Asante sana kwa kuonyesha moyo huo.......msiba haupo Dar, upo Arusha (Karatu). Nitakavyozidi kupata taarifa ndivyo nitakavyoendelea kuwaletea, ili kama kuna members waliopo huko waweze kuhudhurua ili kumfariji mwenzetu
wapendwa ndio tupo njiani kuelekea msibani....kwa wale mliopo Karatu mnaweza kuungana na sisi....