<br />Mimi nilisoma somo la statistics nje Ulaya. Kwenye somo hilo tulikuwa wanafunzi 1500. Masuali yote yalikuwa multiple choice na waliopasi walipasi na waliofeli walifeli.<br />
<br />
Jee unaweza kupata jawabu sahihi bila ya kufanya calculations kwanza? Na kwa kufikiria tu unaweza kupata jawabu moja au mbili lakini siyo zote.
Pasua babaKuna haja ya lazima kwa Chama cha Walimu Tanzania kupinga na ikiwezekana kuitisha mgomo nchi nzima. Serikali ya CCM inaipeleka nchi pabaya sana. Kama taifa hatupaswi kukaa kimya katika suala zito kama hili.
kitakacho tokea mwalimu msimamizi wa mtihani atawaambia wanafunzi wake wawe wanamuangalia ishara mfano nikikaa ni A nikikohoa ni B nikishika dirisha ni C nikikohoa ni D hapo watoto wote watafaulu hesabu na huna criteria ya kusema wamecopy!ama kweli tanzania BONGO LALA