Imany John
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 2,930
- 1,165
Inapotokea mwanamke katika familia ya wawili wapendanao ana sauti kuliko mwanaume(mumewe) na wanandugu wakaligundua hilo(hasa wa upande wa mume) huanza kulalama ya kuwa kalishwa kitu,mara sio bure,karogwa au kalishwa limbwata.
Ni kwa nini huwa wanafikiria ni limbwata na sio mapenzi ya mume kwa mke wake?na ndio maana anamtii mkewe kwa kufuata kila jambo analomwambia.
Nawasilisha.
Ni kwa nini huwa wanafikiria ni limbwata na sio mapenzi ya mume kwa mke wake?na ndio maana anamtii mkewe kwa kufuata kila jambo analomwambia.
Nawasilisha.