempa mumeo limbwata? Ukarimu wako na usikivu na upole utafanya mumeo akusikize kwa kila kitu karibu, na watu waanze kuchonga
Katika mjumuiko wowote wa watu ambao upo kiutaratibu kunatakiwa kuwe na kiongozi. Mpango wa MUNGU mume ndio kiongozi wa familia sasa inapotokea ndivyo sivyo lazima jamii ijiulize maswali.
<br />Kwa kizungu mwananume wa namna hiyo huitwa-a henperked husband! ahusband who canot disagree with his wife. Lakini huku Africa inakuwaga too much. Nimewahi kufanya kazi idara moja na jamaa na mkewe. Mkewe alikuwa anatembea na jamaa mle mle ofisini na jamaa mwenye mke ndio mpole na mkimyaa sana . Halafu huyo jamaa aliyekuwa anatembea na mkewe alikuwa na sifa chafu chafu za kependa kinky sex. Kinky sex ni sex sex chafu chafu tuu zisizo na adabu .Sasa sijui jama yangu hayo yalikuwa mapenzi kupita kiasi au ndiyo hayo hayo ya uwoga wa kumkalipia mkewe.
<br />Hiyo ni weakness ya baadhi ya wanaume, kutokuwa na maamuzi. its shame mwanaume lazima uwe na power bwana.
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mi nachinja mtu, bora nikaozee segerea kuliko dharau kama hizo.
Hivi limbwata ndo nini au naweza pata tafsiri yake?
<br /><font color="#ff0000"><font size="3"><span style="font-family: century gothic">limbwata ni kipande cha nyama kilichopikwa then unakisokomeka kwenye naniii yako 'ke" kwa muda wa siku tatu hadi saba, ukiitoa ile nyama mle kuna dawa ya kienyeji kinapwa then unamlisha mtu, hapo bana ndo watu wanabanana kweli kweli. ... nilijuwaje don't ask.</span></font></font>
<br /><font color="#ff0000"><font size="3"><span style="font-family: century gothic">limbwata ni kipande cha nyama kilichopikwa then unakisokomeka kwenye naniii yako 'ke" kwa muda wa siku tatu hadi saba, ukiitoa ile nyama mle kuna dawa ya kienyeji kinapwa then unamlisha mtu, hapo bana ndo watu wanabanana kweli kweli. ... nilijuwaje don't ask.</span></font></font>
<font color="#ff0000"><font size="3"><span style="font-family: century gothic">limbwata ni kipande cha nyama kilichopikwa then unakisokomeka kwenye naniii yako 'ke" kwa muda wa siku tatu hadi saba, ukiitoa ile nyama mle kuna dawa ya kienyeji kinapwa then unamlisha mtu, hapo bana ndo watu wanabanana kweli kweli. ... nilijuwaje don't ask.</span></font></font>
kuna hii ya kabila moja la mkoa wa kagera,
hapo kinachukuliwa kitomvu cha mtoto mchanga aliyekufa leo kinakatwa kipande then kinasokomezwa huko kwenye K*m*.
kinatolewa baada ya cku tatu na kinaanikwa juani kinakaushwa vizuri halafu kinasagwa na kuwa unga halafu unaungiwa kwenye mchuz kama binzari hivi au chumvi.
Na wakati kinawekwa kwenye ''K'' kuna maneno yanatajwa. Anatamka jina la mume au bwana/mpenzi mf. Xyz siku yoyote hutakuwa na kauli kwangu na ikiwa hivyo labda huyu mtoto mwenye kitomvu hiki afufuke na aongee.
Yani ndio funga kaz mana dume linakuwa ***** kabisa! Kuna jamaa kitaa alioa mdada wa mkoa huo akalishwa hiyo kitu yani dah akipata mshahara tu wote anampelekea mkewe halafu mkewe ana mpa buku 2 au 3 amwambia haya ka shave saluni. Hiyo ndo imetoka mume hapewi chochote tena, hadi akitaka chupi au shati anaomba kwa mkewe tena anaomba kwa unyenyekevu mkubwa na mke ndo anaamua atoe au asitoe.
Ogopeni hiyo kitu jamani na kama umefanyiwa na nyumba ndogo hapo ndoa yako ndio imekwisha mana lazima utamuacha na kumchukia mkeo na wanao kupita kiasi.
<br />kuna hii ya kabila moja la mkoa wa kagera,<br />
hapo kinachukuliwa kitomvu cha mtoto mchanga aliyekufa leo kinakatwa kipande then kinasokomezwa huko kwenye K*m*.<br />
kinatolewa baada ya cku tatu na kinaanikwa juani kinakaushwa vizuri halafu kinasagwa na kuwa unga halafu unaungiwa kwenye mchuz kama binzari hivi au chumvi.<br />
Na wakati kinawekwa kwenye ''K'' kuna maneno yanatajwa. Anatamka jina la mume au bwana/mpenzi mf. Xyz siku yoyote hutakuwa na kauli kwangu na ikiwa hivyo labda huyu mtoto mwenye kitomvu hiki afufuke na aongee.<br />
<br />
Yani ndio funga kaz mana dume linakuwa ***** kabisa! Kuna jamaa kitaa alioa mdada wa mkoa huo akalishwa hiyo kitu yani dah akipata mshahara tu wote anampelekea mkewe halafu mkewe ana mpa buku 2 au 3 amwambia haya ka shave saluni. Hiyo ndo imetoka mume hapewi chochote tena, hadi akitaka chupi au shati anaomba kwa mkewe tena anaomba kwa unyenyekevu mkubwa na mke ndo anaamua atoe au asitoe.<br />
<br />
Ogopeni hiyo kitu jamani na kama umefanyiwa na nyumba ndogo hapo ndoa yako ndio imekwisha mana lazima utamuacha na kumchukia mkeo na wanao kupita kiasi.
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br /><br />
&amp;lt;br /&amp;gt;&lt;br /&gt;<br /><br />
Wachangiaji wa mwanzoni hawakugusia humu,&lt;br /&gt;<br /><br />
Shukrani kwa kutujuza!